Menu



Dua za kuwaombea wazazi

Kwenye Quran kuna duaambazo Allah ametufundisha tuziombe kwa ajili ya wazazi, familia na kwa ajili yetu wenyewe.

Katika Qur'an, kuna mafundisho mengi kuhusu kuwaombea wazazi. Hapa kuna dua mbili ambazo unaweza kusoma kuwaombea wazazi wako:

Dua ya Kuwaombea Rahma kwa Wazazi:

رَبِّ ارْحَمْهُمَا كَمَا رَبَّيَانِي صَغِيرًا

Rabbirhamhuma kama rabbayani sagheera

"Ewe Mola wangu! Wapeni rehema kama walivyonilea utotoni."

Dua hii inaombwa kumwomba Mwenyezi Mungu awaonyeshe wazazi rehema kama walivyomlea mtu akiwa mdogo.

 

Dua ya kuwaombea msamaha wazazi

"رَبِّ اغْفِرْ لِي وَلِوَالِدَيَّ"

Rabighfirlii waliwalidayya

"Ewe Mola wangu, nisamehe mimi na wazazi wangu."

 

 

Dua ya Kuwaombea Wazazi Wakiwa Hai wadumu katika swala:

رَبِّ اجْعَلْنِي مُقِيمَ الصَّلَاةِ وَمِن ذُرِّيَّتِي ۚ رَبَّنَا وَتَقَبَّلْ دُعَاءِ

Rabbij'alni muqeemas salaati wa min dhurriyyati, Rabbana wataqabbal du'a

"Ewe Mola wangu! Nijaalie niwe mwenye kusimamisha Sala na watu wa uzao wangu pia. Ewe Mola wetu! Ipoa dua yangu."

Dua hii inaomba neema kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa ajili ya mwenye kuomba na uzao wake, na pia kuomba dua zao zikubaliwe.

 

Ni muhimu kuheshimu na kuwathamini wazazi wetu, na dua ni njia moja ya kuonyesha upendo na kuwaombea mafanikio na rehema kutoka kwa Mwenyezi Mungu.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sunnah Main: Dini File: Download PDF Views 1234

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Dua sehemu ya 04

Soma dua mbalimbali za kila siku ambazo unatakiwa uzijuwe. Dua 120 ambazo muislamu anatakiwa kuzijua

Soma Zaidi...
Namna ambazo Allah hujibu dua ya mwenye kuomba.

Post hii inakwenda kukufundisha namna ama staili ambazo Allah hujibu dua za watu.

Soma Zaidi...
MASHARTI YA KUKUBALIWA KWA DUA

MASHART YA KUKUBALIWA KWA DUA.

Soma Zaidi...
Hadithi Ya 32: Kusiwe Na Kudhuriana Wala Kulipiza Dhara

الحديث الثاني والثلاثون "لا ضرر ولا ضرار" عَنْ أَبىِ سَعيدٍ سَعْدِ بْن مَالكِ بْن سِنَانٍ الْخُدريِّ رضي الله عنه  أَنَّ رَسُولَ اللّ?...

Soma Zaidi...
Uislamu ni Nasaha (kunasihiana) kwa Mwenyezi Mungu, Kitabu chake Mtume wake , Viongozi na waislamu wote

عَنْ أَبِي رُقَيَّةَ تَمِيمِ بْنِ أَوْسٍ الدَّارِيِّ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ أَنَّ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم قَالَ: "الدِّينُ النَّصِ?...

Soma Zaidi...
SHUGHULI ZA KILA SIKU

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
kuwa muaminifu na kuchunga Amana

Uaminifu ni uchungaji wa amana.

Soma Zaidi...
Historia ya uandishi wa Hadithi, na ni kwa nini wakati wa Mtunme hakukuwa na uandishibmkubwa wa hadithi

Hapa utakwendabkuijuwabhistoria ya uandishi wa hadithi. Pia utaijuwa sababu iliyopelekea uandishi wa hadithi kuwa mdogo .

Soma Zaidi...