?????? ?????? ?????????
??? ????? ???????? ?????? ????? ????????? ???? ????? ??? ???? ???? ???? ??????? ?????????? ???? ??????? ????????? ????????? ??????? ?????:
(????? ???? ?????? ??????????? ????????????? ????? ??????? ??????? ?????? ????? ?????????? ?????? ??????????? ????????? ????? ???????? ???????? ???????????????? ????? ????? ??????????? ????????? ????? ???????? ?????? ????????? ????? ???????????? ?????? ????? ???????? ??????????. ?????? ????? ??????????? ?????? ??????????? ????????? ????? ???????? ???????? ???????????????? ????? ????? ??????????? ????????? ????? ????????? ?????????)
??????? ???????????? ?????????? ?? ??????????????? ???????? ??????????
Kutoka kwa Ibn ‘Abbaas ??? ???? ????? kapokea kutoka kwa Mtume ??? ???? ???? ???? amesema kutokana na yale aliyoyapokea kutoka kwa Mola wake Aliyetukuka, kwamba Kasema: ((Hakika Allaah Ameviandika vitendo vyema na viovu, kasha Akavibainisha. Basi atakayeazimia kufanya tendo jema kisha asiweze kulifanya, basi Allaah Atamwandikia ujira wa tendo jema lililokamika. Na ikiwa aliazimia kulifanya kisha akalifanya, basi Allaah Atamwandikia (Atamlipa) ujira mara kumi hadi mara mia saba na zaidi ya idadi hiyo.
Na atakayeazimia kufanya tendo ovu kisha asilifanye, Allaah Atamwandikia (Atamlipa) ujira mmoja, na endapo atalifanya tendo
Imesimuliwa na Al-Bukhaariy na Muslim kwa herufi hizi
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika hadithi hii utakwenda kujifunza nguzo za uislamu
Soma Zaidi...hii ni orodha ya dua mbalimbali kutoka kwenye quran. Unaweza kuzitumia dua hizi kujipendekeza kwa Allah na kupata msamaha, neema na mengineyo.
Soma Zaidi...HAdithi hii itakufundisha namna ambavyo mwanadamu anapitia hatuwa mbalumbali tumboni mwa mama yake
Soma Zaidi...Soma dua mbalimbali za kila siku ambazo unatakiwa uzijuwe. Dua 120 ambazo muislamu anatakiwa kuzijua
Soma Zaidi...Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...