Chemsha bongo namba 13
23.
Chemsha bongo 13
![]()
![]()
23.Manywele
Kijana mmoja alikuwa na nyele ndefu pamoja na ndevu za wastani zilizo nyeusi sana. Kijana huyu alikuwa shevu kwa siku mara 10 mpaka 15. lakini bado alibakiwa kuwa na nyele ndefu na ndevu ndefu. Unadhani ni mtindo gani huwa anatumia?
Jibu
Ni kwa sababu huyu kijana ni kinyozi. Hushevu watu wengine.
Umeionaje Makala hii.. ?
Author:
Rajabu
Tarehe: 2024-05-10 14:53:23
Topic: Chemshabongo
Main: Post
File: Download PDF
Views 2021
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
KUMTOROSHA MFUNGWA GEREZANI
Chemshabongo, Je? ungelikuwa ni w ewe ungetorokaje gerezani?
Soma Zaidi...Chemsha bongo namba 05
Ashumu upo kwenye chumba kimoja kikubwa sana, hakina milango wala madirisha.
Soma Zaidi...