Posti hii inahusu zaidi sababu za mbegu za kiume kuwa dhaifu, hali hii uwatokea wanaume wengi kwa sababu mbalimbali za kimaisha ambazo ufanya mbegu za kiume kuwa dhaifu na kusababisha madhara makubwa zaidi kwa sababu wanaume wengi ushindwa kujiamini kwa h
1.ulaji mbovu wa vyakula
Kuna wakati mwingine utumiaji wa vyakula usiosahii ufanya mbegu za kiume kwa dhaifu kwa mfano ulaji wa vyakula vyenye upungufu wa zinki, vitamini E, folic acid, vitamin B12, na vitamini C.
2. Kuwepo kwa sumu mwilini.
Kuwepo kwa sumu mwilini ambayo Usababishwa na kuwepo kwa vyakula vyenye sumu mwilini kwa hiyo sumu ikiwa nyingi mwili Usababisha nguvu za kiume kuwa laini na dhaifu.
3. Joto kali kupita kiasi.
Kama mtu anaishi sehemu yenye joto kubwa kuliko kiasi Usababisha mbegu za kiume juwa dhaifu na laini.
4. Mfadhaiko au stress.
Wakati mwingine mtu akiwa na mfadhaiko au mawazo mengi uweza kusambaa mpaka kwenye sehemu za uzazi na kusababisha mbegu za kiume kuwa dhaifu.
5. Unywaji wa pombe uliokithiri.
Kwa wakati mwingine kuna tabia ya watu wanaokumywa pombe kupita kiasi wanafanya hali ya mbegu za kiume kuwa dhaifu kwa hiyo wanaokumywa pombe wanapaswa kuacha kutumia pombe ili kuepuka matatizo zaidi.
6. Matumizi ya vinywaji vyenye sumu au kemikali.
Kuna wanaume wengine wanafanya kazi sehemu ambazo kuna kemikali zenye nguvu ambazo Usababisha mbegu za kiume kuwa dhaifu.
7. Kujichua au kupiga pinyeto.
Kuna wanaume wengine ambao wanapiga pinyeto ambayo Usababisha mbegu za kiume kuwa dhaifu na kushindwa kufanya kazi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke ukizingatia usafi huwa unafanyika mara kwa mara ila harufu bado inaendelea kuwa mbaya kwa hiyo tutaona sababu hapo chini.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba imetoka moja kwa moja, aina hiyo ya mimba kwa kitaalamu huitwa complete abortion.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke, kuna kipindi ambacho mwanamke hushindwa kushika mimba kuna sababu mbalimbali mojawapo ni kama zifuatazo
Soma Zaidi...Posti inahusu zaidi mazoezi ya kegel, ni mazoezi ambayo ufanywa na watu wengi na sehemu yoyote yanaweza kufanywa kama vile chumbani, sebuleni, uwanjani na sehemu yoyote ile na kwa watu tofauti.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala ya fangasi wa uumeni
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna ya kumpima mtoto uzito, ni njia ambayo utumika kujua uzito wake na maendeleo ya mtoto.
Soma Zaidi...