picha

Dalili za Saratani ya utumbo mdogo.

Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo

Dalili na ishara za saratani ya utumbo mdogo ni pamoja na:

1. Maumivu ya tumbo

 

2. Ngozi kuwa na manjano na weupe wa macho (jaundice)

 

3. Kuhisi udhaifu au uchovu usio wa kawaida

 

4. Kichefuchefu

 

5. Kutapika

 

6. Kupungua uzito

 

7. Damu kwenye kinyesi, ambayo inaweza kuonekana nyekundu au nyeusi

 

8. Kuhara kwa maji

 

    Jinsi ya kujizuia na ugonjwa wa Saratani ya utumbo mdogo.

1. Kula aina mbalimbali za matunda, mboga mboga na nafaka.  Matunda, mboga mboga na nafaka nzima zina vitamini, madini, nyuzinyuzi ambayo inaweza kusaidia kupunguza hatari  ya saratani na magonjwa mengine.  

 

2. Punguza kunywa pombe kupita kuasi ikiwezekana acha kabisa.  Ukichagua kunywa pombe, punguza kiwango cha pombe unachokunywa kisizidi kinywaji kimoja kwa siku .

 

3. Acha kuvuta sigara. Tafuta njia mbadala ambazo zitakutengenezea mazingira ya kuacha kabisa kuvuta sigara au kutumia tumbaku.

 

4. Fanya mazoezi .  Jaribu kupata angalau dakika 30 za mazoezi.

 

5. Punguza uzito wako kama ni mkubwa kulingana na afya yako.  Ikiwa una uzito mzuri, fanya kazi ili kudumisha uzito wako kwa kuchanganya chakula cha afya na mazoezi ya kila siku.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1674

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Bongolite - Game zone - Play free game     πŸ‘‰2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     πŸ‘‰3 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰4 Dua za Mitume na Manabii     πŸ‘‰5 Simulizi za Hadithi Audio     πŸ‘‰6 web hosting    

Post zinazofanana:

Madhara ya kulala usiku sana

​Post hii inachunguza changamoto za kiafya zinazotokana na kukosa usingizi wa kutosha au kuchelewa kulala. Tutajadili athari zake kwenye mfumo wa kinga, uwezo wa kufikiri, na uzalishaji wa homoni, huku tukitoa vidokezo vya kuboresha mzunguko wako wa kulala kwa maisha bora.

Soma Zaidi...
Namna ya kumsaidia mtoto mwenye UTI

Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia mtoto akiwa na ugonjwa wa UTI.

Soma Zaidi...
Upele wa kuambukiza ukeni (BV): Tiba na kinga.

Bacterial Vaginosis (BV) ni hali inayotokea pale uwiano wa bakteria wazuri (wanaolinda uke) unapoathirika na bakteria wabaya kuzaliana kwa wingi. Hili si ugonjwa wa zinaa (STI), ingawa shughuli za kingono zinaweza kuongeza hatari ya kuupata. BV husababisha usumbufu mkubwa na ni muhimu kutibiwa ili kuepuka maambukizi ya mfumo wa uzazi. Makala haya yanakupa uelewa wa dalili, tiba, na mbinu za kuzuia hali hii isijirudie.

Soma Zaidi...
Dalili za moyo kutanuka

Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza na kuonyesha kwamba moyo umetanuka.

Soma Zaidi...
Dalili za Dengue.

Posti hii inahusu zaidi dalili za Dengue,ni Dalili ambazo huwa kwenye makundi matatu na kuwepo kwa makundi hayautegemea kuongezeka kwa tatizo kwa sababu tatizo likiongezeka bila kutibiwa na dalili uongezeka na kufikia kwenye sehemu isiyo ya kawaida kwa mg

Soma Zaidi...
Mimba kuharibika (Miscarriage): Sababu na dalili zake.

Mimba kuharibika ni kupotea kwa ujauzito kabla ya wiki ya 20 ya ujauzito. Hali hii ni jambo linaloweza kuleta huzuni kubwa kwa familia. Ingawa inaweza kutokea ghafla, ni muhimu kuelewa kuwa mara nyingi husababishwa na sababu za kibiolojia zisizo chini ya uwezo wa mama. Makala hii inaelezea sababu za kawaida, dalili za tahadhari, na hatua za kuchukua baada ya kupitia hali hii.

Soma Zaidi...