Chemshabongo, Je? ungelikuwa ni w ewe ungetorokaje gerezani?
Mnamo mwaka 1678 Kitui alipewa majaribio pindi alipopatwa na hatia ya wizi. Baada ya kesi alipelekwa gerezani kifungo kisicho na mwisho. Ila alipewa siku tatu za kutoka gerezani. Hakupewa chakula wala maji. Kitu pekee alichopewa ni chepe tu. Kama unavyoona kwenye picha. Pia chumba cha gereza kilikuwa kidogo kikiwa na dirisha moja tu dogo lenye upenyo mdogo wa kupita na kwa nyuma limezungukwa na bahari.
Chumba kilikuwa ni kirefu hivyo asingeweza kupanda. Urefu wa ukuta mpaka kufikia nkadirisha ni mita 5. cha chini ukuta umekwenda umbali wa mita tano, hivyo asingeweza kutoroka kwa kupitia chini. Kitui alitakiwa atoroke ndani ya siku tatu si hivyo angepoteza maisha. Je! Ungelikuwa ni wewe ungefanya nini? Tumia maarifa uliyo nayo kuweza kutoroka gerezani
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 391
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Kitabu cha Afya
👉4 Madrasa kiganjani
Chemsha bongo namba 24
13. Soma Zaidi...
SIRI
Kutoka kwenye usingizi mzito unaamka, Haujui nini kimetokea (uenda ukawa umepoteza kumbukumba). Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 10
7. Soma Zaidi...
CHEMSHABONGO NA BONGOCLASS
Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 20
17. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 16
9. Soma Zaidi...
Chemsha bongo
learn English Vocabulary Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 07
22. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 08
20. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 06
25. Soma Zaidi...