Flutter: Somo la 3: Mambo muhimu kuhusu App ya flutter

Katika somo hili tutakwend akuyaona baadhi ya maeneo muhimu ya kuanzia kuyajuwa kwa ajili ya course ya flutter kwneye android studio.

Kwa maelekezo zaidi ya somo hili unaweza kuangalia video hii

Folder location:

Kwanza kabisa tuangalie sehemu ambapo folder lenye projectyetu lipo. Kama unakumbuka kwenye somo lililopita kuwa nlikwambia kuwa kwemye project location mimi  imechaguwa desktop. Hapo ndipokwneye folder lenye project yetu. Hivyo basi nikienda kwenye desktop nitalikuta folder hilo.

 

Kama utabofya folder hilo utakuta mafolda mengine madogo madogo ambayo yanahusika na project yetu. Hapo kuna mafolder manne ambayo tutayazungumzia hapa.amabayo ni:-

  1. Android: hili ndio hukaa code za android, kwa lugha ya java ama kotlin.
  2. Build:  hapo ndipo patakwepo out put za projectbyako. Mfano apk za app
  3. Lib:  hapo ndionambapo code za Dart zitakaa. Mfano faili letu la main.dart  utalikuta hapo.
  4. Web:  hapo ndipo code zinazohusiana na website zitakaa. Angalia picha hapo chini.

 

 

Sasa turudi kwenye Android studio tuone maeneo mengine:

 

Project Structure:

Sasa hayo yote unaweza kuyapata kwenye android studo. Sasa wacha tuone baadhi ya maeneo hayo. Angalia picha hapo chini nimeweka namba. Hivyo ndio nitazizungumzia

  1. Tehama  hapo ndio kwenye folder lenye project yetu. Ukibofya hapo utaona mafolder madogomadogo ytebtulioyaona hapo juu yapo hapo. Unaweza kuchaguwa moja wapo unalotaka kulifanyia kazi.
  2. Android:  hapo ndipo kuna mafolder muhimu ambayo yanahusika kwenye project yetu kama pacjages na kadhalika.
  3. Project location: hiyo hapo ndio location ya project yetu kwenye kompyuta yangu
  4. App:  hapo ndipo panakaa code za java ama kotlin
  5. ...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Flutter Main: ICT File: Download PDF Views 910

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Kitau cha Fiqh   

    Post zinazofanana:

    FLUTTER somo la 18: Jinsi yakubadili App name kwenye flutter

    Katika somo hili utakwenda kujifunzajinsi ya kubadilisha, jinala App yaani App name.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 5: widget ni nini na zinafanya nini kwenye flutter

    Katika somo hili uatwkeda kujifunza zaidi kuhusu widget, maana yake, aia zake na kazi zake kwneye flutter.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 6: Scaffold widget, kazi zake na property zake

    Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu scaffold widget. Hapa tutakwend kuona properties zake na baadhi ya mifano.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 12: widget ya padding

    Katika somo hili utakweda kujifunza jinsi ya kutumia widget ya padding kwenye App yako.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 13: widget ya batani

    Katika somo hili uatakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia batani na kuweka maumbo mbalimbali ya batani.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 7: jinsi ya kutumia Widget ya AppBar

    Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya AppBar. Hata tutaona inavyofanya kazi na baadhi ya property zake.

    Soma Zaidi...
    FLUTTER somo la 21: Jinsi ya kutengeneza faili la apka na faili la aab

    Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza faili la apk kwa ajili ya ku share app yako, na faili la aab kwa ajili ya ku publih app yako.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 10: Jinsi ya kutumia widget ya container

    Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya container pia tutajifunza jinsi widget hii inavyoweza kutumika na widget nyingine.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 1: Nini flutter na nini hasa inafanya

    Katika somo hili utajifunza historia fupi ya flutter, kazi zake, nini hasa inafanya. pia utajifunza jinsi ya ku install flutter

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 14: Jinsi ya kuweka picha

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu widget ya Image ambayo hutumika kuonyesha picha kwenye App.

    Soma Zaidi...