8.
8.Ni nani ana kosa?
Watu watatu walikuwa wanasubiri taa za barabarani ili wavuke. Mtu wa kwanza alikuwa anaendesha lori. Mtu wa pili alikuwa anaendesha pikipiki na wa tatu alikuwa anaendesha farasi.
Wote walikuwa wakisubiri taa ya kijani iwake ili wavuke. Dereva wa lovi akapiga honi kumshitua mtu wa mbele yake. Honi ile ikamshitua farasi. Farasi akamkumba muendesha pikipiki. Na kwa kuwa breki za pikipiki silikuwa mbovu pikipiki ikaingia katikati ya barabara na kukanyagwa na gari linalotoka upande mwingine.
Dereva wa pikipiki akafariki palepele. Unadhani nani alikuwa na kosa. Je! Ni alopiga honi, ama muendesha farasi ana dereva wa lori la upande mwingine ama ni nani?
Jibu
Dereva wa pikipiki ndiye mwenye makisa kwa kuenesha pikipiki ambayo breki zake ni mbovu.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 419
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Madrasa kiganjani
👉4 Kitabu cha Afya
SIRI
Hapana mpaka sasa hautambui chochote kuhusu kilichotokea. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 25
26. Soma Zaidi...
game
Karibu kwenye uwanja wa Game. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 08
20. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 16
9. Soma Zaidi...
game
Karibu kwenye uwanja wa Game. Soma Zaidi...
Toroka gerezani
utaokoka vipi gerezani? Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 26
19. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 06
25. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 19
Soma Zaidi...
Chemsha bongo
learn English Vocabulary Soma Zaidi...