Pepopunda ni ugonjwa hatari wa kutishia maisha unaosababishwa na sumu inayojulikana Kama tetanospasmin inayotolewa kwenye majeraha yaliyoambukizwa. Bakteria ya pepopunda huingia kwenye mwili wa mtoto mchanga kupitia kisiki cha kitovu ambacho kimekatwa na
Ishara na Dalili za mtoto mwenye pepopunda ;
1. misuli ya taya kukaza.
2. Ugumu wa shingo
3 Ugumu wa kumeza chakula,maji au chochote kutokana na shingo kuwa ngumu.
4. Ugumu wa misuli ya tumbo.
5. Homa.
6. Kutokwa na jasho.
7. Kuongezeka kwa shinikizo la damu
8. Kiwango cha moyo au mapigo ya moyo kuenda haraka.
8. Kutokuwa na uwezo wa kunyonya .
Yafuatayo ni matatizo ya pepopunda;
1 Ugumu kwenye kamba za sauti ni shida ambayo inaweza kusababisha kuingiliwa kwa kupumua.
2. Kuvunja uti wa mgongo au mifupa mirefu kutokana na degedege.
3. Shinikizo la damu
4. Mdundo usio wa kawaida wa moyo.
5. Maambukizi ambayo ni ya kawaida kwa sababu ya kukaa kwa muda mrefu hospitalini.
Namna ya Kuzuia pepopunda kwa watoto chini ya miaka mitano;
1. Hakikisha Mtoto amepata dozi za pepopunda
2. Kuhimiza kujifungua katika kituo cha afya.
3. Mafunzo sahihi kwa wakunga wa jadi .
4.Kampenia za elimu ya afya kuelekea utunzaji sahihi na safi wa kisiki cha kitovu, ziara za baada ya kuzaa na kuangalia kitovu wakati Mtoto amezaliwa.
4. Ukaguzi wa vifaa na njia inayotumika katika kushughulikia kitovu wakati wa kujifungua.
5. Chanjo kwa wanawake wa umri wa kuzaa zifike dozi tano.
6. Wanawake wote wajawazito ikiwa hawajamaliza dozi 5 wanapaswa kuchanjwa angalau dozi 3 (hata dozi moja ni bora kuliko kutofanya chochote.)
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata homa ya ini,kwa sababu ya hali zao mbalimbali wanaweza kupata ugonjwa huu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya koo, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu ya koo la hewa, na na huwa na dalili zake kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...VYNZO VYA MINYOO Kama tulivyoona hapo mwanzo kuusu aina za minyoo, pia tumeona vyanzo vya minyoo hao kulingana na aina zao.
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza maana ya homa ya ini. Pia utajifunza chanzo kinachosababisha homa ya ini. Makala hii itakuwa endelevu hivyo usikose muendelezo wake.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia ishara na dalili za SELIMUDU ambao kitaalamu huitwa Sickle cell Anemia.selimudu ni aina ya kurithi ya Anemia — hali ambayo hakuna chembechembe nyekundu za damu zenye afya za kutosha kubeba oksijeni ya kutos
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kuzuia kiungulia
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha dalili za ugonjwa wa Vidonda vya kitanda (bed sores)mara nyingi hukua kwenye ngozi ambayo hufunika sehemu za mifupa ya mwili, kama vile visigino, vifundoni, viuno. Vidonda vya kitanda vinaweza kukua haraka na mara nyingi ni vigumu
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea sababu zinazosababisha mkojo kuwa na damu.
Soma Zaidi...Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu matibabu ya vidonda vya tumbo sugu
Soma Zaidi...