image

Chemsha bongo namba 07

22.

Chemsha bongo namba 07

Chemsha bongo 07

imageimage
22.Busara za mfalme
Hapo zamani kulikuwa na mfalme. Mfalme huyu hakuwa hata na mtoto wa kumrithi. Na alishakuwa amezeheka sana. Hivyo akaamuwa kutowa mbegu mbalimbali za miti kuwapa watoto wa nchini na akasema yeyote atakayeotesha mti mzuri kuliko wenzie kutoka katika hizi mbegu ninazotoa atkuwa ndiye mrithi wangu.

Baada ya miezi mitatu maelfu ya watoto wakaja ikulu kuleta miti yao waloiotesha kwenye makopo na mitungi. Mtoto mmoja tu yeye alikuja na kopo tupu ambalo halikuwa na mti, bali lilikuwa na udogo tu. Mwisho mfalme alimshagua huyu mtoto kuwa ndiye mrithi. Umadhani ni kwa nini?
Jibu.
Ni kwa sababu mfalme aliwapa mbegu feki. Na huyu mtoto hakufanya udanganyifu wa kuotesha mbegu nyingine tofauti na ile alopewa na mfakme.


                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 549


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Chemsha bongo namba 21
15. Soma Zaidi...

Toroka gerezani
utaokoka vipi gerezani? Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 08
20. Soma Zaidi...

SIRI
Baada ya kutulia vizuri unaanza kukumbuka umefikaje hapa kwenye misitu. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 24
13. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 23
18. Soma Zaidi...

CHEMSHABONGO NA BONGOCLASS
Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 09
16. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 12
8. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 13
23. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 25
26. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 18
21. Soma Zaidi...