Adhkari unazoweza kuomba kila siku

Hapa nitakuletea baadhi tu ya adhkari ambazo ni muhimu kwa muislamu

ADHKARI MBALIMBALI NA DUA
Hapa tutajifunza dua mbalimbali ambazo ni adhkari. Tutajifunza pia na faida zake kama Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… alivyozungumza na masahaba zake. 1.amesema Mtume"‏ ุฃูŽูู’ุถูŽู„ู ุงู„ุฐู‘ููƒู’ุฑู ู„ุงูŽ ุฅูู„ูŽู‡ูŽ ุฅูู„ุงู‘ูŽ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ูˆูŽุฃูŽูู’ุถูŽู„ู ุงู„ุฏู‘ูุนูŽุงุกู ุงู„ู’ุญูŽู…ู’ุฏู ู„ูู„ู‘ูŽู‡ู ‏"‏ “bora ya dhikir ni kusema Lฤ ilฤha illallฤh na bora ya dua ni kusema Al-แธฅamdulillฤh” (amepokea Tirmidh).

2.Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… amesema "‏ ู…ูŽุง ู…ูู†ู’ ุนูŽุจู’ุฏู ูŠูŽู‚ููˆู„ู ูููŠ ุตูŽุจูŽุงุญู ูƒูู„ู‘ู ูŠูŽูˆู’ู…ู ูˆูŽู…ูŽุณูŽุงุกู ูƒูู„ู‘ู ู„ูŽูŠู’ู„ูŽุฉู ุจูุณู’ู…ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุงู„ู‘ูŽุฐููŠ ู„ุงูŽ ูŠูŽุถูุฑู‘ู ู…ูŽุนูŽ ุงุณู’ู…ูู‡ู ุดูŽูŠู’ุกูŒ ูููŠ ุงู„ุฃูŽุฑู’ุถู ูˆูŽู„ุงูŽ ูููŠ ุงู„ุณู‘ูŽู…ูŽุงุกู ูˆูŽู‡ููˆูŽ ุงู„ุณู‘ูŽู…ููŠุนู ุงู„ู’ุนูŽู„ููŠู…ู ุซูŽู„ุงูŽุซูŽ ู…ูŽุฑู‘ูŽุงุชู ููŽูŠูŽุถูุฑู‘ูู‡ู ุดูŽูŠู’ุกูŒ ‏" “Mja yeyote atakayesema ‘Bismillฤh, alladhi lฤ yaแธurru ma`a ismihi shai'un fil-arแธi wa lฤ fis-samฤ', wa huwas-Samฤซ`ul `Alฤซm’ mara tatu kila asubuhi na jioni hatadhuriwa na kitu chochote” (Amepokea Tirmidh).

3.mtume amesema "‏ ู…ูŽู†ู’ ู‚ูŽุงู„ูŽ ุญููŠู†ูŽ ูŠูู…ู’ุณููŠ ุฑูŽุถููŠุชู ุจูุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุฑูŽุจู‘ู‹ุง ูˆูŽุจูุงู„ุฅูุณู’ู„ุงูŽู…ู ุฏููŠู†ู‹ุง ูˆูŽุจูู…ูุญูŽู…ู‘ูŽุฏู ู†ูŽุจููŠู‘ู‹ุง ูƒูŽุงู†ูŽ ุญูŽู‚ู‘ู‹ุง ุนูŽู„ูŽู‰ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุฃูŽู†ู’ ูŠูุฑู’ุถููŠูŽู‡ู ‏"‏ “Mwenye kusema jioni ‘Raแธฤซtu billฤhi rabban wabil-Islฤmi dฤซnan wa bi-Muแธฅammadin nabiyyan’ itakuwa ni haki kwa Allah kumridhia” (Amepokea tirmidh).

4.Mtume alimwambia al-baraa IBN ‘Aazib kuwa “ุฃูŽู„ุงูŽ ุฃูุนูŽู„ู‘ูู…ููƒูŽ ูƒูŽู„ูู…ูŽุงุชู ุชูŽู‚ููˆู„ูู‡ูŽุง ุฅูุฐูŽุง ุฃูŽูˆูŽูŠู’ุชูŽ ุฅูู„ูŽู‰ ููุฑูŽุงุดููƒูŽ ููŽุฅูู†ู’ ู…ูุชู‘ูŽ ู…ูู†ู’ ู„ูŽูŠู’ู„ูŽุชููƒูŽ ู…ูุชู‘ูŽ ุนูŽู„ูŽู‰ ุงู„ู’ููุทู’ุฑูŽุฉู ูˆูŽุฅูู†ู’ ุฃูŽุตู’ุจูŽุญู’ุชูŽ ุฃูŽุตู’ุจูŽุญู’ุชูŽ ูˆูŽู‚ูŽุฏู’ ุฃูŽุตูŽุจู’ุชูŽ ุฎูŽูŠู’ุฑู‹ุง ุชูŽู‚ููˆู„ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ูู…ู‘ูŽ ุฅูู†ู‘ููŠ ุฃูŽุณู’ู„ูŽู…ู’ุชู ู†ูŽูู’ุณููŠ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ูˆูŽูˆูŽุฌู‘ูŽู‡ู’ุชู ูˆูŽุฌู’ู‡ููŠ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ูˆูŽููŽูˆู‘ูŽุถู’ุชู ุฃูŽู…ู’ุฑููŠ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ุฑูŽุบู’ุจูŽุฉู‹ ูˆูŽุฑูŽู‡ู’ุจูŽุฉู‹ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ูˆูŽุฃูŽู„ู’ุฌูŽุฃู’ุชู ุธูŽู‡ู’ุฑููŠ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ู„ุงูŽ ู…ูŽู„ู’ุฌูŽุฃูŽ ูˆูŽู„ุงูŽ ู…ูŽู†ู’ุฌูŽุง ู…ูู†ู’ูƒูŽ ุฅูู„ุงู‘ูŽ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ุขู…ูŽู†ู’ุชู ุจููƒูุชูŽุงุจููƒูŽ ุงู„ู‘ูŽุฐููŠ ุฃูŽู†ู’ุฒูŽู„ู’ุชูŽ ูˆูŽุจูู†ูŽุจููŠู‘ููƒูŽ ุงู„ู‘ูŽุฐููŠ ุฃูŽุฑู’ุณูŽู„ู’ุชูŽ ‏"‏ ‏

