Hapa nitakuletea baadhi tu ya adhkari ambazo ni muhimu kwa muislamu
ADHKARI MBALIMBALI NA DUA
Hapa tutajifunza dua mbalimbali ambazo ni adhkari. Tutajifunza pia na faida zake kama Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
alivyozungumza na masahaba zake. 1.amesema Mtume" ุฃูููุถููู ุงูุฐููููุฑู ูุงู ุฅููููู ุฅููุงูู ุงูููููู ููุฃูููุถููู ุงูุฏููุนูุงุกู ุงููุญูู
ูุฏู ููููููู " “bora ya dhikir ni kusema Lฤ ilฤha illallฤh na bora ya dua ni kusema Al-แธฅamdulillฤh” (amepokea Tirmidh).
2.Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
amesema " ู
ูุง ู
ููู ุนูุจูุฏู ููููููู ููู ุตูุจูุงุญู ููููู ููููู
ู ููู
ูุณูุงุกู ููููู ููููููุฉู ุจูุณูู
ู ุงูููููู ุงูููุฐูู ูุงู ููุถูุฑูู ู
ูุนู ุงุณูู
ููู ุดูููุกู ููู ุงูุฃูุฑูุถู ูููุงู ููู ุงูุณููู
ูุงุกู ูููููู ุงูุณููู
ููุนู ุงููุนููููู
ู ุซููุงูุซู ู
ูุฑููุงุชู ููููุถูุฑูููู ุดูููุกู " “Mja yeyote atakayesema ‘Bismillฤh, alladhi lฤ yaแธurru ma`a ismihi shai'un fil-arแธi wa lฤ fis-samฤ', wa huwas-Samฤซ`ul `Alฤซm’ mara tatu kila asubuhi na jioni hatadhuriwa na kitu chochote” (Amepokea Tirmidh).
3.mtume amesema " ู
ููู ููุงูู ุญูููู ููู
ูุณูู ุฑูุถููุชู ุจูุงูููููู ุฑูุจููุง ููุจูุงูุฅูุณููุงูู
ู ุฏููููุง ููุจูู
ูุญูู
ููุฏู ููุจููููุง ููุงูู ุญููููุง ุนูููู ุงูููููู ุฃููู ููุฑูุถููููู " “Mwenye kusema jioni ‘Raแธฤซtu billฤhi rabban wabil-Islฤmi dฤซnan wa bi-Muแธฅammadin nabiyyan’ itakuwa ni haki kwa Allah kumridhia” (Amepokea tirmidh).
4.Mtume alimwambia al-baraa IBN ‘Aazib kuwa “ุฃููุงู ุฃูุนููููู
ููู ููููู
ูุงุชู ุชููููููููุง ุฅูุฐูุง ุฃูููููุชู ุฅูููู ููุฑูุงุดููู ููุฅููู ู
ูุชูู ู
ููู ููููููุชููู ู
ูุชูู ุนูููู ุงููููุทูุฑูุฉู ููุฅููู ุฃูุตูุจูุญูุชู ุฃูุตูุจูุญูุชู ููููุฏู ุฃูุตูุจูุชู ุฎูููุฑูุง ุชูููููู ุงููููููู
ูู ุฅููููู ุฃูุณูููู
ูุชู ููููุณูู ุฅููููููู ููููุฌููููุชู ููุฌูููู ุฅููููููู ูููููููุถูุชู ุฃูู
ูุฑูู ุฅููููููู ุฑูุบูุจูุฉู ููุฑูููุจูุฉู ุฅููููููู ููุฃูููุฌูุฃูุชู ุธูููุฑูู ุฅููููููู ูุงู ู
ูููุฌูุฃู ูููุงู ู
ูููุฌูุง ู
ููููู ุฅููุงูู ุฅููููููู ุขู
ูููุชู ุจูููุชูุงุจููู ุงูููุฐูู ุฃูููุฒูููุชู ููุจูููุจูููููู ุงูููุฐูู ุฃูุฑูุณูููุชู "
“je nikufundishe maneno utakayoyasema pindi atakapoliendea tandiko lako (kulala) na kama utakufa utakufa katika fitrah (uislamu) na ukiamka asubhi utakuwa umepambaukiwa katika kheri? Utasema ‘'Allฤhumma innฤซ aslamtu nafsฤซ ilaika wa wajjahtu wajhฤซ ilaika, wa fawwaแธtu amrฤซ ilaika, raghbatan wa rahbatan ilaika wa alja'tu แบahrฤซ ilaika, lฤ malja'a [wa lฤ manjฤ] minka illฤ ilaik. ฤmantu bikitฤbikal-ladhฤซ anzalta wa binabiyyikal-ladhฤซ arsalt’ (Amepokea Tirmidh).
Umeionaje Makala hii.. ?
DUA Kwa ufupi dua ni kumuomba Allah akuondoshee lililobaya, ama linalo kuudhi ama akupe jambo fulani.
Soma Zaidi...Hizi ni Dua ambazo unatakiwa uziombe wakati wa shida na taabu
Soma Zaidi...Maana ya SunnahKilugha: Neno sunnah katika lugha ya Kiarabu lina maana ya mwenendo au mila.
Soma Zaidi...DUA ZA KUONDOA MAUMIVU MWILINI Katika uislamu Allah amejaalia dawa katika kufuata sunnah.
Soma Zaidi...Soma dua mbalimbali za kila siku ambazo unatakiwa uzijuwe. Dua 120 ambazo muislamu anatakiwa kuzijua
Soma Zaidi...