Dalili za Saratani ya utumbo mdogo.
Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo
Dalili na ishara za saratani ya utumbo mdogo ni pamoja na:
1. Maumivu ya tumbo
2. Ngozi kuwa na manjano na weupe wa macho (jaundice)
3. Kuhisi udhaifu au uchovu usio wa kawaida
4. Kichefuchefu
5. Kutapika
6. Kupungua uzito
7. Damu kwenye kinyesi, ambayo inaweza kuonekana nyekundu au nyeusi
8. Kuhara kwa maji
Jinsi ya kujizuia na ugonjwa wa Saratani ya utumbo mdogo.
1. Kula aina mbalimbali za matunda, mboga mboga na nafaka. Matunda, mboga mboga na nafaka nzima zina vitamini, madini, nyuzinyuzi ambayo inaweza kusaidia kupunguza hatari ya saratani na magonjwa mengine.
2. Punguza kunywa pombe kupita kuasi ikiwezekana acha kabisa. Ukichagua kunywa pombe, punguza kiwango cha pombe unachokunywa kisizidi kinywaji kimoja kwa siku .
3. Acha kuvuta sigara. Tafuta njia mbadala ambazo zitakutengenezea mazingira ya kuacha kabisa kuvuta sigara au kutumia tumbaku.
4. Fanya mazoezi . Jaribu kupata angalau dakika 30 za mazoezi.
5. Punguza uzito wako kama ni mkubwa kulingana na afya yako. Ikiwa una uzito mzuri, fanya kazi ili kudumisha uzito wako kwa kuchanganya chakula cha afya na mazoezi ya kila siku.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 web hosting π2 Madrasa kiganjani π3 ai web app π4 Kitau cha Fiqh π5 Kitabu cha Afya π6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Dalili za PID kwa wanawake
Kipindi cha baada ya yai kuachiliwa (ovulation) hadi kufikia tarehe ya hedhi inayofuata hujulikana kama Luteal Phase. Hapa ndipo wanawake wengi wanaotafuta ujauzito huanza kuchunguza mabadiliko ya miili yao. Makala haya yanajadili dalili za mapema za mimba zinazoweza kujitokeza siku chache baada ya ufertilishaji, jinsi ya kutofautisha dalili hizi na zile za hedhi ya kawaida (PMS), na ukweli wa kitaalamu kuhusu lini unapaswa kupima mimba
Soma Zaidi...Dalilili za maumivu ya kifua
Maumivu ya kifua huja kwa aina nyingi, kuanzia kuchomwa na kisu hadi kuuma kidogo. Baadhi ya Maumivu ya kifua yanafafanuliwa kama kuponda kuungua. Katika baadhi ya matukio, maumivu husafiri juu ya shingo, hadi kwenye taya.
Soma Zaidi...Dalili za mimba kutunga nje ya kizazi (Ectopic Pregnancy).
Mimba kutunga nje ya kizazi (Ectopic Pregnancy) ni hali ya dharura ya kitabibu ambapo yai lililorutubishwa linajipandikiza nje ya mji wa mimba, mara nyingi katika mirija ya uzazi (Fallopian tubes). Hali hii ni hatari sana kwa maisha ya mama kwani kiumbe kinachokua hakiwezi kustahimili kukua nje ya mji wa mimba, na kinaweza kusababisha mrija kupasuka na kusababisha damu nyingi kuvuja ndani ya tumbo.
Soma Zaidi...Kushambuliwa kwa moyo na kupumua
Post hii inahusu zaidi kuhusu kushambuliwa kwa moyo na kupumua, kushambuliwa kwa moyo na kupumua kwa kitaala huitwa (cardiopulmonary Arrest) ni kitendo Cha kusimama ghafla kwa moyo na kupumua.
Soma Zaidi...Kisonono sugu: Sababu za kutosikia dawa na tiba yake.
βKisonono (Gonorrhea) ni maambukizi ya zinaa (STI) yanayosababishwa na bakteria aina ya Neisseria gonorrhoeae. Ingawa kimsingi ugonjwa huu hutibika kwa urahisi kwa antibiotics, kuibuka kwa kisonono kisichosikia dawa (drug-resistant gonorrhea) kumegeuka kuwa tishio kubwa la afya ya jamii. Makala haya yanachunguza kwa nini baadhi ya maambukizi huwa sugu, hatari zake, na umuhimu wa kufuata taratibu za kitabibu ili kupata uponyaji kamili.
Soma Zaidi...