Chemsha bongo namba 08

20.

Chemsha bongo namba 08

Chemsha bongo 08

imageimage
20.Gari gani
Kulikuwa na magari mawili, moja linatembea kwa kasi sana kwa mwendokasi wa kilometa 60 kwa lisaa (60km/h) na lingine kwa mwendokasi wa kilomita 40 kwa lisaa (40km/h). gari zite zinatembea kwenye njia moja na isiyo na kona.

Baada ya muda flani gari zile zikakutana na kupishana. Unadhani hii barabara ni ya namna gani, ama nini kimetokea?


Jibu
Kwa sababu zilikuwa zikitembea kwa uelekeo tofauti


                   

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 168

Post zifazofanana:-

Books
Vinjari ukiwa na vitabu vyetu ukiwa kwenye maktaba yetu Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula ubuyu
Soma Zaidi...

Funga za kafara, aina zake na sababu za funga hizi za kafara na hukumu zake
Soma Zaidi...

YANAYOATHIRI AFYA KATIKA VYAKULA
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Hadithi Ya 23: Tohara Ni Nusu Ya Imaan
Soma Zaidi...

Taratibu na namna ya kutafuta mchumba na sifa za mchumba
Soma Zaidi...

Mafungu ya mirathi katika uislamu
Mafungu ya urithi yaliyotajwa katika haya sita yafutayo:1. Soma Zaidi...

Sababu na Chanzo cha vidonda vya tumbo
Zijuwe sababu za kutokea kwa vidonda vya tumbo. Sababu kuu za vidonda vya tumbo hizi hapa Soma Zaidi...

alif lela u lela
Download kitabu Hiki Bofya hapa Kupata mwendelezo wa hadithi hii Download App yetu. Soma Zaidi...

VOCABULARY TEXT 10
learn English Vocabulary Soma Zaidi...

Historia ya Dhana ya Kudhibiti Uzazi
Soma Zaidi...

SIMPLE BIOLOGY EXPERIMENT
SIMPLE BIOLOGICAL EXPERIMENTS Experiment One: Measure pulse rate Aim: To measure average pulse rate by using simple method. Soma Zaidi...