Hapa nitakuletea baadhi tu ya adhkari ambazo ni muhimu kwa muislamu
ADHKARI MBALIMBALI NA DUA
Hapa tutajifunza dua mbalimbali ambazo ni adhkari. Tutajifunza pia na faida zake kama Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
alivyozungumza na masahaba zake. 1.amesema Mtume" ุฃูููุถููู ุงูุฐููููุฑู ูุงู ุฅููููู ุฅููุงูู ุงูููููู ููุฃูููุถููู ุงูุฏููุนูุงุกู ุงููุญูู
ูุฏู ููููููู " “bora ya dhikir ni kusema Lฤ ilฤha illallฤh na bora ya dua ni kusema Al-แธฅamdulillฤh” (amepokea Tirmidh).
2.Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
amesema " ู
ูุง ู
ููู ุนูุจูุฏู ููููููู ููู ุตูุจูุงุญู ููููู ููููู
ู ููู
ูุณูุงุกู ููููู ููููููุฉู ุจูุณูู
ู ุงูููููู ุงูููุฐูู ูุงู ููุถูุฑูู ู
ูุนู ุงุณูู
ููู ุดูููุกู ููู ุงูุฃูุฑูุถู ูููุงู ููู ุงูุณููู
ูุงุกู ูููููู ุงูุณููู
ููุนู ุงููุนููููู
ู ุซููุงูุซู ู
ูุฑููุงุชู ููููุถูุฑูููู ุดูููุกู " “Mja yeyote atakayesema ‘Bismillฤh, alladhi lฤ yaแธurru ma`a ismihi shai'un fil-arแธi wa lฤ fis-samฤ', wa huwas-Samฤซ`ul `Alฤซm’ mara tatu kila asubuhi na jioni hatadhuriwa na kitu chochote” (Amepokea Tirmidh).
3.mtume amesema " ู
ููู ููุงูู ุญูููู ููู
ูุณูู ุฑูุถููุชู ุจูุงูููููู ุฑูุจููุง ููุจูุงูุฅูุณููุงูู
ู ุฏููููุง ููุจูู
ูุญูู
ููุฏู ููุจููููุง ููุงูู ุญููููุง ุนูููู ุงูููููู ุฃููู ููุฑูุถููููู " “Mwenye kusema jioni ‘Raแธฤซtu billฤhi rabban wabil-Islฤmi dฤซnan wa bi-Muแธฅammadin nabiyyan’ itakuwa ni haki kwa Allah kumridhia” (Amepokea tirmidh).
4.Mtume alimwambia al-baraa IBN ‘Aazib kuwa “ุฃููุงู ุฃูุนููููู
ููู ููููู
ูุงุชู ุชููููููููุง ุฅูุฐูุง ุฃูููููุชู ุฅูููู ููุฑูุงุดููู ููุฅููู ู
ูุชูู ู
ููู ููููููุชููู ู
ูุชูู ุนูููู ุงููููุทูุฑูุฉู ููุฅููู ุฃูุตูุจูุญูุชู ุฃูุตูุจูุญูุชู ููููุฏู ุฃูุตูุจูุชู ุฎูููุฑูุง ุชูููููู ุงููููููู
ูู ุฅููููู ุฃูุณูููู
ูุชู ููููุณูู ุฅููููููู ููููุฌููููุชู ููุฌูููู ุฅููููููู ูููููููุถูุชู ุฃูู
ูุฑูู ุฅููููููู ุฑูุบูุจูุฉู ููุฑูููุจูุฉู ุฅููููููู ููุฃูููุฌูุฃูุชู ุธูููุฑูู ุฅููููููู ูุงู ู
ูููุฌูุฃู ูููุงู ู
ูููุฌูุง ู
ููููู ุฅููุงูู ุฅููููููู ุขู
ูููุชู ุจูููุชูุงุจููู ุงูููุฐูู ุฃูููุฒูููุชู ููุจูููุจูููููู ุงูููุฐูู ุฃูุฑูุณูููุชู "
“je nikufundishe maneno utakayoyasema pindi atakapoliendea tandiko lako (kulala) na kama utakufa utakufa katika fitrah (uislamu) na ukiamka asubhi utakuwa umepambaukiwa katika kheri? Utasema ‘'Allฤhumma innฤซ aslamtu nafsฤซ ilaika wa wajjahtu wajhฤซ ilaika, wa fawwaแธtu amrฤซ ilaika, raghbatan wa rahbatan ilaika wa alja'tu แบahrฤซ ilaika, lฤ malja'a [wa lฤ manjฤ] minka illฤ ilaik. ฤmantu bikitฤbikal-ladhฤซ anzalta wa binabiyyikal-ladhฤซ arsalt’ (Amepokea Tirmidh).
Umeionaje Makala hii.. ?
Elimu, pamoja na ubora wake, hainufaishi bila ya kutumiwa kwa hekima.
Soma Zaidi...Nafasi ya elimu na mwenye elimu katika uislamu inaonkana katika maeneo yafuatayo: Kwanza, Elimu ndio takrima ya kwanza aliyokirimiwa mwanaadamu na Mola wake.
Soma Zaidi...ุนููู ุฃูุจูู ู ูุณูุนููุฏู ุนูููุจูุฉู ุจููู ุนูู ูุฑูู ุงููุฃูููุตูุงุฑูููู ุงููุจูุฏูุฑูููู ุฑูุถููู ุงูููู ุนููููู ููุงูู: ููุงูู ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตูู ุงููู ุนู?...
Soma Zaidi...ุนููู ุนูุจูุฏู ุงูููููู ุจููู ุนูุจููุงุณู ุฑูุถููู ุงูููููู ุนูููููู ูุง ููุงูู: "ููููุช ุฎููููู ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตูู ุงููู ุนููู ู ุณูู ููููู ูุงุ ููููุงูู: ู...
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha maana ya neno sunnah katika Uislamu. Pia utajifunza maana ya neno hadithi katika uislamu
Soma Zaidi..."Si vibaya kwa kipofu, wala si vibaya kwa kiguru, wala si vibaya kwa mgonjwa, wala kwenu, kama mkila katika nyumba zenu, au nyumba za baba zenu, au nyumba za mama zenu, au nyumba za ndugu zenu, au nyumba za dada zenu, au nyumba za ami zenu, au nyumba za s
Soma Zaidi...ADHKARI MBALIMBALI NA DUA Hapa tutajifunza dua mbalimbali ambazo ni adhkari.
Soma Zaidi...