image

Fahamu madhara ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke PID

Posti hii inazungumzia kuhusiana na mathara yanayosababisha Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke

Madhara ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwnamke PID

1.mirija ya uzazi kuziba hivyo hivyo kushindwa kupitisha mayai yaliyopevuka ili kurutubisha, hii huweza kusababisha mimba kutungiwa nje ya mfuko (ectopic pregnancy)

 

2.uke au uchi kukauka Mara kwa Mara, kwasababu ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi kushindwa kutoa unyevu unyevu ambao hufanya uke kuwa na unyevu (moisture) na uke ukiwa mkavu husababisha maumivu wakati wa kujamiina na michubuko pia.

 

3.mzunguko wa hedhi wa Mara kwa Mara, hutokea pale ambapo via vya Uzazi vimesha shambuliwa na bacteria.

 

4.kukosa hamu ya tendo la ndoa kwasababu ya hormone imbalance.

 

5.kupata kansa ya shingo ya uzazi kutokana na kushambuliwa na Maambukizi ya bacteria katika sehemu za Uzazi 

 

6.mimba kutungiwa nje ya kizazi baada ya kizazi Kuharibika na mirija ya uzazi kuziba.

 

7.kukosa hamu ya tendo la ndoa kwasababu ya hormone Imbalance.

 

8. Kukosa Ute wa hedhi (Ovulation) unaoashiria siku maalumu za kupata mimba

 

9.wakati mwingine kukosa hedhi kabisa.

 

10.mirija ya uzazi Kuharibika kwasababu huziba pia bacteria huenda moja kwa moja kushambuliwa mirija ya uzazi hivyo huharibika.

 

11. Mwanamke atapata ugumba Kama atashindwa kupata tiba sahii kwa muda muafaka  



           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/01/13/Thursday - 12:20:54 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1186


Download our Apps
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Dalili za mimba kuanzia siku 7 Hadi 14
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba kuanzia siku 7 Hadi 14 Soma Zaidi...

Dalili za mimba ya siku 4
Unaweza kutaka kujuwa je naweza kupata dalili za mimba baada ya siku nne toka ujauzito kutungwa? ama baada ya siku nne toka kushiriki tendo la ndoa. Makala hii itakwenda kujibu maswali haya na mengineyo. Soma Zaidi...

Ijue kazi ya homoni ya HCG wakati wa kupima mimba.
Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya HCG katika kupima mimba, HCG maana yake ni human chorionic gonadotropin ni homoni ambayo uonekanekana kwenye mkojo na damu kama mtu ana mimba. Soma Zaidi...

TATIZO LA KUVIMBA KWA USO NA MIGUU KWA WAJAWAZITO
KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito. Soma Zaidi...

Kutoka kwa mimba, sababu za kutoka kwa mimba, dalili za kutoka mimba na kuzuia mimba kuoka
Mimba inapotoka ina dalili, na zipo sababu kadhaa za kutoka kwa mimba. Je utazuiaje mimba kutoka. Soma makala hii Soma Zaidi...

Yajue madhara ya kutoa mimba mara Kwa mara
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale wenye tabia ya kutoa mimba mara Kwa mara . Soma Zaidi...

Dalili za kujifungua
Makala hii itakwenda kukufundisha dalili za kujifunguwa, hatuwa za kujifunguwa na kuzalisha, pia utajifunza mabo muhimu kabla na wakatii wa kujifungua. Soma Zaidi...

UUME KUWASHA
Post yetu imebeba mada inayohusiana na wanaume wanaowashwa Uume embu tuone dalili zinazopelekea kuwashwa kwa penis. Uume(penis) ni party ya mwanaume ya sehemu za siri.pia wanaume ambao hawajatahiriwa(unsircumside) kwasababu Ile ngozi ya juu husababishwa k Soma Zaidi...

Jinsi ya kuacha kupiga punyeto.
Post hii inakwenda kukupa njia za kukusaidia kuacha punyeto. Soma Zaidi...

Mambo ambayo mama anapaswa kujua akiwa mjamzito
Posti hii inahusu zaidi mambo anyopaswa kujua akiwa mjamzito. Ni mambo muhimu ya kuzingatia kwa mama akiwa mjamzito. Soma Zaidi...

Dalili za kuharibika kwa mimba
Katika post hii utajifunza ishara na dalili ninazoonyesha kuwa mimba ipo hatarini kutoka ama inaweza kuwa imeshatoka. Soma Zaidi...

Vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba
Posti hii inahusu zaidi vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba,ni vipimo vya moja kwa moja kutoka maabara na vingine sio vya maabara. Soma Zaidi...