Fahamu madhara ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke PID

Posti hii inazungumzia kuhusiana na mathara yanayosababisha Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke

Madhara ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwnamke PID

1.mirija ya uzazi kuziba hivyo hivyo kushindwa kupitisha mayai yaliyopevuka ili kurutubisha, hii huweza kusababisha mimba kutungiwa nje ya mfuko (ectopic pregnancy)

 

2.uke au uchi kukauka Mara kwa Mara, kwasababu ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi kushindwa kutoa unyevu unyevu ambao hufanya uke kuwa na unyevu (moisture) na uke ukiwa mkavu husababisha maumivu wakati wa kujamiina na michubuko pia.

 

3.mzunguko wa hedhi wa Mara kwa Mara, hutokea pale ambapo via vya Uzazi vimesha shambuliwa na bacteria.

 

4.kukosa hamu ya tendo la ndoa kwasababu ya hormone imbalance.

 

5.kupata kansa ya shingo ya uzazi kutokana na kushambuliwa na Maambukizi ya bacteria katika sehemu za Uzazi 

 

6.mimba kutungiwa nje ya kizazi baada ya kizazi Kuharibika na mirija ya uzazi kuziba.

 

7.kukosa hamu ya tendo la ndoa kwasababu ya hormone Imbalance.

 

8. Kukosa Ute wa hedhi (Ovulation) unaoashiria siku maalumu za kupata mimba

 

9.wakati mwingine kukosa hedhi kabisa.

 

10.mirija ya uzazi Kuharibika kwasababu huziba pia bacteria huenda moja kwa moja kushambuliwa mirija ya uzazi hivyo huharibika.

 

11. Mwanamke atapata ugumba Kama atashindwa kupata tiba sahii kwa muda muafaka  

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1670

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Changamoto kubwa za tendo la ndoa kwa wanaume

Posti hii inahusu zaidi changamoto ya tendo la ndoa kwa wanaume,wanaume wamekuwa wakipata changamoto ya tendo la ndoa na kuwafanya kushindwa kujiamini na kukosa kabisa raha kwenye maisha yao

Soma Zaidi...
Nini husababisha upungufu wa nguvu za kiume

Post hii itakujulidha mambo ambayo hupunguza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Faida za uzazi wa mpango kwa watu wenye ugonjwa wa Ukimwi

Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, ni faida wanazozipata waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi.

Soma Zaidi...
Uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama.

Posti hii inahusu zaidi uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama, kwa kawaida uchungu unapaswa kuwa ndani ya masaa Kumi na mawili ila Kuna wakati mwingine uchungu unaweza kuwa zaidi ya masaa Kumi na mawili na kusababisha madhara yasiyo ya kawaida kwa Mama n

Soma Zaidi...
Habari nilitaka kujua kuhusu ugonjwa wa fungusi kwenye uume

Je na wewe unasumbuliwa na fangasi wenye uume. Post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia mimba zisiharibike.

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuzuia mimba zisiharibike, kwa sababu kila mama anayebeba mimba anategemea kupata mtoto kwa hiyo na sisi hamu yetu ni kuhakikisha kwamba mtoto anazaliwa kwa kuzuia mimba kuharibik

Soma Zaidi...
Siku za kupata mimba

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba

Soma Zaidi...
Maelekezo muhimu kwa Mama au mlezi wa mtoto mgonjwa

Posti hii inahusu zaidi maelekezo muhimu kwa mama au mlezi wa mtoto mgonjwa. Ni maelekezo muhimu hasa wakati wa kutoa dawa kwa mtoto.

Soma Zaidi...
Tiba mbadala ya fangasi wa uumeni

Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala ya fangasi wa uumeni

Soma Zaidi...