Hadithi Ya 35: Msioneane Choyo, Msizidishiane Bei, Msichukiane

Hadithi Ya 35: Msioneane Choyo, Msizidishiane Bei, Msichukiane

Hadithi Ya 35: Msioneane Choyo, Msizidishiane Bei, Msichukiane

' ' '

"' ' ' ' ' '"

 ' ' ' ' ' ' ': ' ' ' ' ' ' ' : ((' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ': ' ' ' ' ' ' ' ' - ' ' ' ' ' , ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ' ': ' ' '))

 

' '  


HADITHI YA 35 MSIONEANE CHOYO, MSIZIDISHIANE BEI, MSICHUKIANE

 

Kutoka kwa Abu Hurayra ' ' '   ambae amesema: Mtume ' ' ' '   kasema:

Msioneane choyo, wala msizidishiane bei (za vitu), wala msichukiane, wala msipigane mapande (msitengane), wala msishindane kwa kupunguza bei.  Lakini kuweni ndugu, enyi  waja wa Mwenyeezi Mungu, Muislamu ni ndugu wa Muislamu mwenzake, hamdhulumu wala hamvunji, hamwambii uongo wala hamdharau.  Ucha Mungu  uko hapa (huku akiashiria kifuani kwake kwa vidole vyake) mara tatu.  Ni uovu wa kutosha kwa mtu kumdharau ndugu yake Muislamu.  Muislamu ameharamishiwa kwa Muislamu mwenzake: damu yake, mali yake na heshima yake (Yaani haramu kuchukua mali ya mwenzako, kumuua na kumdhalilisha).

Imesimuliwa na Muslim  



                   



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 160


Download our Apps
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Yanayofaa kwa maamuma katika kumfata imamu kwenye swala ya jamaa
Soma Zaidi...

Sababu za kushuka kwa Surat At-Takaathur
Wanazuoni wengi zaidi wanakubaliana ya kuwa sura hii surat At-Takaathur ilishuka Makka, na hizi ndio sababu za kushuka kwa sura hii Soma Zaidi...

Uislamu unakataza mtu kulaani hovyo
20. Soma Zaidi...

Masiku ya Tashiq, kuchinja na kufanya tawafu ya kuaga
8. Soma Zaidi...

Nini maana ya Kibri, madhara yake na kujiepusha na kibri
18. Soma Zaidi...

Makatazo ya kujiepusha nayo
Soma Zaidi...

Njia za kudhibiti riba
Ufumbuzi wa tatizo la ribaRiba imeenea na kuzoeleka duniani kwa kiasi ambacho watu wengi wanadhani kuwa bila riba hakuna shughuli yoyote ya uchumi inayowezekana. Soma Zaidi...

Historia ya Kuzuka Imani ya Kishia waliodai kuwa ni wafuasi wa Ally
Soma Zaidi...

DUA ZENYE MANENO HAYA HUJIBIWA
SIFA ZA (MANENO NA MATAMSHI YA) DUA YENYE KUJIBIWA. Soma Zaidi...

Mtume(s.a.w) Kulingania Uislamu Katika Mji wa Taif
Baada tu ya Mtume(s. Soma Zaidi...

Husimamisha swala
Husimamisha swala katika maisha yao yote. Soma Zaidi...

Utekwaji wa Misri na Gavana Muawiya
Soma Zaidi...