21.
21.Mti mtu
Vijana wawili marafiki, mary na Huruma walikwenda kutembea. Kwa bahati mbaya mvua ikwanyeshea. Wakakimbia huku na kule. Wakiwa wametota vibaya, wakaona kibanda, wakaingia na kukausha nguo zao kwa moto. Baada ya duda mchache nguo zao zilikauka.
Wakiwa na njaa kali wakaamua wakatafute matunda. Kila mmoja akaenda upande wake. Kwa bahati mbaya mery alikanyaga mtego wa kichawi na kugeuka mti. Katika kuzunguka huruma akapita eneo lile ambalo mery amegeuzwa mti
Huruma akasikia sauti ikimwambia βRafiki yako amegeuzwa mti, tunakupa chaguo moja tafuta ni mti upi ni rafiki yako. Ukikosa na rafiki yako ataendelea kuwa mtiβ unadahi ni mti upi Huruma angeuchagua
Jibu
Kwakuwa mvua ilinyesha miti yote itakuwa ina maji, ila mary alikuwa amekausha nguo zake hivyo mti ambao ni mery utakuwa ni mkavu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Chemshabongo Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1377
Sponsored links
π1
Kitabu cha Afya
π2
Kitau cha Fiqh
π3
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
π4
Madrasa kiganjani
π5
kitabu cha Simulizi
π6
Simulizi za Hadithi Audio
CHEMSHABONGO NA BONGOCLASS
Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 15
24. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 25
26. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 07
22. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 09
16. Soma Zaidi...
Chemsha bongo
learn English Vocabulary Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 03
Tatua mzozo wa NI NANI MUUAJI? Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 12
8. Soma Zaidi...
KUMTOROSHA MFUNGWA GEREZANI
Chemshabongo, Je? ungelikuwa ni w ewe ungetorokaje gerezani? Soma Zaidi...
SIRI
Baada ya kutulia vizuri unaanza kukumbuka umefikaje hapa kwenye misitu. Soma Zaidi...