Kwenye Quran kuna duaambazo Allah ametufundisha tuziombe kwa ajili ya wazazi, familia na kwa ajili yetu wenyewe.
Katika Qur'an, kuna mafundisho mengi kuhusu kuwaombea wazazi. Hapa kuna dua mbili ambazo unaweza kusoma kuwaombea wazazi wako:
Dua ya Kuwaombea Rahma kwa Wazazi:
رَبّ٠ارْØÙŽÙ…ْهÙمَا كَمَا رَبَّيَانÙÙŠ صَغÙيرًا
Rabbirhamhuma kama rabbayani sagheera
"Ewe Mola wangu! Wapeni rehema kama walivyonilea utotoni."
Dua hii inaombwa kumwomba Mwenyezi Mungu awaonyeshe wazazi rehema kama walivyomlea mtu akiwa mdogo.
Dua ya kuwaombea msamaha wazazi
"رَبÙÙ‘ اغْÙÙØ±Ù’ Ù„ÙÙŠ ÙˆÙŽÙ„ÙÙˆÙŽØ§Ù„ÙØ¯ÙŽÙŠÙŽÙ‘"
Rabighfirlii waliwalidayya
"Ewe Mola wangu, nisamehe mimi na wazazi wangu."
Dua ya Kuwaombea Wazazi Wakiwa Hai wadumu katika swala:
رَبّ٠اجْعَلْنÙÙŠ Ù…ÙÙ‚Ùيمَ الصَّلَاة٠وَمÙÙ† Ø°ÙØ±Ù‘ÙيَّتÙÙŠ Ûš رَبَّنَا وَتَقَبَّلْ Ø¯ÙØ¹ÙŽØ§Ø¡Ù
Rabbij'alni muqeemas salaati wa min dhurriyyati, Rabbana wataqabbal du'a
"Ewe Mola wangu! Nijaalie niwe mwenye kusimamisha Sala na watu wa uzao wangu pia. Ewe Mola wetu! Ipoa dua yangu."
Dua hii inaomba neema kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa ajili ya mwenye kuomba na uzao wake, na pia kuomba dua zao zikubaliwe.
Ni muhimu kuheshimu na kuwathamini wazazi wetu, na dua ni njia moja ya kuonyesha upendo na kuwaombea mafanikio na rehema kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Zijue fadhila za kuomba dua, tambua umuhimu na mahimizo juu ya kuomba dua?
Soma Zaidi...Dua ni moja ya ibada ambazo zinamfanya mja awe karibu na Mweznyezi Mungu. Allah amesisitiza tumuombe dua kwa shida zetu zote, pia akaahidi kuwa atatujibu maombi yetu muda wowote tutakao muomba. Sasa ni zipi nyakati nzuri zaidi kuomb adua?
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha matamshi ambayo mtu akiyatamka Allah hujibu dua hiyo kwa urahisi.
Soma Zaidi...Hapa utakwendabkuijuwabhistoria ya uandishi wa hadithi. Pia utaijuwa sababu iliyopelekea uandishi wa hadithi kuwa mdogo .
Soma Zaidi...Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Tanzu za Hadith(1) Tanzu ya UsahihiKulingana na kiwango cha usahihi wa Hadith, Hadith zimegawanywa katika makundi makuu manne:(a) Sahihi (b) Hasan/Nzuri.
Soma Zaidi...