mwanadamu hawezi kuishi bila ya Dini
Mwanaadamu hawezi kuishi bila Dini
Mwanaadamu hawezi kuishi bila dini kwa sababu zifuatazo:
(a)Maana halisi ya dini
Tunaona kuwa maana halisi ya dini kwa mtazamo wa Qurβan ni utaratibu au mfumo wa maisha anaoufuata mwanaadamu katika kuendesha maisha yake ya kila siku.
Hivyo kwa vyovyote vile mwanaadamu katika kuendesha maisha yake ya kila siku atakuwa anafuata dini moja au nyingine. Hana namna yoyote ya kuishi bila dini.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 web hosting π2 Kitabu cha Afya π3 kitabu cha Simulizi π4 ai web app π5 Simulizi za Hadithi Audio π6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu unasababishwa na sababu zifuatazo
Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu unasababishwa na nini? (EDK form 1: mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu unasababishwa na sababu zifuatazo)
Soma Zaidi...Dalili na ishara za jeraha kwenye ngozi
Posti hii inaonyesha dalili,sababu na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa aliyepata jeraha kwenye ngozi kwa kuingiliwa na kitu Kama mwiba,Pini,sindano n.k
Soma Zaidi...