ADHKAR NA DUA

ADHKARI MBALIMBALI NA DUA Hapa tutajifunza dua mbalimbali ambazo ni adhkari.

ADHKAR NA DUA


ADHKARI MBALIMBALI NA DUA
Hapa tutajifunza dua mbalimbali ambazo ni adhkari. Tutajifunza pia na faida zake kama Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… alivyozungumza na masahaba zake. 1.amesema Mtume"โ€ ุฃูŽูู’ุถูŽู„ู ุงู„ุฐู‘ููƒู’ุฑู ู„ุงูŽ ุฅูู„ูŽู‡ูŽ ุฅูู„ุงู‘ูŽ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ูˆูŽุฃูŽูู’ุถูŽู„ู ุงู„ุฏู‘ูุนูŽุงุกู ุงู„ู’ุญูŽู…ู’ุฏู ู„ูู„ู‘ูŽู‡ู โ€"โ€ โ€œbora ya dhikir ni kusema Lฤ ilฤha illallฤh na bora ya dua ni kusema Al-แธฅamdulillฤhโ€ (amepokea Tirmidh).

2.Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… amesema "โ€ ู…ูŽุง ู…ูู†ู’ ุนูŽุจู’ุฏู ูŠูŽู‚ููˆู„ู ูููŠ ุตูŽุจูŽุงุญู ูƒูู„ู‘ู ูŠูŽูˆู’ู…ู ูˆูŽู…ูŽุณูŽุงุกู ูƒูู„ู‘ู ู„ูŽูŠู’ู„ูŽุฉู ุจูุณู’ู…ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุงู„ู‘ูŽุฐููŠ ู„ุงูŽ ูŠูŽุถูุฑู‘ู ู…ูŽุนูŽ ุงุณู’ู…ูู‡ู ุดูŽูŠู’ุกูŒ ูููŠ ุงู„ุฃูŽุฑู’ุถู ูˆูŽู„ุงูŽ ูููŠ ุงู„ุณู‘ูŽู…ูŽุงุกู ูˆูŽู‡ููˆูŽ ุงู„ุณู‘ูŽู…ููŠุนู ุงู„ู’ุนูŽู„ููŠู…ู ุซูŽู„ุงูŽุซูŽ ู…ูŽุฑู‘ูŽุงุชู ููŽูŠูŽุถูุฑู‘ูู‡ู ุดูŽูŠู’ุกูŒ โ€" โ€œMja yeyote atakayesema โ€˜Bismillฤh, alladhi lฤ yaแธurru ma`a ismihi shai'un fil-arแธi wa lฤ fis-samฤ', wa huwas-Samฤซ`ul `Alฤซmโ€™ mara tatu kila asubuhi na jioni hatadhuriwa na kitu chochoteโ€ (Amepokea Tirmidh).

3.mtume amesema "โ€ ู…ูŽู†ู’ ู‚ูŽุงู„ูŽ ุญููŠู†ูŽ ูŠูู…ู’ุณููŠ ุฑูŽุถููŠุชู ุจูุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุฑูŽุจู‘ู‹ุง ูˆูŽุจูุงู„ุฅูุณู’ู„ุงูŽู…ู ุฏููŠู†ู‹ุง ูˆูŽุจูู…ูุญูŽู…ู‘ูŽุฏู ู†ูŽุจููŠู‘ู‹ุง ูƒูŽุงู†ูŽ ุญูŽู‚ู‘ู‹ุง ุนูŽู„ูŽู‰ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุฃูŽู†ู’ ูŠูุฑู’ุถููŠูŽู‡ู โ€"โ€ โ€œMwenye kusema jioni โ€˜Raแธฤซtu billฤhi rabban wabil-Islฤmi dฤซnan wa bi-Muแธฅammadin nabiyyanโ€™ itakuwa ni haki kwa Allah kumridhiaโ€ (Amepokea tirmidh).

