Flutter: Somo la 3: Mambo muhimu kuhusu App ya flutter
Katika somo hili tutakwend akuyaona baadhi ya maeneo muhimu ya kuanzia kuyajuwa kwa ajili ya course ya flutter kwneye android studio.
Kwa maelekezo zaidi ya somo hili unaweza kuangalia video hii
Folder location:
Kwanza kabisa tuangalie sehemu ambapo folder lenye projectyetu lipo. Kama unakumbuka kwenye somo lililopita kuwa nlikwambia kuwa kwemye project location mimi imechaguwa desktop. Hapo ndipokwneye folder lenye project yetu. Hivyo basi nikienda kwenye desktop nitalikuta folder hilo.
Kama utabofya folder hilo utakuta mafolda mengine madogo madogo ambayo yanahusika na project yetu. Hapo kuna mafolder manne ambayo tutayazungumzia hapa.amabayo ni:-
- Android: hili ndio hukaa code za android, kwa lugha ya java ama kotlin.
- Build: hapo ndipo patakwepo out put za projectbyako. Mfano apk za app
- Lib: hapo ndionambapo code za Dart zitakaa. Mfano faili letu la main.dart utalikuta hapo.
- Web: hapo ndipo code zinazohusiana na website zitakaa. Angalia picha hapo chini.
Sasa turudi kwenye Android studio tuone maeneo mengine:
Project Structure:
Sasa hayo yote unaweza kuyapata kwenye android studo. Sasa wacha tuone baadhi ya maeneo hayo. Angalia picha hapo chini nimeweka namba. Hivyo ndio nitazizungumzia
- Tehama hapo ndio kwenye folder lenye project yetu. Ukibofya hapo utaona mafolder madogomadogo ytebtulioyaona hapo juu yapo hapo. Unaweza kuchaguwa moja wapo unalotaka kulifanyia kazi.
- Android: hapo ndipo kuna mafolder muhimu ambayo yanahusika kwenye project yetu kama pacjages na kadhalika.
- Project location: hiyo hapo ndio location ya project yetu kwenye kompyuta yangu
- App: hapo ndipo panakaa code za java ama kotlin
Sasa tuangalie baadhi ya menu zilizopo kwenye android studio...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 web hosting 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
FLUTTER somo la 18: Jinsi yakubadili App name kwenye flutter
Katika somo hili utakwenda kujifunzajinsi ya kubadilisha, jinala App yaani App name.
Soma Zaidi...Flutter somo la 10: Jinsi ya kutumia widget ya container
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya container pia tutajifunza jinsi widget hii inavyoweza kutumika na widget nyingine.
Soma Zaidi...Flutter: somo la 4: Jinsi ya kuandika code za App ya flutter, hatuwa kwa hatuwa
Katika somo hili utakwenda kujifunza sasa jinsi ya kuandika code za app yetu kwenye flutter framework.
Soma Zaidi...FLUTTER somo la 21: Jinsi ya kutengeneza faili la apka na faili la aab
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza faili la apk kwa ajili ya ku share app yako, na faili la aab kwa ajili ya ku publih app yako.
Soma Zaidi...Flutter somo la 17: Jinsi ya kubadili app icon
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili app icon kwenye app ya Android na iphone kwenye flutter.
Soma Zaidi...FLUTTER somo la 2: Jinsi ya kutengeneza App ya flutter
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza App yako ya kwanza ya Flutter hatuwa kwa hatuwa.
Soma Zaidi...