Posti hii inahusu zaidi sababu za mbegu za kiume kuwa dhaifu, hali hii uwatokea wanaume wengi kwa sababu mbalimbali za kimaisha ambazo ufanya mbegu za kiume kuwa dhaifu na kusababisha madhara makubwa zaidi kwa sababu wanaume wengi ushindwa kujiamini kwa h
1.ulaji mbovu wa vyakula
Kuna wakati mwingine utumiaji wa vyakula usiosahii ufanya mbegu za kiume kwa dhaifu kwa mfano ulaji wa vyakula vyenye upungufu wa zinki, vitamini E, folic acid, vitamin B12, na vitamini C.
2. Kuwepo kwa sumu mwilini.
Kuwepo kwa sumu mwilini ambayo Usababishwa na kuwepo kwa vyakula vyenye sumu mwilini kwa hiyo sumu ikiwa nyingi mwili Usababisha nguvu za kiume kuwa laini na dhaifu.
3. Joto kali kupita kiasi.
Kama mtu anaishi sehemu yenye joto kubwa kuliko kiasi Usababisha mbegu za kiume juwa dhaifu na laini.
4. Mfadhaiko au stress.
Wakati mwingine mtu akiwa na mfadhaiko au mawazo mengi uweza kusambaa mpaka kwenye sehemu za uzazi na kusababisha mbegu za kiume kuwa dhaifu.
5. Unywaji wa pombe uliokithiri.
Kwa wakati mwingine kuna tabia ya watu wanaokumywa pombe kupita kiasi wanafanya hali ya mbegu za kiume kuwa dhaifu kwa hiyo wanaokumywa pombe wanapaswa kuacha kutumia pombe ili kuepuka matatizo zaidi.
6. Matumizi ya vinywaji vyenye sumu au kemikali.
Kuna wanaume wengine wanafanya kazi sehemu ambazo kuna kemikali zenye nguvu ambazo Usababisha mbegu za kiume kuwa dhaifu.
7. Kujichua au kupiga pinyeto.
Kuna wanaume wengine ambao wanapiga pinyeto ambayo Usababisha mbegu za kiume kuwa dhaifu na kushindwa kufanya kazi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Mdomo kuwa mchungu ni halia mabayo haiashirii ishara mbaya za kiafya. Mdomo unaweza kuwa mchungu kutokana na vyakula. Pia hutokea ikawa ni ishara ya baadhi ya maradhi, ama ni matokeo ya baadhi ya shda za kiafya. Je vipi kuhusu maumivu ya matiti na tumb?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya mwanamke kushindwa kupata ujauzito, kwa sababu kuna sababu nyingi ambazo Usababisha mwanamke kushindwa kupata ujauzito kama tutakavyoona hapo mbeleni
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukuletea mambo kadhaa yanayohusiana na malezi bora ya mama mjamzito na mtoto mchanga
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tabia mbalimbali za Ute wa ovulation kwa sababu Ute huu huwa tofauti na Ute mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa tabia zake za kipekee kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukueleza jinsi ya kuwjuwa kama mtoto ni wa kike ama wa kiume.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya uzito kwa mjamzito, hii ni hali ya kubadilika kwa uzito kwa Mama akiwa na Mimba
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni hii ya cortisol,hii ni homoni ambayo utokana na tezi glang(adrenal gland) kufanya kazi kupitiliza hali ambayo mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo wa mda mrefu, yaani wale watu ambao mda mwingi huwa wenye
Soma Zaidi...Vyakula hivi hapasi kuvila mwanamke mwenye ujauzito kwa kiasi kikubwa, hasa yule mwenye mimba chaga
Soma Zaidi...Mimba inatungwa katika siku maalumu na hazizidi 10. Sio kila ukishiriki tendo unaweza pata mimba. Je unaweza kupata mimba baada ya kushiriki tendo wiki moja kabla ya kuingia hedhi?
Soma Zaidi...