Fahamu madhara ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke PID
Posti hii inazungumzia kuhusiana na mathara yanayosababisha Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke
Madhara ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwnamke PID
1.mirija ya uzazi kuziba hivyo hivyo kushindwa kupitisha mayai yaliyopevuka ili kurutubisha, hii huweza kusababisha mimba kutungiwa nje ya mfuko (ectopic pregnancy)
2.uke au uchi kukauka Mara kwa Mara, kwasababu ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi kushindwa kutoa unyevu unyevu ambao hufanya uke kuwa na unyevu (moisture) na uke ukiwa mkavu husababisha maumivu wakati wa kujamiina na michubuko pia.
3.mzunguko wa hedhi wa Mara kwa Mara, hutokea pale ambapo via vya Uzazi vimesha shambuliwa na bacteria.
4.kukosa hamu ya tendo la ndoa kwasababu ya hormone imbalance.
5.kupata kansa ya shingo ya uzazi kutokana na kushambuliwa na Maambukizi ya bacteria katika sehemu za Uzazi
6.mimba kutungiwa nje ya kizazi baada ya kizazi Kuharibika na mirija ya uzazi kuziba.
7.kukosa hamu ya tendo la ndoa kwasababu ya hormone Imbalance.
8. Kukosa Ute wa hedhi (Ovulation) unaoashiria siku maalumu za kupata mimba
9.wakati mwingine kukosa hedhi kabisa.
10.mirija ya uzazi Kuharibika kwasababu huziba pia bacteria huenda moja kwa moja kushambuliwa mirija ya uzazi hivyo huharibika.
11. Mwanamke atapata ugumba Kama atashindwa kupata tiba sahii kwa muda muafaka
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π2 ai web app π3 kitabu cha Simulizi π4 Madrasa kiganjani π5 Simulizi za Hadithi Audio π6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Dr nahis kuchanganyikiwa nimetoka niliingia hedhi tar 18 mwezi wa9 lakini saivi Jana tena nmeingia dr hii imekaaje mimi?
Kamaumeshawahi kujiuliza kuhusu kutokwaba damu tofautivna siku za hedhi, base mwaka hii ni kwaajiki yako.
Soma Zaidi...Mimi nilipima na kipimo mwenyewe nkakuta mistari miwili iliokoza lkn nikifanya tendo nakua naumia sana tatizo ni Nini docta
Je anapatwa maumivu Γ°ΕΈΛΒ makali wakati wa tendo la ndoa ama ukiwa katika hedhi? Soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...Mimba huonekana katka mkojo baada ya muda gan tangu itungwe
Kipimo cha mimba kwa mkojo kimekuwa kikitumika sana kuangalia ujauzito. Kipimo hiki kinapotumika vibaya kinaweza kukupa majibu ya uongo. Kuwa makini na ujue muda sahihi.
Soma Zaidi...Tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume.
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume, ni tatizo ambalo uwakumba baadhi ya wanaume kwa sababu mbalimbali na pia Ugonjwa huu unatibika hasa kwa wale wanaowahi kupata matibabu.
Soma Zaidi...