picha

Dalili za Saratani ya utumbo mdogo.

Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo

Dalili na ishara za saratani ya utumbo mdogo ni pamoja na:

1. Maumivu ya tumbo

 

2. Ngozi kuwa na manjano na weupe wa macho (jaundice)

 

3. Kuhisi udhaifu au uchovu usio wa kawaida

 

4. Kichefuchefu

 

5. Kutapika

 

6. Kupungua uzito

 

7. Damu kwenye kinyesi, ambayo inaweza kuonekana nyekundu au nyeusi

 

8. Kuhara kwa maji

 

    Jinsi ya kujizuia na ugonjwa wa Saratani ya utumbo mdogo.

1. Kula aina mbalimbali za matunda, mboga mboga na nafaka.  Matunda, mboga mboga na nafaka nzima zina vitamini, madini, nyuzinyuzi ambayo inaweza kusaidia kupunguza hatari  ya saratani na magonjwa mengine.  

 

2. Punguza kunywa pombe kupita kuasi ikiwezekana acha kabisa.  Ukichagua kunywa pombe, punguza kiwango cha pombe unachokunywa kisizidi kinywaji kimoja kwa siku .

 

3. Acha kuvuta sigara. Tafuta njia mbadala ambazo zitakutengenezea mazingira ya kuacha kabisa kuvuta sigara au kutumia tumbaku.

 

4. Fanya mazoezi .  Jaribu kupata angalau dakika 30 za mazoezi.

 

5. Punguza uzito wako kama ni mkubwa kulingana na afya yako.  Ikiwa una uzito mzuri, fanya kazi ili kudumisha uzito wako kwa kuchanganya chakula cha afya na mazoezi ya kila siku.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1698

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     πŸ‘‰2 Bongolite - Game zone - Play free game     πŸ‘‰3 Dua za Mitume na Manabii     πŸ‘‰4 Simulizi za Hadithi Audio     πŸ‘‰5 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Kisukari cha Aina ya 2: Dalili 10 za awali unazotakiwa kuzijua.

​Kisukari cha Aina ya 2 (Type 2 Diabetes) ni janga la kimataifa la kiafya linalokua kwa kasi, huku watu wengi wakiishi na hali hii bila kujijua. Post hii inachunguza kwa kina dalili 10 za awali, ikitoa mwongozo wa kitaalamu wa jinsi ya kutambua mabadiliko ya mwili, umuhimu wa utambuzi wa mapema, na hatua za kuzuia madhara ya muda mrefu kupitia mabadiliko ya mtindo wa maisha.

Soma Zaidi...
Polio (Kilema cha utotoni): Dalili na umuhimu wa chanjo.

Ugonjwa wa Polio, unaojulikana kitaalamu kama Poliomyelitis, ni ugonjwa hatari wa kuambukiza unaosababishwa na virusi vya Polio (Poliovirus). Ugonjwa huu huathiri mfumo wa neva na unaweza kusababisha ulemavu wa kudumu au kifo ndani ya saa chache. Licha ya juhudi kubwa za kimataifa kutokomeza ugonjwa huu, bado ni tishio katika maeneo machache duniani. Makala hii inachunguza kwa kina biolojia ya ugonjwa, dalili zake, athari za muda mrefu, na umuhimu wa chanjo kama nyenzo pekee ya kuzuia maambukizi.

Soma Zaidi...
Homa ya matumbo (Typhoid): Dalili na jinsi inavyoambukizwa.

​Homa ya matumbo, inayojulikana kitabibu kama Typhoid Fever, ni ugonjwa hatari wa kuambukiza unaosababishwa na bakteria aina ya Salmonella Typhi. Makala hii inatoa mwongozo wa kina kuhusu namna bakteria hawa wanavyosambaa kupitia vyakula na maji yaliyochafuliwa, dalili za kliniki unazopaswa kuzizingatia, pamoja na umuhimu wa usafi wa mazingira na chanjo katika kuzuia maambukizi haya. Lengo letu ni kukupa elimu itakayokusaidia kujilinda wewe na jamii yako dhidi ya maradhi haya yanayoweza kuzuilika.

Soma Zaidi...
Msaada kwa Mgonjwa aliyeshindwa kupitisha mkojo.

Posti hii utokea huduma ya kwanza kwa mtu aliye na shida ya kushindwa kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo,

Soma Zaidi...
Njia za jumla za kujikinga na magonjwa mbalimbali

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kujikinga na magonjwa, kwa kawaida tunajua wazi kuwa magonjwa yapo na yanasambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na mengine hayasambai yanaweza kumpata mtu mmoja akapona au magonjwa mengine si ya kupona

Soma Zaidi...
MATIBABU YA FANGASI

Karibia fangasi wote hawa wanatibika bila ya ugumu wowote maka mgonjwa atakamilisha dozi.

Soma Zaidi...