Ugonjwa wa upele na matibabu yake

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa upele na matatibabu yake, ni ugonjwa unaosabavishwa na mdudu kwa kitaalamu huitwa mites sarcoptes scrabie mdudu huyu usababisha miwasho kwenye ngozi.

Ugonjwa wa upele.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa ugonjwa huu wa upele unashambulia sana watoto  na wazee pamoja na wale wenye kinga kidogo mwilini. Kwa sababu ya uangalizi mdogo wa wazee na watoto ndo maana wanakuwa waanga wa kwanza wa ugonjwa huu.

 

2. Ugonjwa huu unaweza kusambaa kutoka kwa mtu  mmoja kwenda kwa mwingine kwa kugusana au kutumia nguo Moja yaani mwenye maambukizi ana vaa nguo na asiye na maambukizi naye anavaa kwa kufanya hivyo ugonjwa huu unaweza kusambaa sana, pia kwa wale watu wanaotumia shuka Moja wakati wa kulala wanaweza kupata ugonjwa huo kwa hiyo ni vizuri kuwa makini katika matumizi ya nguo na vitu Ili kuendelea kupambana na ugonjwa huu wa upele.

 

3. Ugonjwa huu ukitokea unaweza kitibiwa kwa dawa zifuatazo permethrin, parathyroid na pia Kuna dawa ya oral livermectin na yenyewe inasaidia kwenye matibabu, na pia tunaweza kutumia anti histamine Ili kupunguza miwasho kwa sababu Kuna wakati mwingine miwasho inakuwa mingi na yenye nguvu kwa hiyo ni vizuri kutumia dawa hiyo hata kama unatumia zingine walau miwasho ipungue.

 

4. Pia Kuna wakati mwingine usafi tu ndo dawa kama Kuna upele kwenye familia pamoja na kutumia dawa ni vizuri kabisa kufanya usafi kwa kupga kila siku kwa maji masafi na sababu pia ni lazima kifua nguo na kuzinyoosha na kihakikisha kuwa mashuka nayo yanafuliwa na ikiwezekana kuto vitu nje pamoja na magodoro walau mara Moja kwa wiki Ili kuweza kupunguza na kuondoa maambukizi.

 

5. Vile vile kwa matumizi ya dawa ni vizuri kabisa kutumia dawa hizo kwa ushauri wa wataalamu wa afya Ili kuepuka matumizi ya kiholela, kwa hiyo ni vizuri kabisa kupambana na ugonjwa huu kwa sababu unaweza kuisha kabisa.

 

6. Pia kwa wale wenye maambukizi au kinga yao inashuka hata kama wakifanya usafi ni vigumu kupona ugonjwa huu kwa hiyo wanapaswa kuwaona wataalamu wa afya Ili kuweza kupata ushauri na kupima afya zao na kuondokana na ugonjwa huu. Piaa Kuna wale wenye aleji na vitu na wanapata upele na wenyewe wanapaswa kutafuta matibabu Ili kuepuka na ugonjwa huu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 3785

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰2 Dua za Mitume na Manabii    ๐Ÿ‘‰3 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰4 web hosting    ๐Ÿ‘‰5 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Kichwa kinaniuma mbele sielewi nini

Zijuwe sababu za kuumwa nankichwa upande mmoja wa kichwa.

Soma Zaidi...
Sababu za Ugonjwa wa Shinikizo la juu la Damu.

Shinikizo la juu la damu ni hali ya kawaida ambapo nguvu ya muda mrefu ya damu dhidi ya kuta za ateri yako ni kubwa vya kutosha hivi kwamba inaweza kusababisha matatizo ya kiafya, kama vileร‚ย Ugonjwa wa Moyo.

Soma Zaidi...
Kumsaidia sliyepungukiwa na damu kwa sababu ya minyoo

Posti hii inahusu namna ya kumsaidia mgonjwa aliyepungukiwa na damu kwa sababu ya minyoo.

Soma Zaidi...
Makundi yaliyo katika hatari ya kupata Ugonjwa wa ngiri.

Posti hii inahusu zaidi makundi ambayo yapo katika hatari ya kupata ugonjwa wa ngiri, ni hatari kwa sababu tunajua kuwa ngiri utokea kwa sababu ya kuta au tishu zinazoshikilia viungo fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwepo kwa uwazi na kufanya viun

Soma Zaidi...
Yajue matatizo yanayosababisha Ugonjwa wa akili.

Madhara ya ugonjwa wa akili yanaweza kuwa ya muda au ya kudumu. Unaweza pia kuwa na zaidi ya ugonjwa mmoja wa afya ya akili kwa wakati mmoja. Kwa mfano, unaweza kuwa na ulegevu na ugonjwa wa matumizi ya madawa ya kulevya.

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo chini ya kifua, upande wa kulia na chini ya kitomvu.

Afya ya tumbo ni ishara tosha ya umadhibuti wa afya ya mtu. Maradhi mengi wanayouguwa watu chanzo kile mti anachokula. Yapo maradhi sugu kama saratani ambayo husababishwa pia na vyakula. Post hii itakwenda kujibu swalo la muulizaji kuhusu maumivu ya tumbo

Soma Zaidi...
Sababu za Kutokwa Damu moja kwa moja bila kuganda (hemophilia).

Posti hii inaelezea kuhusiana na Damu kutokuganda ambalo hujulikana Kama Hemophilia, ni ugonjwa nadra ambapo damu yako haigandi kawaida kwa sababu haina protini za kutosha za kuganda. Ikiwa una tatizo la Damu kutokuganda, unaweza kuvuja damu kwa muda mre

Soma Zaidi...
Njia za kuangalia sehemu yenye maumivu

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia sehemu yenye maumivu, hili kugundua mahali mtu anaumia ushirikiano mkubwa unahitajika kati ya mgonjwa na mhudumu.

Soma Zaidi...