mwanadamu hawezi kuishi bila ya Dini
Mwanaadamu hawezi kuishi bila Dini
Mwanaadamu hawezi kuishi bila dini kwa sababu zifuatazo:
(a)Maana halisi ya dini
Tunaona kuwa maana halisi ya dini kwa mtazamo wa Qurโan ni utaratibu au mfumo wa maisha anaoufuata mwanaadamu katika kuendesha maisha yake ya kila siku.
Hivyo kwa vyovyote vile mwanaadamu katika kuendesha maisha yake ya kila siku atakuwa anafuata dini moja au nyingine. Hana namna yoyote ya kuishi bila dini.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐1 ai web app ๐2 Kitau cha Fiqh ๐3 Kitabu cha Afya ๐4 Simulizi za Hadithi Audio ๐5 web hosting ๐6 Bongolite - Game zone - Play free game
๐1 ai web app ๐2 Kitau cha Fiqh ๐3 Kitabu cha Afya ๐4 Simulizi za Hadithi Audio ๐5 web hosting ๐6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Dalili za kuwepo mwenyezi Mungu
Nguzo za Imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...