13.
13.Na wenzio pia
Ukiwa nami unataka kuwapa na wenzio, na ukiwapa wenzio umenikisa, hurakuwa nami tena. Je! Mimi ni nani?
Jibu
Siri
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Kutoka kwenye usingizi mzito unaamka, Haujui nini kimetokea (uenda ukawa umepoteza kumbukumba).
Soma Zaidi...