22.
22.Busara za mfalme
Hapo zamani kulikuwa na mfalme. Mfalme huyu hakuwa hata na mtoto wa kumrithi. Na alishakuwa amezeheka sana. Hivyo akaamuwa kutowa mbegu mbalimbali za miti kuwapa watoto wa nchini na akasema yeyote atakayeotesha mti mzuri kuliko wenzie kutoka katika hizi mbegu ninazotoa atkuwa ndiye mrithi wangu.
Baada ya miezi mitatu maelfu ya watoto wakaja ikulu kuleta miti yao waloiotesha kwenye makopo na mitungi. Mtoto mmoja tu yeye alikuja na kopo tupu ambalo halikuwa na mti, bali lilikuwa na udogo tu. Mwisho mfalme alimshagua huyu mtoto kuwa ndiye mrithi. Umadhani ni kwa nini?
Jibu.
Ni kwa sababu mfalme aliwapa mbegu feki. Na huyu mtoto hakufanya udanganyifu wa kuotesha mbegu nyingine tofauti na ile alopewa na mfakme.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 549
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 kitabu cha Simulizi
👉4 Kitabu cha Afya
Chemsha bongo namba 21
15. Soma Zaidi...
Toroka gerezani
utaokoka vipi gerezani? Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 08
20. Soma Zaidi...
SIRI
Baada ya kutulia vizuri unaanza kukumbuka umefikaje hapa kwenye misitu. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 24
13. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 23
18. Soma Zaidi...
CHEMSHABONGO NA BONGOCLASS
Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 09
16. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 12
8. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 13
23. Soma Zaidi...