Kuwafanyia Wema Wazazi
Allah (s.
(c)Kuwafanyia Wema Wazazi
Allah (s.w) anatuusia kuwafanyia wema wazazi wawili na hasa kuzidisha wema zaidi kwa mama kwa sababu za msingi ambazo Allah (s.w) mwenyewe anatukumbusha.
“….. Mama yake ameichukua mimba yake kwa udhaifu juu ya udhaifu, na (kumnyonyesha na kuja) kumwachisha kunyonya katika miaka miwili….. " (31:14).
“…..Mama yake amechukua mimba yake kwa taabu na akamzaa kwa taabu. Na kubeba mimba yake hata kumwachisha ziwa (uchache wake) ni miezi thelathini (3 0) …." (46:15).
Namna ya kuwafanyia wema wazazi kumefafanuliwa vyema katika mafunzo ya Surat Bani Israil tuliyoyapitia nyuma.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Mambo ya lazima kufanyiwa maiti ya muislamu
Mambo ya faradhi kuhusu maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu
Faradhi kwa maiti ya muislamu (edk form 2:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Mambo muhimu anayofanyiwa muislamu kabla ya kufa
Dhana ya faradh kwa muislamu (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...