image

Chemsha bongo namba 08

20.

Chemsha bongo namba 08

Chemsha bongo 08

imageimage
20.Gari gani
Kulikuwa na magari mawili, moja linatembea kwa kasi sana kwa mwendokasi wa kilometa 60 kwa lisaa (60km/h) na lingine kwa mwendokasi wa kilomita 40 kwa lisaa (40km/h). gari zite zinatembea kwenye njia moja na isiyo na kona.

Baada ya muda flani gari zile zikakutana na kupishana. Unadhani hii barabara ni ya namna gani, ama nini kimetokea?


Jibu
Kwa sababu zilikuwa zikitembea kwa uelekeo tofauti


                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 533


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Chemsha bongo namba 21
15. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 16
9. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 20
17. Soma Zaidi...

game
Karibu kwenye uwanja wa Game. Soma Zaidi...

CHEMSHABONGO NA BONGOCLASS
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 09
16. Soma Zaidi...

SIRI
Hapana mpaka sasa hautambui chochote kuhusu kilichotokea. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 05
Ashumu upo kwenye chumba kimoja kikubwa sana, hakina milango wala madirisha. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 11
10. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 06
25. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 14
12. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 08
20. Soma Zaidi...