ADHKARI MBALIMBALI NA DUA Hapa tutajifunza dua mbalimbali ambazo ni adhkari.
ADHKARI MBALIMBALI NA DUA
Hapa tutajifunza dua mbalimbali ambazo ni adhkari. Tutajifunza pia na faida zake kama Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
alivyozungumza na masahaba zake.
1.amesema Mtume"โ ุฃูููุถููู ุงูุฐููููุฑู ูุงู ุฅููููู ุฅููุงูู ุงูููููู ููุฃูููุถููู ุงูุฏููุนูุงุกู ุงููุญูู
ูุฏู ููููููู โ"โ โbora ya dhikir ni kusema Lฤ ilฤha illallฤh na bora ya dua ni kusema Al-แธฅamdulillฤhโ (amepokea Tirmidh).
2.Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
amesema
"โ ู
ูุง ู
ููู ุนูุจูุฏู ููููููู ููู ุตูุจูุงุญู ููููู ููููู
ู ููู
ูุณูุงุกู ููููู ููููููุฉู ุจูุณูู
ู ุงูููููู ุงูููุฐูู ูุงู ููุถูุฑูู ู
ูุนู ุงุณูู
ููู ุดูููุกู ููู ุงูุฃูุฑูุถู ูููุงู ููู ุงูุณููู
ูุงุกู ูููููู ุงูุณููู
ููุนู ุงููุนููููู
ู ุซููุงูุซู ู
ูุฑููุงุชู ููููุถูุฑูููู ุดูููุกู โ"
โMja yeyote atakayesema โBismillฤh, alladhi lฤ yaแธurru ma`a ismihi shai'un fil-arแธi wa lฤ fis-samฤ', wa huwas-Samฤซ`ul `Alฤซmโ mara tatu kila asubuhi na jioni hatadhuriwa na kitu chochoteโ (Amepokea Tirmidh).
3.mtume amesema "โ ู
ููู ููุงูู ุญูููู ููู
ูุณูู ุฑูุถููุชู ุจูุงูููููู ุฑูุจููุง ููุจูุงูุฅูุณููุงูู
ู ุฏููููุง ููุจูู
ูุญูู
ููุฏู ููุจููููุง ููุงูู ุญููููุง ุนูููู ุงูููููู ุฃููู ููุฑูุถููููู โ"โ
โMwenye kusema jioni โRaแธฤซtu billฤhi rabban wabil-Islฤmi dฤซnan wa bi-Muแธฅammadin nabiyyanโ itakuwa ni haki kwa Allah kumridhiaโ (Amepokea tirmidh).
4.Mtume alimwambia al-baraa IBN โAazib kuwa โุฃููุงู ุฃูุนููููู
ููู ููููู
ูุงุชู ุชููููููููุง ุฅูุฐูุง ุฃูููููุชู ุฅูููู ููุฑูุงุดููู ููุฅููู ู
ูุชูู ู
ููู ููููููุชููู ู
ูุชูู ุนูููู ุงููููุทูุฑูุฉู ููุฅููู ุฃูุตูุจูุญูุชู ุฃูุตูุจูุญูุชู ููููุฏู ุฃูุตูุจูุชู ุฎูููุฑูุง ุชูููููู ุงููููููู
ูู ุฅููููู ุฃูุณูููู
ูุชู ููููุณูู ุฅููููููู ููููุฌููููุชู ููุฌูููู ุฅููููููู ูููููููุถูุชู ุฃูู
ูุฑูู ุฅููููููู ุฑูุบูุจูุฉู ููุฑูููุจูุฉู ุฅููููููู ููุฃูููุฌูุฃูุชู ุธูููุฑูู ุฅููููููู ูุงู ู
ูููุฌูุฃู ูููุงู ู
ูููุฌูุง ู
ููููู ุฅููุงูู ุฅููููููู ุขู
ูููุชู ุจูููุชูุงุจููู ุงูููุฐูู ุฃูููุฒูููุชู ููุจูููุจูููููู ุงูููุฐูู ุฃูุฑูุณูููุชู โ"โ โ
โje nikufundishe maneno utakayoyasema pindi atakapoliendea tandiko lako (kulala) na kama utakufa utakufa katika fitrah (uislamu) na ukiamka asubhi utakuwa umepambaukiwa katika kheri? Utasema โ'Allฤhumma innฤซ aslamtu nafsฤซ ilaika wa wajjahtu wajhฤซ ilaika, wa fawwaแธtu amrฤซ ilaika, raghbatan wa rahbatan ilaika wa alja'tu แบahrฤซ ilaika, lฤ malja'a [wa lฤ manjฤ] minka illฤ ilaik. ฤmantu bikitฤbikal-ladhฤซ anzalta wa binabiyyikal-ladhฤซ arsaltโ (Amepokea Tirmidh).
Umeionaje Makala hii.. ?
Nini kilichangia ongezeko la uandishi wa hadithi wakati wa maswahaba.
Soma Zaidi...DUA ZA KUONDOA WASIWASI, SIHIRI NA UCHAWI 1.
Soma Zaidi...Zijuwe nyakati ambazo dua inakubaliwa kwa haraka zaidi. Zijuwe nyakati ambazo ukiomba dua hitakubaliwa.
Soma Zaidi...Dua ni moja ya ibada ambazo zinamfanya mja awe karibu na Mweznyezi Mungu. Allah amesisitiza tumuombe dua kwa shida zetu zote, pia akaahidi kuwa atatujibu maombi yetu muda wowote tutakao muomba. Sasa ni zipi nyakati nzuri zaidi kuomb adua?
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha dua ambazo ni muhimu kuzisoma wakayi wa shida na taabu.
Soma Zaidi...