20.
20.Gari gani
Kulikuwa na magari mawili, moja linatembea kwa kasi sana kwa mwendokasi wa kilometa 60 kwa lisaa (60km/h) na lingine kwa mwendokasi wa kilomita 40 kwa lisaa (40km/h). gari zite zinatembea kwenye njia moja na isiyo na kona.
Baada ya muda flani gari zile zikakutana na kupishana. Unadhani hii barabara ni ya namna gani, ama nini kimetokea?
Jibu
Kwa sababu zilikuwa zikitembea kwa uelekeo tofauti
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Ashumu upo kwenye chumba kimoja kikubwa sana, hakina milango wala madirisha.
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Kutoka kwenye usingizi mzito unaamka, Haujui nini kimetokea (uenda ukawa umepoteza kumbukumba).
Soma Zaidi...