Flutter: Somo la 3: Mambo muhimu kuhusu App ya flutter

Flutter: Somo la 3: Mambo muhimu kuhusu App ya flutter

Katika somo hili tutakwend akuyaona baadhi ya maeneo muhimu ya kuanzia kuyajuwa kwa ajili ya course ya flutter kwneye android studio.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Kwa maelekezo zaidi ya somo hili unaweza kuangalia video hii

Folder location:

Kwanza kabisa tuangalie sehemu ambapo folder lenye projectyetu lipo. Kama unakumbuka kwenye somo lililopita kuwa nlikwambia kuwa kwemye project location mimi  imechaguwa desktop. Hapo ndipokwneye folder lenye project yetu. Hivyo basi nikienda kwenye desktop nitalikuta folder hilo.

 

Kama utabofya folder hilo utakuta mafolda mengine madogo madogo ambayo yanahusika na project yetu. Hapo kuna mafolder manne ambayo tutayazungumzia hapa.amabayo ni:-

  1. Android: hili ndio hukaa code za android, kwa lugha ya java ama kotlin.
  2. Build:  hapo ndipo patakwepo out put za projectbyako. Mfano apk za app
  3. Lib:  hapo ndionambapo code za Dart zitakaa. Mfano faili letu la main.dart  utalikuta hapo.
  4. Web:  hapo ndipo code zinazohusiana na website zitakaa. Angalia picha hapo chini.

 

 

Sasa turudi kwenye Android studio tuone maeneo mengine:

 

Project Structure:

Sasa hayo yote unaweza kuyapata kwenye android studo. Sasa wacha tuone baadhi ya maeneo hayo. Angalia picha hapo chini nimeweka namba. Hivyo ndio nitazizungumzia

  1. Tehama  hapo ndio kwenye folder lenye project yetu. Ukibofya hapo utaona mafolder madogomadogo ytebtulioyaona hapo juu yapo hapo. Unaweza kuchaguwa moja wapo unalotaka kulifanyia kazi.
  2. Android:  hapo ndipo kuna mafolder muhimu ambayo yanahusika kwenye project yetu kama pacjages na kadhalika.
  3. Project location: hiyo hapo ndio location ya project yetu kwenye kompyuta yangu
  4. App:  hapo ndipo panakaa code za java ama kotlin
  5. ...

    Download Post hii hapa

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Flutter Main: ICT File: Download PDF Views 736

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 kitabu cha Simulizi   

    Post zinazofanana:

    Flutter: somo la 4: Jinsi ya kuandika code za App ya flutter, hatuwa kwa hatuwa
    Flutter: somo la 4: Jinsi ya kuandika code za App ya flutter, hatuwa kwa hatuwa

    Katika somo hili utakwenda kujifunza sasa jinsi ya kuandika code za app yetu kwenye flutter framework.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 12: widget ya padding
    Flutter somo la 12: widget ya padding

    Katika somo hili utakweda kujifunza jinsi ya kutumia widget ya padding kwenye App yako.

    Soma Zaidi...
    FLUTTER somo la 18: Jinsi yakubadili App name kwenye flutter
    FLUTTER somo la 18: Jinsi yakubadili App name kwenye flutter

    Katika somo hili utakwenda kujifunzajinsi ya kubadilisha, jinala App yaani App name.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 7: jinsi ya kutumia Widget ya AppBar
    Flutter somo la 7: jinsi ya kutumia Widget ya AppBar

    Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya AppBar. Hata tutaona inavyofanya kazi na baadhi ya property zake.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 6: Scaffold widget, kazi zake na property zake
    Flutter somo la 6: Scaffold widget, kazi zake na property zake

    Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu scaffold widget. Hapa tutakwend kuona properties zake na baadhi ya mifano.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 11: Matumizi ya text widget
    Flutter somo la 11: Matumizi ya text widget

    Katika Flutter, Text Widget ni kipengele kinachotumiwa kuonyesha maandishi kwenye programu. Kwa kawaida, hutumiwa kama sehemu ya muundo wa UI ya programu za Flutter.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 8: Jinsi ya kutumia widget ya column
    Flutter somo la 8: Jinsi ya kutumia widget ya column

    Katika somo hili utakweda kujifunza kuhsu widget ya column. Widget hii ni moja katika widget zilizo muhimu sana kuzifaham.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 5: widget ni nini na zinafanya nini kwenye flutter
    Flutter somo la 5: widget ni nini na zinafanya nini kwenye flutter

    Katika somo hili uatwkeda kujifunza zaidi kuhusu widget, maana yake, aia zake na kazi zake kwneye flutter.

    Soma Zaidi...
    Flutter somo la 14: Jinsi ya kuweka picha
    Flutter somo la 14: Jinsi ya kuweka picha

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu widget ya Image ambayo hutumika kuonyesha picha kwenye App.

    Soma Zaidi...
    FLUTTER somo la 21: Jinsi ya kutengeneza faili la apka na faili la aab
    FLUTTER somo la 21: Jinsi ya kutengeneza faili la apka na faili la aab

    Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza faili la apk kwa ajili ya ku share app yako, na faili la aab kwa ajili ya ku publih app yako.

    Soma Zaidi...