21.
21.Mti mtu
Vijana wawili marafiki, mary na Huruma walikwenda kutembea. Kwa bahati mbaya mvua ikwanyeshea. Wakakimbia huku na kule. Wakiwa wametota vibaya, wakaona kibanda, wakaingia na kukausha nguo zao kwa moto. Baada ya duda mchache nguo zao zilikauka.
Wakiwa na njaa kali wakaamua wakatafute matunda. Kila mmoja akaenda upande wake. Kwa bahati mbaya mery alikanyaga mtego wa kichawi na kugeuka mti. Katika kuzunguka huruma akapita eneo lile ambalo mery amegeuzwa mti
Huruma akasikia sauti ikimwambia βRafiki yako amegeuzwa mti, tunakupa chaguo moja tafuta ni mti upi ni rafiki yako. Ukikosa na rafiki yako ataendelea kuwa mtiβ unadahi ni mti upi Huruma angeuchagua
Jibu
Kwakuwa mvua ilinyesha miti yote itakuwa ina maji, ila mary alikuwa amekausha nguo zake hivyo mti ambao ni mery utakuwa ni mkavu.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Chemshabongo Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1329
Sponsored links
π1
Madrasa kiganjani
π2
Simulizi za Hadithi Audio
π3
kitabu cha Simulizi
π4
Kitabu cha Afya
π5
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
π6
Kitau cha Fiqh
Chemsha bongo namba 19
Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 22
4. Soma Zaidi...
SIRI
Kutoka kwenye usingizi mzito unaamka, Haujui nini kimetokea (uenda ukawa umepoteza kumbukumba). Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 03
Tatua mzozo wa NI NANI MUUAJI? Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 21
15. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 14
12. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 09
16. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 04
14. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 26
19. Soma Zaidi...
Chemsha bongo
learn English Vocabulary Soma Zaidi...