Posti hii inahusu zaidi sababu za mbegu za kiume kuwa dhaifu, hali hii uwatokea wanaume wengi kwa sababu mbalimbali za kimaisha ambazo ufanya mbegu za kiume kuwa dhaifu na kusababisha madhara makubwa zaidi kwa sababu wanaume wengi ushindwa kujiamini kwa h
1.ulaji mbovu wa vyakula
Kuna wakati mwingine utumiaji wa vyakula usiosahii ufanya mbegu za kiume kwa dhaifu kwa mfano ulaji wa vyakula vyenye upungufu wa zinki, vitamini E, folic acid, vitamin B12, na vitamini C.
2. Kuwepo kwa sumu mwilini.
Kuwepo kwa sumu mwilini ambayo Usababishwa na kuwepo kwa vyakula vyenye sumu mwilini kwa hiyo sumu ikiwa nyingi mwili Usababisha nguvu za kiume kuwa laini na dhaifu.
3. Joto kali kupita kiasi.
Kama mtu anaishi sehemu yenye joto kubwa kuliko kiasi Usababisha mbegu za kiume juwa dhaifu na laini.
4. Mfadhaiko au stress.
Wakati mwingine mtu akiwa na mfadhaiko au mawazo mengi uweza kusambaa mpaka kwenye sehemu za uzazi na kusababisha mbegu za kiume kuwa dhaifu.
5. Unywaji wa pombe uliokithiri.
Kwa wakati mwingine kuna tabia ya watu wanaokumywa pombe kupita kiasi wanafanya hali ya mbegu za kiume kuwa dhaifu kwa hiyo wanaokumywa pombe wanapaswa kuacha kutumia pombe ili kuepuka matatizo zaidi.
6. Matumizi ya vinywaji vyenye sumu au kemikali.
Kuna wanaume wengine wanafanya kazi sehemu ambazo kuna kemikali zenye nguvu ambazo Usababisha mbegu za kiume kuwa dhaifu.
7. Kujichua au kupiga pinyeto.
Kuna wanaume wengine ambao wanapiga pinyeto ambayo Usababisha mbegu za kiume kuwa dhaifu na kushindwa kufanya kazi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi sababu za mimba kutoka, hili ni tatizo ambalo linawakumba wanawake wengi ambapo mimba utoka kabla ya kumfikisha mda wake, kwa kawaida Ili kawaida mimba nyingi utoka zikiwa na miezi chini ya Saba au wengine wanaweza kusema kwamba mim
Soma Zaidi...Inashangaza sana, wakati wengine wanahangaika kutafutavijauzito kwa gharama yoyote ile, kuna wengine wanataka kutoa ujauzito kwa gharama yeyote ile. Unadhani njia za kienyeji sa kutoa mimba ni salama?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, ni faida wanazozipata waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi.
Soma Zaidi...Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia.
Soma Zaidi...Nina swali langu:-je maumivu ya nyonga na tumbo la chini ni dalili ya mimba?
Soma Zaidi...Ni mida gani njamzito ananza kuhisi kuwa tumboni anebeba mtoto.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi huduma ambayo Mama anapaswa kutolewa pindi mimba inapotishia kutoka huduma hii utolewa kulingana na Dalili tulizoziona zinazohusiana na mimba kutishia kutoka.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya matumizi ya sindano za kuzuia mimba kwa vijana ambao hawajafikilia mpango wa kuanza kujifungua watoto.
Soma Zaidi...