Posti hii inahusu zaidi madhara ya kuwepo kwa vyakula vya kisasa, vyakula vya kisasa ni vyakula vya madukani ambavyo vimetengenezwa na kuwekwa kwenye maduka
1. Vyakula vya kisasa uleta Magonjwa.
Kwa mfano Magonjwa ya kansa, kisukari na shinikizo la damu.
2. Kuwepo kwa maumbo na unene usio wa kawaida kwa watoto, kwa mfano utakuta mtoto mdogo ana kitambi.
3. Usababisha matatizo kwa wanawake wanaojifungua na pia kuleta matatizo ya kiu zazi kwa wanawake na wanaume.
4. Kwa hiyo sio kwamba tusivitumie ila tusitumie vyakula vya super market mara Kwa mara
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tikiti
Soma Zaidi...kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.
Soma Zaidi...Posti hii inakwendavkukufundisha madhara unayoweza kuyapata unapokula chakula cgenye chumvi nyingi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nanasi
Soma Zaidi...Matunda ya zamani, matunda ya asili, Zaituni tunda lipendezalo, zijuwe faida zake leo
Soma Zaidi...