siku ya mwisho katika Quran imepewayafuatayo:
Siku ya Qiyama (21:47, 75:1, 75:6, 79: 42) Siku ya mwisho (2:4, 2:8, 58:22)
Siku ya malipo (1 :4, 82:9, 95 :7, 107:1, 83 :11) Msiba ugongao nyoyo (101:1)
Siku ya hukumu (77:13-14)Wakati maalumu (56:49-50)
Siku ya makamio (50:20)
Siku ya makutano (40:15)
Siku iliyokaribu sana kufika (40:18)
Siku ya kuitana (40:32)
Siku ya kutoka makaburini (50:42)Tukio lilokaribu, limesogea
Siku zitakapotikisika mbingu mtikisiko wake 187
(xiv)Siku ya kukaa daima (50:42)
(xv)Siku zitakapofichuliwa siri (86:9)
(xvi)Tukio la Haki (69:1-3)
(xvii)Siku ya Haki (78:39)
(xviii)Tukio kubwa (56:1-2)
(xix)Siku iliyokadiriwa (85:2)
(xx)Msiba ukumbao (88:1)
(xxi)Siku iliyokuu (83:5)
(xxii)Siku ya mkusanyiko (64:9)
(xxiii)Siku ya Hisabu
Umeionaje Makala hii.. ?
Kuamini Malaika ni imani ambayo pindi ikithibiti vema moyoni, huleta taathira kubwa sana katika maisha ya kila siku na hivyo kubadili kabisa tabia na mwenendo wa Muumini.
Soma Zaidi...Mtazamo wa uislamu juu ya ibada (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Mtazamo wa uislamu juu ya dini (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Waumini wa kweli wa Mitume wa Allah (s.
Soma Zaidi...عَنْ عُمَرَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ أَيْضًا قَالَ: " بَيْنَمَا نَحْنُ جُلُوسٌ عِنْدَ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم ذَاتَ يَوْمٍ، إذْ ?...
Soma Zaidi...Kwa mtazamo wa kikafiri elimu imegawanyika katika makundi mawili ambayo ni Elimu ya dunia na Elimu ya akhera.
Soma Zaidi...