image

Chemsha bongo namba 22

4.

Chemsha bongo namba 22

Chemsha bongo 22

imageimage
4.Punda Mjinga
Ni kwa nini Punda alichelewa kufika?
Kijana mmoja kwa jina la malikutwa alikuwa na punda wake. Alikuwa akimmbebesha mizigo na alipendelea kumpitisha kwenye njia ambayo huwa anavuka kamto kama maji. Hakika punda huyu alifurahia sana njia hii. Alikuwa akimbebesha chumvi. Punda yule alikuwa akifika kwenye mto huwa anajitotesha maji ama huoga kisha khuendelea na safari.

Siku moja alimbebesha mzigo wa sufi ala baada ya kuvuka mto kwa mwendo kama wa dakika 10, Punda alikuwa ameshoka sana, na alikuwa akitembea kidogo kidogo. Kwa hakika siku ile walifika usiku.

Unadhani ni kwa nini punda alichoka sana. Unafikiri ni kwa nini punda alipenda kuoga akifika mtoni?

Jibu.
Punda aligundua kuwa anapojitotesha mzigo wa chumvi hutota hivyo chumvi humung’unyikia kwenye maji. Hatimaye mzigo hupungua. Ila hakujuwa kuwa sio kila mzigo humung’unyika kwenye maji. Leo amebeba sufi ambayo hunywa maji, hivyo huongeza uzito wa mzigo.


                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 646


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Chemsha bongo namba 18
21. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 04
14. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 13
23. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 17
5. Soma Zaidi...

CHEMSHABONGO NA BONGOCLASS
Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 16
9. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 10
7. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 03
Tatua mzozo wa NI NANI MUUAJI? Soma Zaidi...

game
Karibu kwenye uwanja wa Game. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 06
25. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 09
16. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 14
12. Soma Zaidi...