Ugonjwa wa pepopunda kwa watoto
Pepopunda ni ugonjwa hatari wa kutishia maisha unaosababishwa na sumu inayojulikana Kama tetanospasmin inayotolewa kwenye majeraha yaliyoambukizwa. Bakteria ya pepopunda huingia kwenye mwili wa mtoto mchanga kupitia kisiki cha kitovu ambacho kimekatwa na
Ishara na Dalili za mtoto mwenye pepopunda ;
1. misuli ya taya kukaza.
2. Ugumu wa shingo
3 Ugumu wa kumeza chakula,maji au chochote kutokana na shingo kuwa ngumu.
4. Ugumu wa misuli ya tumbo.
5. Homa.
6. Kutokwa na jasho.
7. Kuongezeka kwa shinikizo la damu
8. Kiwango cha moyo au mapigo ya moyo kuenda haraka.
8. Kutokuwa na uwezo wa kunyonya .
Yafuatayo ni matatizo ya pepopunda;
1 Ugumu kwenye kamba za sauti ni shida ambayo inaweza kusababisha kuingiliwa kwa kupumua.
2. Kuvunja uti wa mgongo au mifupa mirefu kutokana na degedege.
3. Shinikizo la damu
4. Mdundo usio wa kawaida wa moyo.
5. Maambukizi ambayo ni ya kawaida kwa sababu ya kukaa kwa muda mrefu hospitalini.
Namna ya Kuzuia pepopunda kwa watoto chini ya miaka mitano;
1. Hakikisha Mtoto amepata dozi za pepopunda
2. Kuhimiza kujifungua katika kituo cha afya.
3. Mafunzo sahihi kwa wakunga wa jadi .
4.Kampenia za elimu ya afya kuelekea utunzaji sahihi na safi wa kisiki cha kitovu, ziara za baada ya kuzaa na kuangalia kitovu wakati Mtoto amezaliwa.
4. Ukaguzi wa vifaa na njia inayotumika katika kushughulikia kitovu wakati wa kujifungua.
5. Chanjo kwa wanawake wa umri wa kuzaa zifike dozi tano.
6. Wanawake wote wajawazito ikiwa hawajamaliza dozi 5 wanapaswa kuchanjwa angalau dozi 3 (hata dozi moja ni bora kuliko kutofanya chochote.)
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Njia za kujilinda na kujikinga na UTI
Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujilinda na kujikinga na UTI
Soma Zaidi...Namna Ugonjwa wa UKIMWI unavyoambukizwa.
UKIMWI (acquired immunodeficiency syndrome) ni hali ya kudumu, inayoweza kutishia maisha inayosababishwa na virusi vya ukimwi (VVU) Kwa kuharibu mfumo wako wa kinga, VVU huingilia uwezo wa mwili wako wa kupambana na viumbe vinavyosababisha magonjwa. Inawe
Soma Zaidi...Maumivu ya kichwa cha mara kwa mara (Migraine): Dalili na tiba.
Migraine si maumivu ya kawaida ya kichwa; ni hali ya mfumo wa neva inayoweza kuathiri vibaya maisha ya kila siku ya mtu. Inajidhihirisha kwa maumivu makali ya upande mmoja wa kichwa, yanayoambatana na kichefuchefu, kutapika, na unyeti mkubwa kwa mwanga na sauti. Makala haya yanafafanua kwa kina kile kinachotokea wakati wa shambulio la migraine, jinsi ya kutofautisha na maumivu mengine ya kichwa, na mikakati ya kitaalamu ya kudhibiti na kutibu hali hii.
Soma Zaidi...Vyakula Muhimu kwa Mama Mjamzito
Ujauzito ni kipindi cha kipekee kinachohitaji uangalizi maalum wa lishe. Makala hii inaangazia vyakula muhimu ambavyo kila mama mjamzito anapaswa kuzingatia ili kuhakikisha afya yake na ukuaji bora wa mtoto aliyepo tumboni.
Soma Zaidi...Vyakula Vinavyosaidia Afya ya Uzazi kwa Mwanamke
​Afya ya uzazi kwa mwanamke inategemea sana usawa wa homoni, ubora wa mayai, na mazingira salama ya mfuko wa uzazi. Lishe bora ni nguzo kuu katika kuboresha maeneo haya. Makala haya yanachambua vyakula muhimu vinavyoweza kuongeza uwezo wa kushika mimba, kusawazisha homoni, na kulinda mfumo wa uzazi kwa ujumla, yakisindikizwa na ukweli wa kisayansi
Soma Zaidi...Sababu za mdomo kuwa mchungu
Hapa utajifunza sababu zinzopelekea mdomo kubadilika ladha na kuwa mchungu, ama mchachu.
Soma Zaidi...