Chemsha bongo namba 20

Chemsha bongo namba 20

17.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Chemsha bongo namba 20

Chemsha bongo 20

imageimage
17.John na Ngazi
John alikuwa akifanya kazi ya kupandisha mizigo juu. Alikuwa akkipanda kwa kutumia ngazi yenye urefu wa futi 24. Siku moja mvua ilinyesha hivyo ikawa ngazi inateleza sana.

Wakati anapanda kwa bahati mbaya akaanguka kutoka kwenye ngazi mpaka chini. Jambo la kushangaza hakuumia hata kidogo. Unadhani hii imewezekanaje?

Jibu
Ni kwa sababu alianguka kwenye kidato cha kwanza cha ngazi, naani chini kabisa.


                   

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Chemshabongo Main: Burudani File: Download PDF Views 2655

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana: