Maringo, majivuno, majigambo, dharau ni vipengele vya kibri.
Maringo, majivuno, majigambo, dharau ni vipengele vya kibri. Kwa mujibu wa Hadith sahihi kibri ni katika madhambi makubwa"
"Abu Hurairah (r.a) amesimulia kuwa Mtume wa Allah amesema: "Yule ambaye moyoni mwake mna punje ya kibri hataingia peponi." Sahaba mmoja akauliza: "Je, kama mtu anapenda nguo nzuri na viatu?" Mtume (s. a.w) akasema, "Allah (s.w) ni mzuri na anapenda vizuri. Kibri ni kukataa ukweli na kupuuza watu." (Muslim)
Il i kuepukana na maringo na kibri Al l ah(s.w) anatutanabahisha:
"… Hakika wewe huwezi kuipasua ardhi wala huwezi kufikia urefu wa mlima." (1 7:3 7)
"Vipi mnamkanusha Mwenyezi Mungu na hali mlikuwa wafu, akakuhuisheni; kisha atakufisheni; kisha atakuhuisheni (tena); kisha kwake mtarejeshwa." (2:28)
Aliye bora mbele ya wengine ni yule aliyewazidi katika kumcha Mwenyezi Mungu - Rejea Qur-an (49:13)
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Kwa hakika binaadamu ameumbwa, hali ya kuwa mwenye pap atiko.
Soma Zaidi...Huwaoni wale wanafiki wanawaambia ndugu zao walio makafiri miongoni mwa watu waliopewa Kitabu (kabla yenu) Mayahudi (Wanawaambia): "Kama mkitolewa, (mkifukuzwa hapa) tutaondoka pamoja nanyi, wala hat utamtii yoyote kabisa juu yenu.
Soma Zaidi...Waislamu wanakatazwa kufanya na kufuata mambo kwa kibubusa (kwa mkumbo) bila ya kuwa na ujuzi unaostahiki.
Soma Zaidi...Ukweli ni katika sifa za waumini. Siku zote hakuna hasara katika kusema ukweli. Kinyume chake uongo ni katika madhambi makubwa sana.
Soma Zaidi...