“je nikufundishe maneno utakayoyasema pindi atakapoliendea tandiko lako (kulala) na kama utakufa utakufa katika fitrah (uislamu) na ukiamka asubhi utakuwa umepambaukiwa katika kheri? Utasema ‘'Allฤhumma innฤซ aslamtu nafsฤซ ilaika wa wajjahtu wajhฤซ ilaika, wa fawwaแธtu amrฤซ ilaika, raghbatan wa rahbatan ilaika wa alja'tu แบ“ahrฤซ ilaika, lฤ malja'a [wa lฤ manjฤ] minka illฤ ilaik. ฤ€mantu bikitฤbikal-ladhฤซ anzalta wa binabiyyikal-ladhฤซ arsalt’ (Amepokea Tirmidh).

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sunnah Main: Dini File: Download PDF Views 1915

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰2 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰3 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰4 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰5 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

kuwa mwenye hikma au hekima na faida zake

Elimu, pamoja na ubora wake, hainufaishi bila ya kutumiwa kwa hekima.

Soma Zaidi...
Nafasi ya Elimu na wenye elimu katika Uislamu

Nafasi ya elimu na mwenye elimu katika uislamu inaonkana katika maeneo yafuatayo: Kwanza, Elimu ndio takrima ya kwanza aliyokirimiwa mwanaadamu na Mola wake.

Soma Zaidi...
KAMA HUNA HAYA BASI FAJA UNACHOTAKA

ุนูŽู†ู’ ุฃูŽุจููŠ ู…ูŽุณู’ุนููˆุฏู ุนูู‚ู’ุจูŽุฉูŽ ุจู’ู†ู ุนูŽู…ู’ุฑููˆ ุงู„ู’ุฃูŽู†ู’ุตูŽุงุฑููŠูู‘ ุงู„ู’ุจูŽุฏู’ุฑููŠูู‘ ุฑูŽุถููŠูŽ ุงู„ู„ู‡ู ุนูŽู†ู’ู‡ู ู‚ูŽุงู„ูŽ: ู‚ูŽุงู„ูŽ ุฑูŽุณููˆู„ู ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„?...

Soma Zaidi...
UKITAKA KUOMBA BASI MUOMBE ALLAH, UKIMKUMBUKA WAKATI WA RAHA ATAKUKUMBUKA WAKATI WA DHIKI, SHIDA NA TAABU

ุนูŽู†ู’ ุนูŽุจู’ุฏู ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุจู’ู†ู ุนูŽุจูŽู‘ุงุณู ุฑูŽุถููŠูŽ ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุนูŽู†ู’ู‡ูู…ูŽุง ู‚ูŽุงู„ูŽ: "ูƒูู†ู’ุช ุฎูŽู„ู’ููŽ ุฑูŽุณููˆู„ู ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆ ุณู„ู… ูŠูŽูˆู’ู…ู‹ุงุŒ ููŽู‚ูŽุงู„ูŽ: ูŠ...

Soma Zaidi...
Maana ya sunnah (suna) na maana ya hadithi

Post hii itakufundisha maana ya neno sunnah katika Uislamu. Pia utajifunza maana ya neno hadithi katika uislamu

Soma Zaidi...
Adabu ya kukaa na kula katika nyumba za watu

"Si vibaya kwa kipofu, wala si vibaya kwa kiguru, wala si vibaya kwa mgonjwa, wala kwenu, kama mkila katika nyumba zenu, au nyumba za baba zenu, au nyumba za mama zenu, au nyumba za ndugu zenu, au nyumba za dada zenu, au nyumba za ami zenu, au nyumba za s

Soma Zaidi...
NAMNA AMBAZO DUA HUJIBIWA

NAMNA AMBAYO ALLAH HUJIBU DUA.

Soma Zaidi...
ADHKAR NA DUA

ADHKARI MBALIMBALI NA DUA Hapa tutajifunza dua mbalimbali ambazo ni adhkari.

Soma Zaidi...