Menu



Chemsha bongo namba 14

12.

Chemsha bongo namba 14

Chemsha bongo 14

imageimage
12.Miguu 9
Watoto wa kidato cha sita waliulizwa swali na mwalmu wao katika somo la kiswahili. Swali lilikuwa hivi: “Asubuhi natembea na miguu minne, mchana natembea na miguu miwili na usiku natembea na miguu mitatu. Je! Mimi ni nani?

Jibu
Mtoto akiwa mdogo hutambaa kwa miguu miwili na mikono miwili. Lakini akiwa mkubwa hutembea na miguu miwili tu na anapozeheka kutumia bakora kama mguu wa tatu kumsaidia kutembea.


                   

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Chemshabongo Main: Post File: Download PDF Views 1595

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

KUMTOROSHA MFUNGWA GEREZANI

Chemshabongo, Je? ungelikuwa ni w ewe ungetorokaje gerezani?

Soma Zaidi...
CHEMSHABONGO NA BONGOCLASS

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
SIRI

Baada ya kutulia vizuri unaanza kukumbuka umefikaje hapa kwenye misitu.

Soma Zaidi...
Chemsha bongo

learn English Vocabulary

Soma Zaidi...
SIRI

Hapana mpaka sasa hautambui chochote kuhusu kilichotokea.

Soma Zaidi...