picha

Chemsha bongo namba 12

8.

Chemsha bongo namba 12

Chemsha bongo 12

imageimage
8.Ni nani ana kosa?
Watu watatu walikuwa wanasubiri taa za barabarani ili wavuke. Mtu wa kwanza alikuwa anaendesha lori. Mtu wa pili alikuwa anaendesha pikipiki na wa tatu alikuwa anaendesha farasi.

Wote walikuwa wakisubiri taa ya kijani iwake ili wavuke. Dereva wa lovi akapiga honi kumshitua mtu wa mbele yake. Honi ile ikamshitua farasi. Farasi akamkumba muendesha pikipiki. Na kwa kuwa breki za pikipiki silikuwa mbovu pikipiki ikaingia katikati ya barabara na kukanyagwa na gari linalotoka upande mwingine.

Dereva wa pikipiki akafariki palepele. Unadhani nani alikuwa na kosa. Je! Ni alopiga honi, ama muendesha farasi ana dereva wa lori la upande mwingine ama ni nani?

Jibu
Dereva wa pikipiki ndiye mwenye makisa kwa kuenesha pikipiki ambayo breki zake ni mbovu.


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Chemshabongo Main: Post File: Download PDF Views 2463

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

SIRI

Baada ya kutulia vizuri unaanza kukumbuka umefikaje hapa kwenye misitu.

Soma Zaidi...
SIRI

Kutoka kwenye usingizi mzito unaamka, Haujui nini kimetokea (uenda ukawa umepoteza kumbukumba).

Soma Zaidi...
Toroka gerezani

utaokoka vipi gerezani?

Soma Zaidi...
game

Karibu kwenye uwanja wa Game.

Soma Zaidi...