4.Mtume alimwambia al-baraa IBN โ€˜Aazib kuwa โ€œุฃูŽู„ุงูŽ ุฃูุนูŽู„ู‘ูู…ููƒูŽ ูƒูŽู„ูู…ูŽุงุชู ุชูŽู‚ููˆู„ูู‡ูŽุง ุฅูุฐูŽุง ุฃูŽูˆูŽูŠู’ุชูŽ ุฅูู„ูŽู‰ ููุฑูŽุงุดููƒูŽ ููŽุฅูู†ู’ ู…ูุชู‘ูŽ ู…ูู†ู’ ู„ูŽูŠู’ู„ูŽุชููƒูŽ ู…ูุชู‘ูŽ ุนูŽู„ูŽู‰ ุงู„ู’ููุทู’ุฑูŽุฉู ูˆูŽุฅูู†ู’ ุฃูŽุตู’ุจูŽุญู’ุชูŽ ุฃูŽุตู’ุจูŽุญู’ุชูŽ ูˆูŽู‚ูŽุฏู’ ุฃูŽุตูŽุจู’ุชูŽ ุฎูŽูŠู’ุฑู‹ุง ุชูŽู‚ููˆู„ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ูู…ู‘ูŽ ุฅูู†ู‘ููŠ ุฃูŽุณู’ู„ูŽู…ู’ุชู ู†ูŽูู’ุณููŠ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ูˆูŽูˆูŽุฌู‘ูŽู‡ู’ุชู ูˆูŽุฌู’ู‡ููŠ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ูˆูŽููŽูˆู‘ูŽุถู’ุชู ุฃูŽู…ู’ุฑููŠ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ุฑูŽุบู’ุจูŽุฉู‹ ูˆูŽุฑูŽู‡ู’ุจูŽุฉู‹ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ูˆูŽุฃูŽู„ู’ุฌูŽุฃู’ุชู ุธูŽู‡ู’ุฑููŠ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ู„ุงูŽ ู…ูŽู„ู’ุฌูŽุฃูŽ ูˆูŽู„ุงูŽ ู…ูŽู†ู’ุฌูŽุง ู…ูู†ู’ูƒูŽ ุฅูู„ุงู‘ูŽ ุฅูู„ูŽูŠู’ูƒูŽ ุขู…ูŽู†ู’ุชู ุจููƒูุชูŽุงุจููƒูŽ ุงู„ู‘ูŽุฐููŠ ุฃูŽู†ู’ุฒูŽู„ู’ุชูŽ ูˆูŽุจูู†ูŽุจููŠู‘ููƒูŽ ุงู„ู‘ูŽุฐููŠ ุฃูŽุฑู’ุณูŽู„ู’ุชูŽ โ€"โ€ โ€

โ€œje nikufundishe maneno utakayoyasema pindi atakapoliendea tandiko lako (kulala) na kama utakufa utakufa katika fitrah (uislamu) na ukiamka asubhi utakuwa umepambaukiwa katika kheri? Utasema โ€˜'Allฤhumma innฤซ aslamtu nafsฤซ ilaika wa wajjahtu wajhฤซ ilaika, wa fawwaแธtu amrฤซ ilaika, raghbatan wa rahbatan ilaika wa alja'tu แบ“ahrฤซ ilaika, lฤ malja'a [wa lฤ manjฤ] minka illฤ ilaik. ฤ€mantu bikitฤbikal-ladhฤซ anzalta wa binabiyyikal-ladhฤซ arsaltโ€™ (Amepokea Tirmidh).


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Download App yetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sunnah Main: Dini File: Download PDF Views 2124

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Dua za Mitume na Manabii    ๐Ÿ‘‰2 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰3 web hosting    ๐Ÿ‘‰4 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    ๐Ÿ‘‰6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

DUA ZA WAKATI WA HASIRA

DUA ZA WAKATI UNAPOKUWA NA HASIRA.

Soma Zaidi...
MASHARTI YA KUKUBALIWA KWA DUA

MASHART YA KUKUBALIWA KWA DUA.

Soma Zaidi...
Maana ya sunnah (suna) na maana ya hadithi

Post hii itakufundisha maana ya neno sunnah katika Uislamu. Pia utajifunza maana ya neno hadithi katika uislamu

Soma Zaidi...
Hadithi Ya 32: Kusiwe Na Kudhuriana Wala Kulipiza Dhara

ุงู„ุญุฏูŠุซ ุงู„ุซุงู†ูŠ ูˆุงู„ุซู„ุงุซูˆู† "ู„ุง ุถุฑุฑ ูˆู„ุง ุถุฑุงุฑ" ุนูŽู†ู’ ุฃูŽุจู‰ู ุณูŽุนูŠุฏู ุณูŽุนู’ุฏู ุจู’ู† ู…ูŽุงู„ูƒู ุจู’ู† ุณูู†ูŽุงู†ู ุงู„ู’ุฎูุฏุฑูŠู‘ูย ุฑุถูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ย  ุฃูŽู†ู‘ูŽ ุฑูŽุณููˆู„ูŽ ุงู„ู„ู‘?...

Soma Zaidi...
JINSI YA KUOMBA DUA ILI IKUBALIWE NA ALLAH

Kukubaliwa kwa dua kunategemea mahusiano yako na Allah. hata hivyo kuna baadhi ya mabo ukiyafanya dua yako inaweza kukubaliwa kwa haraka zaidi. Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu jinsi ya kuomba dua ikubaliwe.

Soma Zaidi...
Al-Arbauwn An-Nawawiyyah hadithi ya 3: Nguzo za uislamu

Katika hadithi hii utakwenda kujifunza nguzo za uislamu

Soma Zaidi...
Adabu za kuomba dua kuifanya dua yako ikubaliwe kwa haraka

Post hii inakwenda kukugundisha adabu zinazotakikana kwa mwenye kuomba dua.

Soma Zaidi...