MAkala hii itakwenda kukufundisha jinsi ya kutoa salamu kwenye uislamu
ÙŠÙسْتَØَبّ٠أنْ ÙŠÙŽÙ‚Ùولَ المÙبْتَدÙئ٠بالسَّلاَم٠: السَّلاَم٠عَلَيْكÙمْ وَرَØْمَة٠الله٠وَبَرَكَاتÙÙ‡Ù . Ùَيَأت٠بÙضَمير٠الجَمْع٠، وَإنْ كَانَ المÙسَلَّم٠عَلَيْه٠وَاØÙداً ØŒ وَيقÙول٠المÙجيب٠: وَعَلَيْكÙمْ السَّلاَم٠وَرَØْمَة٠الله وَبَرَكَاتÙÙ‡Ù ØŒ ÙَيَأتÙÙŠ بÙوَاو٠العَطْÙÙ ÙÙŠ قَوْله : وَعَلَيْكÙمْ .
Inapendeza aseme mwenye kuanza na salamu: "Assalaamu 'Alaykum wa Rahmatullaahi wa Barakaatuh." kwa dhamiri ya wingi japokuwa mwenye kusalimiwa ni mmoja: Na mwenye kujibu atasema: "Wa 'Alaykumus Salaam wa Rahmatullaahi wa Barakaatuh."
Hadiyth – 1
عن عÙمْرَان بن الØصين رضي الله عنهما ØŒ قَالَ : جَاءَ رَجÙÙ„ÙŒ Ø¥ÙÙ„ÙŽÙ‰ النَّبيّ٠صلى الله عليه وسلم ØŒ Ùَقَالَ : السَّلاَم٠عَلَيْكÙمْ ØŒ Ùَرَدَّ عَلَيْه٠ثÙمَّ جَلَسَ ØŒ Ùَقَالَ النبيّ٠صلى الله عليه وسلم : (( عَشْرٌ )) Ø«Ùمَّ جَاءَ آخَر٠، Ùَقَالَ : السَّلاَم٠عَلَيْكÙمْ وَرَØْمَة٠الله٠، Ùَرَدَّ عَلَيْه٠Ùَجَلَسَ ØŒ Ùَقَالَ : (( عÙشْرÙونَ )) Ø«Ùمَّ جَاءَ آخَر٠، Ùَقَالَ : السَّلاَم٠عَلَيْكÙمْ وَرَØْمَة٠الله وَبَركَاتÙÙ‡Ù ØŒ Ùَرَدَّ عَلَيْه٠Ùَجَلَسَ ØŒ Ùَقَالَ : (( ثَلاثÙونَ )) رواه أَبÙÙˆ داود والترمذي ØŒ وقال : (( Øديث Øسن )) .
Amesema 'Imraan bin Al-Huswayn (Radhwiya Allaahu 'anhumaa): Alikuja mtu kwa Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na akasalimia kwa kusema: "Assalaamu 'Alaykum." Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alimjibu na yule mtu akakaa chini. Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alisema: "Kumi." Kisha alikuja mtu mwingine akasema: "Assalaamu 'Alaykum wa Rahmatullaah." Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alimjibu na yule mtu akakaa, naye akasema: Ishirini." Kisha akaja mwingine, akasema: "Assalaamu 'Alaykum wa Rahmatullaah wa Barakaatuh." Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alimjibu na yule mtu akakaa, naye akasema: Thelathini." [Abu Daawuwd na At-Tirmidhiy, na akasema Hadiyth Hasan]
Hadiyth – 2
وعن عائشةَ رضي الله عنها ØŒ قالت : قَالَ لي رسول٠الله صلى الله عليه وسلم : (( هَذَا جÙبريل٠يَقْرَأ٠عَلَيْك٠السَّلاَمَ )) قالت : Ù‚Ùلْت٠: وَعَلَيْه٠السَّلاَم٠وَرَØْمَة٠الله٠وَبَرَكَاتÙÙ‡Ù . متÙÙ‚ÙŒ عَلَيْه٠.
Imepokewa kutoka kwa 'Aaishah (Radhwiya Allaahu 'anhaa) kuwa Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) aliniambia: "Huyu Jibriyl anakusalimia." Akasema ('Aaishah): Nikasema: "Na juu yake Amani na Rehma za Allaah na Baraka Zake." [Al-Bukhaari na Muslim]
Hadiyth – 3
وعن أنس٠رضي الله عنه : أنَّ النَّبيَّ صلى الله عليه وسلم كَانَ Ø¥Ùذَا تكلم بÙÙƒÙŽÙ„Ùمَة٠أعَادَهَا ثَلاثَاً Øَتَّى تÙÙÙ‡ÙŽÙ…ÙŽ عَنْه٠، ÙˆÙŽØ¥Ùذَا أتَى عَلَى قَوْم٠Ùَسَلَّمَ عَلَيْهÙمْ سلم عَلَيْهÙمْ ثَلاَثاً . رواه البخاري .
