Menu



Fahamu madhara ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke PID

Posti hii inazungumzia kuhusiana na mathara yanayosababisha Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke

Madhara ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwnamke PID

1.mirija ya uzazi kuziba hivyo hivyo kushindwa kupitisha mayai yaliyopevuka ili kurutubisha, hii huweza kusababisha mimba kutungiwa nje ya mfuko (ectopic pregnancy)

 

2.uke au uchi kukauka Mara kwa Mara, kwasababu ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi kushindwa kutoa unyevu unyevu ambao hufanya uke kuwa na unyevu (moisture) na uke ukiwa mkavu husababisha maumivu wakati wa kujamiina na michubuko pia.

 

3.mzunguko wa hedhi wa Mara kwa Mara, hutokea pale ambapo via vya Uzazi vimesha shambuliwa na bacteria.

 

4.kukosa hamu ya tendo la ndoa kwasababu ya hormone imbalance.

 

5.kupata kansa ya shingo ya uzazi kutokana na kushambuliwa na Maambukizi ya bacteria katika sehemu za Uzazi 

 

6.mimba kutungiwa nje ya kizazi baada ya kizazi Kuharibika na mirija ya uzazi kuziba.

 

7.kukosa hamu ya tendo la ndoa kwasababu ya hormone Imbalance.

 

8. Kukosa Ute wa hedhi (Ovulation) unaoashiria siku maalumu za kupata mimba

 

9.wakati mwingine kukosa hedhi kabisa.

 

10.mirija ya uzazi Kuharibika kwasababu huziba pia bacteria huenda moja kwa moja kushambuliwa mirija ya uzazi hivyo huharibika.

 

11. Mwanamke atapata ugumba Kama atashindwa kupata tiba sahii kwa muda muafaka  

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 1588


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Je nitahakikisha vipi Kama Nina ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuhakiki Kama u-mjamzito Soma Zaidi...

Nini sababu ya kuwashwa kwa njia ya mkojo kwa wanaume
Habari ya muda huu Dokata. Soma Zaidi...

Mbinu za kupunguza Kichefuchefu
Point hii inahusu zaidi mbinu za kupunguza Kichefuchefu hasa kwa wagonjwa na watumiaji wa madawa mbalimbali yanayoweza kusababisha kichefuchefu. Soma Zaidi...

NAMNA YA KUITAMBUA SIKU HATARI YA KUPATA MIMBA (UJAUZITO)
SIKU YA KUPATA UJAUZITO Mimba hutokea pindi mbegu ya kiume (sperm) inapokutana na yai la mwanamke (ova) na kuungana kwa pamoja kutengeneza selli moja iitwayo zygote. Soma Zaidi...

Namna ya kutunza joto la mtoto mara tu baada ya kuzaliwa.
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kutunza joto la mtoto mara tu anapozaliwa,tunajuwa wazi kuwa Mama anaweza kujifungulia sehemu yoyote ile kabla hajafika hospitalini kwa hiyo mtoto anapaswa kuwa na joto la mwili la kutosha i Soma Zaidi...

Post hii inahusu zaidi umuhimu wa kondo la nyuma
Kondo la nyuma ni sehemu ya mwili wa mama anapokuwa mjamziti,kondo la nyuma husaidia katika kazi mbalimbali katika ukuaji wa mtoto. Soma Zaidi...

Kwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?
Soma Zaidi...

Dalili za kujifungua
Makala hii itakwenda kukufundisha dalili za kujifunguwa, hatuwa za kujifunguwa na kuzalisha, pia utajifunza mabo muhimu kabla na wakatii wa kujifungua. Soma Zaidi...

Uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama.
Posti hii inahusu zaidi uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama, kwa kawaida uchungu unapaswa kuwa ndani ya masaa Kumi na mawili ila Kuna wakati mwingine uchungu unaweza kuwa zaidi ya masaa Kumi na mawili na kusababisha madhara yasiyo ya kawaida kwa Mama n Soma Zaidi...

Sababu za mbegu za kiume kuwa dhaifu
Posti hii inahusu zaidi sababu za mbegu za kiume kuwa dhaifu, hali hii uwatokea wanaume wengi kwa sababu mbalimbali za kimaisha ambazo ufanya mbegu za kiume kuwa dhaifu na kusababisha madhara makubwa zaidi kwa sababu wanaume wengi ushindwa kujiamini kwa h Soma Zaidi...