19.
19.Tufaha chumbani
Mwanafunzi mmoja alipewa chemsha bongo. Ndani ya chumba kilicho kitupu waliwekwa watu 10. watu hawa walijipanga kuzunguka chumba, kwa kiasi kwamba wangeweza kukiona chochote kitakachowekwa ndani ya chumba hiko.
Mwanafunzi huyu akapewa tufaha na akaambiwa aliweke tufaha ndani ya chumba kile chenye watu kumi, kwa namna ambayo mtu mmoja tu ndio hatakiwi kuliona tufaha. Unadhani ni wapi angeliweka tufaha hili?
Jibu
Angeliweka juu ya kichwa cha mmoja wapo
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 398
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Kitabu cha Afya
👉4 Kitau cha Fiqh
Chemsha bongo namba 22
4. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 16
9. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 15
24. Soma Zaidi...
SIRI
Hapana mpaka sasa hautambui chochote kuhusu kilichotokea. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 24
13. Soma Zaidi...
KUMTOROSHA MFUNGWA GEREZANI
Chemshabongo, Je? ungelikuwa ni w ewe ungetorokaje gerezani? Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 25
26. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 17
5. Soma Zaidi...
Chemsha bongo
learn English Vocabulary Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 04
14. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 09
16. Soma Zaidi...
game
Karibu kwenye uwanja wa Game. Soma Zaidi...