Imepokewa kutoka kwa Anas (Radhwiya Allaahu 'anhu) alisema kwamba Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alipokuwa akizungumza alikuwa akirudia maneno mara tatu mpaka afahamike. Na alipokuwa akija kwa watu na kuwasalimia alikuwa akirudia mara tatu (Alikuwa akifanya hivi ikiwa watu ni wengi). [Al-Bukhaariy]
Hadiyth – 4
وعن المÙقْدَاد٠رضي الله عنه ÙÙŠ ØدÙيثه٠الطويل ØŒ قَالَ : ÙƒÙنَّا نَرْÙَع٠للنَّبيّ٠صلى الله عليه وسلم نَصÙيبَه٠مÙÙ†ÙŽ اللَّبَن٠، ÙَيَجÙيء٠مÙÙ†ÙŽ اللَّيْل٠، ÙÙŽÙŠÙسَلّÙم٠تَسْلÙيماً لاَ ÙŠÙوقÙظ٠نَائÙماً ØŒ ÙˆÙŽÙŠÙسْمÙع٠اليَقْظَانَ ØŒ Ùَجَاءَ النَّبÙيّ٠صلى الله عليه وسلم Ùَسَلَّمَ كَمَا كَانَ ÙŠÙسَلّÙÙ…Ù . رواه مسلم .
Imepokewa kutoka kwa Al-Miqdaad (Radhwiya Allaahu 'anhu) katika hadiyth yake ndefu amesema: Tulikuwa tukimpelekea Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) fungu lake la maziwa, kwa hiyo anakuja usiku anasalimia kusalimia kusikoamsha mwenye kulala, Anamsikizisha aliye macho, Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) akaja akasalimia kama alivyokuwa akisalimia." [Muslim]
Hadiyth – 5
وعن أسماء بنت٠يزيد رضي الله عنها : أنَّ رسول الله صلى الله عليه وسلم مَرَّ ÙÙŠ المَسْجد٠يَوْماً ØŒ وَعÙصْبَةٌ Ù…ÙÙ†ÙŽ النّÙسَاء٠قÙعÙودٌ ØŒ Ùَألْوَى بÙيَدÙه٠بالتسْلÙيم٠. رواه الترمذي ØŒ وقال : (( Øديث Øسن )) .
Imepokewa kutoka kwa Asmaa' bint Yaziyd (Radhwiya Allaahu 'anhumaa) ya kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alipita Msikitini siku moja na kipote cha wanawake kilikuwa kimekaa, alitoa ishara ya kuwasalimia kwa kuinua mkono wake." [At-Tirmidhiy, na akasema ni Hadiyth Hasan]
Hadiyth – 6
وعن أَبي جÙرَيّ٠الهÙجَيْمÙيّ٠رضي الله عنه ØŒ قَالَ : أتيت رسول الله صلى الله عليه وسلم ØŒ Ùقلت٠: عَلَيْكَ السَّلام٠يَا رسول الله . قَالَ : (( لاَ تَقÙلْ عَلَيْكَ السَّلام٠؛ Ùإنَّ عَلَيْكَ السَّلاَم٠تَØÙيَّة٠المَوتَى )) رواه أَبÙÙˆ داود والترمذي ØŒ وقال : (( Øديث Øسن صØÙŠØ )) ØŒ وَقَدْ سبق بÙØ·ÙولÙÙ‡Ù .
Amesema Abu Jurayyi Al-Juhaymiyy (Radhwiya Allaahu 'anhu) amesema: Nilikuja kwa Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam), nikamwambia: "Alaykas Salaamu Yaa Rasuulallaah" "Amani iwe juu yako ee Rasuli wa Allaah." (Nabiy) Akasema: "Usiseme 'Alayka Salaam, kwani "Alaykas Salaam ni salamu kwa wafu." [Abu Daawuwd na At-Tirmidhiy, na akasema ni Hadiyth Hasan Swahiyh]
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 556
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Kitabu cha Afya
👉4 Madrasa kiganjani
Dua za kuwaombea wazazi
Kwenye Quran kuna duaambazo Allah ametufundisha tuziombe kwa ajili ya wazazi, familia na kwa ajili yetu wenyewe. Soma Zaidi...
Dua ambazo hutumiwa katika swala
Post hii inakwenda kukugundisha dua ambazo itazitumia katika swala yako. Soma Zaidi...
Hadithi Ya 38: Anayeonyesha Uadui Kwa Rafiki Yangu Mtiifu Ninatangaza Vita Dhidi Yake
Soma Zaidi...
Dua Sehemu ya 02
Zijuwe nyakati ambazo dua inakubaliwa kwa haraka zaidi. Zijuwe nyakati ambazo ukiomba dua hitakubaliwa. Soma Zaidi...
MAANA NA FADHILA ZA KUOMBA DUA
DUA Kwa ufupi dua ni kumuomba Allah akuondoshee lililobaya, ama linalo kuudhi ama akupe jambo fulani. Soma Zaidi...
UHAKIKI WA HADITHI
Uhakiki wa Hadith za Mtume (s. Soma Zaidi...
Al-Arba'uwn An-Nawawiyyah hadithi ya 1: Nia
huu ni mwanzo wa kitabu hiki cha Matn arbaina Naway Soma Zaidi...
ADABU ZA KUOMBA DUA
ADABU ZA KUOMBA DUA. Soma Zaidi...