Pepopunda ni ugonjwa hatari wa kutishia maisha unaosababishwa na sumu inayojulikana Kama tetanospasmin inayotolewa kwenye majeraha yaliyoambukizwa. Bakteria ya pepopunda huingia kwenye mwili wa mtoto mchanga kupitia kisiki cha kitovu ambacho kimekatwa na
Ishara na Dalili za mtoto mwenye pepopunda ;
1. misuli ya taya kukaza.
2. Ugumu wa shingo
3 Ugumu wa kumeza chakula,maji au chochote kutokana na shingo kuwa ngumu.
4. Ugumu wa misuli ya tumbo.
5. Homa.
6. Kutokwa na jasho.
7. Kuongezeka kwa shinikizo la damu
8. Kiwango cha moyo au mapigo ya moyo kuenda haraka.
8. Kutokuwa na uwezo wa kunyonya .
Yafuatayo ni matatizo ya pepopunda;
1 Ugumu kwenye kamba za sauti ni shida ambayo inaweza kusababisha kuingiliwa kwa kupumua.
2. Kuvunja uti wa mgongo au mifupa mirefu kutokana na degedege.
3. Shinikizo la damu
4. Mdundo usio wa kawaida wa moyo.
5. Maambukizi ambayo ni ya kawaida kwa sababu ya kukaa kwa muda mrefu hospitalini.
Namna ya Kuzuia pepopunda kwa watoto chini ya miaka mitano;
1. Hakikisha Mtoto amepata dozi za pepopunda
2. Kuhimiza kujifungua katika kituo cha afya.
3. Mafunzo sahihi kwa wakunga wa jadi .
4.Kampenia za elimu ya afya kuelekea utunzaji sahihi na safi wa kisiki cha kitovu, ziara za baada ya kuzaa na kuangalia kitovu wakati Mtoto amezaliwa.
4. Ukaguzi wa vifaa na njia inayotumika katika kushughulikia kitovu wakati wa kujifungua.
5. Chanjo kwa wanawake wa umri wa kuzaa zifike dozi tano.
6. Wanawake wote wajawazito ikiwa hawajamaliza dozi 5 wanapaswa kuchanjwa angalau dozi 3 (hata dozi moja ni bora kuliko kutofanya chochote.)
Umeionaje Makala hii.. ?
Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu inayotumiwa kwa ajili ya kusikia, Kuna wakati mwingine hushambulia na bakteria na virusi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za Dengue,ni Dalili ambazo huwa kwenye makundi matatu na kuwepo kwa makundi hayautegemea kuongezeka kwa tatizo kwa sababu tatizo likiongezeka bila kutibiwa na dalili uongezeka na kufikia kwenye sehemu isiyo ya kawaida kwa mg
Soma Zaidi...Fangasi na Aina zao Fangasi wa kwenye kucha Fangasi wa Mapunye Fangasi aina ya candida Fangasi wa Mdomoni na kooni Fangasi wa kwenye uke Fangasi wanaoshambulia mfumo wa damu na ogran kama moyo, figo n.
Soma Zaidi...UGONJWA WA GONORIA NA DALILI ZAKE (GONORRHEA)Gonoria (gonorrhea) ni katika maradhi yanayoambukizwa kwa njia ya ngono.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na sababu zinazosababisha kinjwa au mdomo kutoa harufu mbaya?
Soma Zaidi...MAGONJWA YA INI NA DALILIZAKE, NA KUKABILIANA NAYO Ini ni katika viungo vikuu katika mwili wa binadamu.
Soma Zaidi...Pindi malaria isipotibiwa inaweza kufanya dalili ziendelee na hatimaye kusababisha kifo.
Soma Zaidi...kuwashwa na koo ni katika dalili za kuwa na maambukizi mwilini. Kuwa na maambukizi haimaanishi ni HIV ama UKIMWI laa hili ni neno pana. Hapa nitakujuza kwa ufupi kuhusu swali hilo la muulizaji kuwa anawashwa na koo.
Soma Zaidi...