12.
12.Miguu 9
Watoto wa kidato cha sita waliulizwa swali na mwalmu wao katika somo la kiswahili. Swali lilikuwa hivi: “Asubuhi natembea na miguu minne, mchana natembea na miguu miwili na usiku natembea na miguu mitatu. Je! Mimi ni nani?
Jibu
Mtoto akiwa mdogo hutambaa kwa miguu miwili na mikono miwili. Lakini akiwa mkubwa hutembea na miguu miwili tu na anapozeheka kutumia bakora kama mguu wa tatu kumsaidia kutembea.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 623
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh
👉2 Kitabu cha Afya
👉3 kitabu cha Simulizi
👉4 Madrasa kiganjani
Chemsha bongo namba 06
25. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 10
7. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 14
12. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 16
9. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 26
19. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 20
17. Soma Zaidi...
Toroka gerezani
utaokoka vipi gerezani? Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 18
21. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 23
18. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 03
Tatua mzozo wa NI NANI MUUAJI? Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 08
20. Soma Zaidi...
Chemsha bongo
learn English Vocabulary Soma Zaidi...