Menu



Chemsha bongo namba 18

21.

Chemsha bongo namba 18

Chemsha bongo 18

imageimage
21.Mti mtu
Vijana wawili marafiki, mary na Huruma walikwenda kutembea. Kwa bahati mbaya mvua ikwanyeshea. Wakakimbia huku na kule. Wakiwa wametota vibaya, wakaona kibanda, wakaingia na kukausha nguo zao kwa moto. Baada ya duda mchache nguo zao zilikauka.

Wakiwa na njaa kali wakaamua wakatafute matunda. Kila mmoja akaenda upande wake. Kwa bahati mbaya mery alikanyaga mtego wa kichawi na kugeuka mti. Katika kuzunguka huruma akapita eneo lile ambalo mery amegeuzwa mti

Huruma akasikia sauti ikimwambia β€œRafiki yako amegeuzwa mti, tunakupa chaguo moja tafuta ni mti upi ni rafiki yako. Ukikosa na rafiki yako ataendelea kuwa mti” unadahi ni mti upi Huruma angeuchagua

Jibu
Kwakuwa mvua ilinyesha miti yote itakuwa ina maji, ila mary alikuwa amekausha nguo zake hivyo mti ambao ni mery utakuwa ni mkavu.


                   

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Chemshabongo Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 1377


Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰2 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     πŸ‘‰4 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰5 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zifazofanana:-

CHEMSHABONGO NA BONGOCLASS
Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 15
24. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 25
26. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 07
22. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 09
16. Soma Zaidi...

Chemsha bongo
learn English Vocabulary Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 03
Tatua mzozo wa NI NANI MUUAJI? Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 12
8. Soma Zaidi...

KUMTOROSHA MFUNGWA GEREZANI
Chemshabongo, Je? ungelikuwa ni w ewe ungetorokaje gerezani? Soma Zaidi...

SIRI
Baada ya kutulia vizuri unaanza kukumbuka umefikaje hapa kwenye misitu. Soma Zaidi...