Navigation Menu



Chemsha bongo namba 18

21.

Chemsha bongo namba 18

Chemsha bongo 18

imageimage
21.Mti mtu
Vijana wawili marafiki, mary na Huruma walikwenda kutembea. Kwa bahati mbaya mvua ikwanyeshea. Wakakimbia huku na kule. Wakiwa wametota vibaya, wakaona kibanda, wakaingia na kukausha nguo zao kwa moto. Baada ya duda mchache nguo zao zilikauka.

Wakiwa na njaa kali wakaamua wakatafute matunda. Kila mmoja akaenda upande wake. Kwa bahati mbaya mery alikanyaga mtego wa kichawi na kugeuka mti. Katika kuzunguka huruma akapita eneo lile ambalo mery amegeuzwa mti

Huruma akasikia sauti ikimwambia β€œRafiki yako amegeuzwa mti, tunakupa chaguo moja tafuta ni mti upi ni rafiki yako. Ukikosa na rafiki yako ataendelea kuwa mti” unadahi ni mti upi Huruma angeuchagua

Jibu
Kwakuwa mvua ilinyesha miti yote itakuwa ina maji, ila mary alikuwa amekausha nguo zake hivyo mti ambao ni mery utakuwa ni mkavu.


                   

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Chemshabongo Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 1329


Sponsored links
πŸ‘‰1 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰2 Simulizi za Hadithi Audio     πŸ‘‰3 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰4 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     πŸ‘‰6 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Chemsha bongo namba 19
Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 22
4. Soma Zaidi...

SIRI
Kutoka kwenye usingizi mzito unaamka, Haujui nini kimetokea (uenda ukawa umepoteza kumbukumba). Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 03
Tatua mzozo wa NI NANI MUUAJI? Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 21
15. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 14
12. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 09
16. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 04
14. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 26
19. Soma Zaidi...

Chemsha bongo
learn English Vocabulary Soma Zaidi...