Chemsha bongo namba 05
Ashumu upo kwenye chumba kimoja kikubwa sana, hakina milango wala madirisha.
Chemsha bongo 05
![]()
![]()
Ashumu upo kwenye chumba kimoja kikubwa sana, hakina milango wala madirisha. Kati kuna litaa linawaka sana. Ukiwa ni usiku simba mkari akaachiwa, kwa kasi sana anakufuata. Huna kisu wala chochote cha kupambana nae. Unatakiwa umuuwe ndani ya muda mchache. Je! Utatokaje kwenye chumba hiko
Jibu
Acha kuashumu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Author:
Rajabu
Tarehe: 2024-05-10 14:53:23
Topic: Chemshabongo
Main: Post
File: Download PDF
Views 2274
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
👉1 ai web app 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
KUMTOROSHA MFUNGWA GEREZANI
Chemshabongo, Je? ungelikuwa ni w ewe ungetorokaje gerezani?
Soma Zaidi...