Chemsha bongo namba 25
26.
Chemsha bongo 25
![]()
![]()
26.Toroka
Mtu mmoja alikuwa amekamatwa, na akafunguwa kwenye chumba chenye milango miwili bila hata ya madirisha. Mlango wa kwanza ulikuwa na nyoka mkali anasubiri uje akugonge. Mlango wa pili ulikuwa na kioo ambacho kikipigwa na jua kunaunguza sana. Ukikisogelea tu unaugua kama moto.
Unadhani mtu huyu atatokaje salama kwenye chumba hiki?
Jibu
Atasubiri jua lizame ndipo atatoka kwa usalama
Umeionaje Makala hii.. ?
Author:
Rajabu
Tarehe: 2024-05-10 14:53:23
Topic: Chemshabongo
Main: Post
File: Download PDF
Views 2635
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 web hosting 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 web hosting 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)