Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa upele na matatibabu yake, ni ugonjwa unaosabavishwa na mdudu kwa kitaalamu huitwa mites sarcoptes scrabie mdudu huyu usababisha miwasho kwenye ngozi.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa ugonjwa huu wa upele unashambulia sana watoto na wazee pamoja na wale wenye kinga kidogo mwilini. Kwa sababu ya uangalizi mdogo wa wazee na watoto ndo maana wanakuwa waanga wa kwanza wa ugonjwa huu.
2. Ugonjwa huu unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa kugusana au kutumia nguo Moja yaani mwenye maambukizi ana vaa nguo na asiye na maambukizi naye anavaa kwa kufanya hivyo ugonjwa huu unaweza kusambaa sana, pia kwa wale watu wanaotumia shuka Moja wakati wa kulala wanaweza kupata ugonjwa huo kwa hiyo ni vizuri kuwa makini katika matumizi ya nguo na vitu Ili kuendelea kupambana na ugonjwa huu wa upele.
3. Ugonjwa huu ukitokea unaweza kitibiwa kwa dawa zifuatazo permethrin, parathyroid na pia Kuna dawa ya oral livermectin na yenyewe inasaidia kwenye matibabu, na pia tunaweza kutumia anti histamine Ili kupunguza miwasho kwa sababu Kuna wakati mwingine miwasho inakuwa mingi na yenye nguvu kwa hiyo ni vizuri kutumia dawa hiyo hata kama unatumia zingine walau miwasho ipungue.
4. Pia Kuna wakati mwingine usafi tu ndo dawa kama Kuna upele kwenye familia pamoja na kutumia dawa ni vizuri kabisa kufanya usafi kwa kupga kila siku kwa maji masafi na sababu pia ni lazima kifua nguo na kuzinyoosha na kihakikisha kuwa mashuka nayo yanafuliwa na ikiwezekana kuto vitu nje pamoja na magodoro walau mara Moja kwa wiki Ili kuweza kupunguza na kuondoa maambukizi.
5. Vile vile kwa matumizi ya dawa ni vizuri kabisa kutumia dawa hizo kwa ushauri wa wataalamu wa afya Ili kuepuka matumizi ya kiholela, kwa hiyo ni vizuri kabisa kupambana na ugonjwa huu kwa sababu unaweza kuisha kabisa.
6. Pia kwa wale wenye maambukizi au kinga yao inashuka hata kama wakifanya usafi ni vigumu kupona ugonjwa huu kwa hiyo wanapaswa kuwaona wataalamu wa afya Ili kuweza kupata ushauri na kupima afya zao na kuondokana na ugonjwa huu. Piaa Kuna wale wenye aleji na vitu na wanapata upele na wenyewe wanapaswa kutafuta matibabu Ili kuepuka na ugonjwa huu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Dalili za typhid zinapasa kuangaliwa kwa umakini. Bila vipimo mtu asitumie dawa za tyohod, kwanu dalili za tyohid hufanana na daliki za maradhi mengi.
Soma Zaidi...Je na wewe unasumbukiwa na kunggoka jwa kucha. Tatizo limekunaza una muda gani nalo?
Soma Zaidi...Fangasi na Aina zao Fangasi wa kwenye kucha Fangasi wa Mapunye Fangasi aina ya candida Fangasi wa Mdomoni na kooni Fangasi wa kwenye uke Fangasi wanaoshambulia mfumo wa damu na ogran kama moyo, figo n.
Soma Zaidi...Dondakoo ni ugonjwa mbaya unaosababishwa na sumu inayotengenezwa na bakteria. Husababisha mipako nene nyuma ya pua au koo ambayo inafanya kuwa ngumu kupumua au kumeza. Inaweza kuwa mauti.
Soma Zaidi...Mvurugiko katika mfumo wa chakula mwilinivunaweza kusababisha maumivu ya tumbo, kuharisha, kutapika na kuchoka pia. Lakini zipo sababu nyingine kama kuwana ujauzito. Nini ufanye endapo unasumbuliwana hali hii
Soma Zaidi...Schizophrenia ni ugonjwa wa akili ambao huathiri jinsi mtu anavyofikiri, kuhisi, na kuamua. Dalili za schizophrenia zinaweza kuwa kama ifuatavyo hapo chini
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za Kikohozi cha muda mrefu ni zaidi ya kero. Kikohozi cha muda mrefu kinaweza kuharibu usingizi wako na kukuacha unahisi uchovu. Matukio makali ya kikohozi cha muda mrefu yanaweza kusababisha kutapika, kizunguz
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo kitovuni na dalili zake
Soma Zaidi...