Pepopunda ni ugonjwa hatari wa kutishia maisha unaosababishwa na sumu inayojulikana Kama tetanospasmin inayotolewa kwenye majeraha yaliyoambukizwa. Bakteria ya pepopunda huingia kwenye mwili wa mtoto mchanga kupitia kisiki cha kitovu ambacho kimekatwa na
Ishara na Dalili za mtoto mwenye pepopunda ;
1. misuli ya taya kukaza.
2. Ugumu wa shingo
3 Ugumu wa kumeza chakula,maji au chochote kutokana na shingo kuwa ngumu.
4. Ugumu wa misuli ya tumbo.
5. Homa.
6. Kutokwa na jasho.
7. Kuongezeka kwa shinikizo la damu
8. Kiwango cha moyo au mapigo ya moyo kuenda haraka.
8. Kutokuwa na uwezo wa kunyonya .
Yafuatayo ni matatizo ya pepopunda;
1 Ugumu kwenye kamba za sauti ni shida ambayo inaweza kusababisha kuingiliwa kwa kupumua.
2. Kuvunja uti wa mgongo au mifupa mirefu kutokana na degedege.
3. Shinikizo la damu
4. Mdundo usio wa kawaida wa moyo.
5. Maambukizi ambayo ni ya kawaida kwa sababu ya kukaa kwa muda mrefu hospitalini.
Namna ya Kuzuia pepopunda kwa watoto chini ya miaka mitano;
1. Hakikisha Mtoto amepata dozi za pepopunda
2. Kuhimiza kujifungua katika kituo cha afya.
3. Mafunzo sahihi kwa wakunga wa jadi .
4.Kampenia za elimu ya afya kuelekea utunzaji sahihi na safi wa kisiki cha kitovu, ziara za baada ya kuzaa na kuangalia kitovu wakati Mtoto amezaliwa.
4. Ukaguzi wa vifaa na njia inayotumika katika kushughulikia kitovu wakati wa kujifungua.
5. Chanjo kwa wanawake wa umri wa kuzaa zifike dozi tano.
6. Wanawake wote wajawazito ikiwa hawajamaliza dozi 5 wanapaswa kuchanjwa angalau dozi 3 (hata dozi moja ni bora kuliko kutofanya chochote.)
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye liski ya kupata magonjwa ya ngono, ni watu wanaofanya mambo yanayosababisha kupata magonjwa ya ngono.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dalili za maambukizi kwenye uume, ni dalili ambazo ujitokeza pale maambukizi yanapotokea kwenye uume.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wenye uchungu wa mishipa midogo ya damu kwenye ngozi yako ambayo hutokea kutokana na ongezeko la joto la ghafla kutokana na halijoto ya baridi. Pia inajulikana kama pernio, chilblain inaweza kusababisha kuwasha,
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ngozi kuwa kavu si mbaya, lakini inaweza kusumbua na isipendeze, ikitengeneza mistari laini na Mikunjo.
Soma Zaidi...Kisonono ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria wa zinaa ambao wanaweza kuwaambukiza wanaume na wanawake. Kisonono mara nyingi huathiri urethra, puru au koo. Kwa wanawake, ugonjwa wa kisonono unaweza pia kuambukiza kizazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu magonjwa yasiyo ya kuambukizwa,haya ni magonjwa ambayo hayawezi kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda mwingine
Soma Zaidi...Tetekuwanga (varisela) ni maambukizi ya virusi ambayo husababisha kuwasha, upele kama vile malengelenge. Tetekuwanga huambukiza sana watu ambao hawajapata ugonjwa huo wala kupewa chanjo dhidi yake. Kabla ya chanjo ya kawaida ya tetekuwanga, karibu watu
Soma Zaidi...FIKRA POTOFY KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO Vidonda vya tumbo huja na maoni mengi potofu.
Soma Zaidi...