picha

Flutter: Somo la 3: Mambo muhimu kuhusu App ya flutter

Katika somo hili tutakwend akuyaona baadhi ya maeneo muhimu ya kuanzia kuyajuwa kwa ajili ya course ya flutter kwneye android studio.

Kwa maelekezo zaidi ya somo hili unaweza kuangalia video hii

Folder location:

Kwanza kabisa tuangalie sehemu ambapo folder lenye projectyetu lipo. Kama unakumbuka kwenye somo lililopita kuwa nlikwambia kuwa kwemye project location mimi  imechaguwa desktop. Hapo ndipokwneye folder lenye project yetu. Hivyo basi nikienda kwenye desktop nitalikuta folder hilo.

 

Kama utabofya folder hilo utakuta mafolda mengine madogo madogo ambayo yanahusika na project yetu. Hapo kuna mafolder manne ambayo tutayazungumzia hapa.amabayo ni:-

  1. Android: hili ndio hukaa code za android, kwa lugha ya java ama kotlin.
  2. Build:  hapo ndipo patakwepo out put za projectbyako. Mfano apk za app
  3. Lib:  hapo ndionambapo code za Dart zitakaa. Mfano faili letu la main.dart  utalikuta hapo.
  4. Web:  hapo ndipo code zinazohusiana na website zitakaa. Angalia picha hapo chini.

 

 

Sasa turudi kwenye Android studio tuone maeneo mengine:

 

Project Structure:

Sasa hayo yote unaweza kuyapata kwenye android studo. Sasa wacha tuone baadhi ya maeneo hayo. Angalia picha hapo chini nimeweka namba. Hivyo ndio nitazizungumzia

  1. Tehama  hapo ndio kwenye folder lenye project yetu. Ukibofya hapo utaona mafolder madogomadogo ytebtulioyaona hapo juu yapo hapo. Unaweza kuchaguwa moja wapo unalotaka kulifanyia kazi.
  2. Android:  hapo ndipo kuna mafolder muhimu ambayo yanahusika kwenye project yetu kama pacjages na kadhalika.
  3. Project location: hiyo hapo ndio location ya project yetu kwenye kompyuta yangu
  4. App:  hapo ndipo panakaa code za java ama kotlin


 

Sasa tuangalie baadhi ya menu zilizopo kwenye android studio...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Flutter Main: Masomo File: Download PDF Views 1184

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Flutter somo la 10: Jinsi ya kutumia widget ya container

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu widget ya container pia tutajifunza jinsi widget hii inavyoweza kutumika na widget nyingine.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 13: widget ya batani

Katika somo hili uatakwenda kujifunz ajinsi ya kutumia batani na kuweka maumbo mbalimbali ya batani.

Soma Zaidi...
FLUTTER somo la 21: Jinsi ya kutengeneza faili la apka na faili la aab

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza faili la apk kwa ajili ya ku share app yako, na faili la aab kwa ajili ya ku publih app yako.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 17: Jinsi ya kubadili app icon

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kubadili app icon kwenye app ya Android na iphone kwenye flutter.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 14: Jinsi ya kuweka picha

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu widget ya Image ambayo hutumika kuonyesha picha kwenye App.

Soma Zaidi...
Flutter somo la 11: Matumizi ya text widget

Katika Flutter, Text Widget ni kipengele kinachotumiwa kuonyesha maandishi kwenye programu. Kwa kawaida, hutumiwa kama sehemu ya muundo wa UI ya programu za Flutter.

Soma Zaidi...