Posti hii inahusu zaidi sababu za mbegu za kiume kuwa dhaifu, hali hii uwatokea wanaume wengi kwa sababu mbalimbali za kimaisha ambazo ufanya mbegu za kiume kuwa dhaifu na kusababisha madhara makubwa zaidi kwa sababu wanaume wengi ushindwa kujiamini kwa h
1.ulaji mbovu wa vyakula
Kuna wakati mwingine utumiaji wa vyakula usiosahii ufanya mbegu za kiume kwa dhaifu kwa mfano ulaji wa vyakula vyenye upungufu wa zinki, vitamini E, folic acid, vitamin B12, na vitamini C.
2. Kuwepo kwa sumu mwilini.
Kuwepo kwa sumu mwilini ambayo Usababishwa na kuwepo kwa vyakula vyenye sumu mwilini kwa hiyo sumu ikiwa nyingi mwili Usababisha nguvu za kiume kuwa laini na dhaifu.
3. Joto kali kupita kiasi.
Kama mtu anaishi sehemu yenye joto kubwa kuliko kiasi Usababisha mbegu za kiume juwa dhaifu na laini.
4. Mfadhaiko au stress.
Wakati mwingine mtu akiwa na mfadhaiko au mawazo mengi uweza kusambaa mpaka kwenye sehemu za uzazi na kusababisha mbegu za kiume kuwa dhaifu.
5. Unywaji wa pombe uliokithiri.
Kwa wakati mwingine kuna tabia ya watu wanaokumywa pombe kupita kiasi wanafanya hali ya mbegu za kiume kuwa dhaifu kwa hiyo wanaokumywa pombe wanapaswa kuacha kutumia pombe ili kuepuka matatizo zaidi.
6. Matumizi ya vinywaji vyenye sumu au kemikali.
Kuna wanaume wengine wanafanya kazi sehemu ambazo kuna kemikali zenye nguvu ambazo Usababisha mbegu za kiume kuwa dhaifu.
7. Kujichua au kupiga pinyeto.
Kuna wanaume wengine ambao wanapiga pinyeto ambayo Usababisha mbegu za kiume kuwa dhaifu na kushindwa kufanya kazi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
SIKU YA KUPATA UJAUZITO Kawaida wanawake walio wengi mzunguruko wa siku zao ni siku 28 lakini wapo ambao ni zaidi ya hapo na wapo ambao ni chini ya hapo.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kulia
Soma Zaidi...KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano ili kuweza kuweka afya yake kwenye njia safi.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea ugonjwa wa kisukari wakati mama akiwa mjamzito.na yafuatayo ni Mambo hatari yanayotokea wakati Mama akiwa na ujauzito.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukupa njia za kukusaidia kuacha punyeto.
Soma Zaidi...Tendo la ndoa wakati wa siku za hedhi ni halia mbayo jamii nying zinakataza. Katika vitabu vya dini pia haviruhusu, hata ki saikolojia utaona kuwa sio jambo jema. Hata hivyo hapa ninakuletea madhara yake kiafya
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba, ni Imani ambazo zimekuwepo kwenye jamii kuhusu wanawake wenye mimba.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuondoa tatizo la nguvu za kiume
Soma Zaidi...