Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Faida za viazi mbatata
1. Viazi mbatata vina virutubisho Kama protini, fati, wanga, vitamini B5 na C pia madini ya potassium, magnesium na shaba
2. Huboresha ufanyaji kazi wa ubongo 3. Huboresha hedhi
3. Hushusha sukari kwenye damu
4. Husaidia katika kupambana na saratani
5. Huboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
6. Husaidia katika kupunguza uzito
7. Husaidia mwili kupambana na maambukizi ya mara kwa mara
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya fati na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu maji
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...Matatizo ya macho yanaweza kuruthiwa kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto. hata hivyo shughuli zetu na vyakula tunavyokula vinaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa matatizo haya. Hapa nitakuletea vyakula muhimu kwa afya ya macho yako.
Soma Zaidi...Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...Matunda yenye vitamni C kwa wingi ni machungwa, maembe, ndimu na limao, endelea kusoma
Soma Zaidi...