Flutter: Somo la 3: Mambo muhimu kuhusu App ya flutter

Flutter: Somo la 3: Mambo muhimu kuhusu App ya flutter

Katika somo hili tutakwend akuyaona baadhi ya maeneo muhimu ya kuanzia kuyajuwa kwa ajili ya course ya flutter kwneye android studio.

Kwa maelekezo zaidi ya somo hili unaweza kuangalia video hii

Folder location:

Kwanza kabisa tuangalie sehemu ambapo folder lenye projectyetu lipo. Kama unakumbuka kwenye somo lililopita kuwa nlikwambia kuwa kwemye project location mimi  imechaguwa desktop. Hapo ndipokwneye folder lenye project yetu. Hivyo basi nikienda kwenye desktop nitalikuta folder hilo.

 

Kama utabofya folder hilo utakuta mafolda mengine madogo madogo ambayo yanahusika na project yetu. Hapo kuna mafolder manne ambayo tutayazungumzia hapa.amabayo ni:-

  1. Android: hili ndio hukaa code za android, kwa lugha ya java ama kotlin.
  2. Build:  hapo ndipo patakwepo out put za projectbyako. Mfano apk za app
  3. Lib:  hapo ndionambapo code za Dart zitakaa. Mfano faili letu la main.dart  utalikuta hapo.
  4. Web:  hapo ndipo code zinazohusiana na website zitakaa. Angalia picha hapo chini.

 

 

Sasa turudi kwenye Android studio tuone maeneo mengine:

 

Project Structure:

Sasa hayo yote unaweza kuyapata kwenye android studo. Sasa wacha tuone baadhi ya maeneo hayo. Angalia picha hapo chini nimeweka namba. Hivyo ndio nitazizungumzia

  1. Tehama  hapo ndio kwenye folder lenye project yetu. Ukibofya hapo utaona mafolder madogomadogo ytebtulioyaona hapo juu yapo hapo. Unaweza kuchaguwa moja wapo unalotaka kulifanyia kazi.
  2. Android:  hapo ndipo kuna mafolder muhimu ambayo yanahusika kwenye project yetu kama pacjages na kadhalika.
  3. Project location: hiyo hapo ndio location ya project yetu kwenye kompyuta yangu
  4. App:  hapo ndipo panakaa code za java ama kotlin
  5. ...

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Flutter Main: ICT File: Download PDF Views 689

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitau cha Fiqh   

    Post zinazofanana:

    Flutter somo la 16: Jinsi ya kuweka drawer menu
    Flutter somo la 16: Jinsi ya kuweka drawer menu

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kuweka drawer menu kwenye app ya flutter.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 1: Nini flutter na nini hasa inafanya
    Flutter somo la 1: Nini flutter na nini hasa inafanya

    Katika somo hili utajifunza historia fupi ya flutter, kazi zake, nini hasa inafanya. pia utajifunza jinsi ya ku install flutter

    Soma Zaidi...
    FLUTTER somo la 2: Jinsi ya kutengeneza App ya flutter
    FLUTTER somo la 2: Jinsi ya kutengeneza App ya flutter

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza App yako ya kwanza ya Flutter hatuwa kwa hatuwa.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 5: widget ni nini na zinafanya nini kwenye flutter
    Flutter somo la 5: widget ni nini na zinafanya nini kwenye flutter

    Katika somo hili uatwkeda kujifunza zaidi kuhusu widget, maana yake, aia zake na kazi zake kwneye flutter.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 6: Scaffold widget, kazi zake na property zake
    Flutter somo la 6: Scaffold widget, kazi zake na property zake

    Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu scaffold widget. Hapa tutakwend kuona properties zake na baadhi ya mifano.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 13: widget ya batani
    Flutter somo la 13: widget ya batani

    Katika somo hili uatakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia batani na kuweka maumbo mbalimbali ya batani.

    Soma Zaidi...
    FLUTTER somo la 20: Jinsi ya ku sign App ya android kwenye flutter
    FLUTTER somo la 20: Jinsi ya ku sign App ya android kwenye flutter

    Somo hili litakufundisha hatuwa kwa hatuwa jinsi ya ku sign app ya android kwenye flutter

    Soma Zaidi...
    Flutter: somo la 4: Jinsi ya kuandika code za App ya flutter, hatuwa kwa hatuwa
    Flutter: somo la 4: Jinsi ya kuandika code za App ya flutter, hatuwa kwa hatuwa

    Katika somo hili utakwenda kujifunza sasa jinsi ya kuandika code za app yetu kwenye flutter framework.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 14: Jinsi ya kuweka picha
    Flutter somo la 14: Jinsi ya kuweka picha

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu widget ya Image ambayo hutumika kuonyesha picha kwenye App.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 7: jinsi ya kutumia Widget ya AppBar
    Flutter somo la 7: jinsi ya kutumia Widget ya AppBar

    Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya AppBar. Hata tutaona inavyofanya kazi na baadhi ya property zake.

    Soma Zaidi...