Chemsha bongo namba 07

22.

Chemsha bongo namba 07

Chemsha bongo 07

imageimage
22.Busara za mfalme
Hapo zamani kulikuwa na mfalme. Mfalme huyu hakuwa hata na mtoto wa kumrithi. Na alishakuwa amezeheka sana. Hivyo akaamuwa kutowa mbegu mbalimbali za miti kuwapa watoto wa nchini na akasema yeyote atakayeotesha mti mzuri kuliko wenzie kutoka katika hizi mbegu ninazotoa atkuwa ndiye mrithi wangu.

Baada ya miezi mitatu maelfu ya watoto wakaja ikulu kuleta miti yao waloiotesha kwenye makopo na mitungi. Mtoto mmoja tu yeye alikuja na kopo tupu ambalo halikuwa na mti, bali lilikuwa na udogo tu. Mwisho mfalme alimshagua huyu mtoto kuwa ndiye mrithi. Umadhani ni kwa nini?
Jibu.
Ni kwa sababu mfalme aliwapa mbegu feki. Na huyu mtoto hakufanya udanganyifu wa kuotesha mbegu nyingine tofauti na ile alopewa na mfakme.


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Chemshabongo Main: Burudani File: Download PDF Views 1420

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

SIRI

Baada ya kutulia vizuri unaanza kukumbuka umefikaje hapa kwenye misitu.

Soma Zaidi...
Toroka gerezani

utaokoka vipi gerezani?

Soma Zaidi...
Chemsha bongo

learn English Vocabulary

Soma Zaidi...
SIRI

Hapana mpaka sasa hautambui chochote kuhusu kilichotokea.

Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 03

Tatua mzozo wa NI NANI MUUAJI?

Soma Zaidi...
game

Karibu kwenye uwanja wa Game.

Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 05

Ashumu upo kwenye chumba kimoja kikubwa sana, hakina milango wala madirisha.

Soma Zaidi...