Magonjwa ya moyo


image


Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya moyo, kwa kawaida watu wakisikia habari za magonjwa ya moyo huwa hawaelewi yanakuwaje kuwaje, Leo nataka niwafahamishe kuhusu magonjwa ya moyo na sehemu mbalimbali zinazoathirika.


Magonjwa ya moyo.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kuwa asilimia kubwa ya watu wenye matatizo ya moyo upata shida sana kiafya kwa sababu uweza kunyongenyea kwa sababu kazi ya moyo ni kubwa sana ambayo ni kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili,iwapo kama damu haijasambaa ni tatizo kubwa sana kwa hiyo ni vizuri kujua ni vipi na kwa namna gani moyo upata matatizo.

 

2. Mashambulizi kwenye misuli ya moyo.

Kuna wakati utasikia watu wanalalamika kuwa mtu Fulani ana matatizo ya moyo na hawajui tatizo likoje, kwa hiyo mashambulizi yakiwa kwenye sehemu za misuli uweza kusababisha moyo kusukuma damu kwa shida kubwa.

 

 

3. Pia Kuna mashambulizi kwenye mishipa ya moyo.

Kuna wakati mwingine mishipa ya kwenye moyo ushindwa kupeleka damu vizuri kutoka sehemu Moja kwenda nyingine ambapo usababisha mwili kukosa damu ya kutosha na kusababisha mgonjwa kukosa nguvu kama ni mtoto ukuaji unakuwa ni WA shida sana.

 

 

4. Mashambulizi kwenye valve za moyo.

Kuna wakati mwingine damu utoka kwenye sehemu mbalimbali za mwili na kuingia kwenye moyo kwa kupitia kwenye valve Kuna wakati mwingine valve upata mashambulizi hali inayosababisha kazi ya kusambaa kwa Damu kuwe na shida 

 

 

5. Tunfu kwenye moyo.

Kwa wakati mwingine kunakuwepo na tundu kwenye sehemu mbalimbali na of kufanya hali ya mgonjwa kuwa mbali hasa pat

 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    2 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    3 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Koo langu limekauka yaweza kuwa ni muadhirika?
kuwashwa na koo ni katika dalili za kuwa na maambukizi mwilini. Kuwa na maambukizi haimaanishi ni HIV ama UKIMWI laa hili ni neno pana. Hapa nitakujuza kwa ufupi kuhusu swali hilo la muulizaji kuwa anawashwa na koo. Soma Zaidi...

image Sababu ya maumivu ya magoti.
Posti hii inahusu zaidi sababu za maumivu ambayo yanasikika kwenye magoti, huu ni ugonjwa ambao umewapata walio wengi na bado ni kilio kwa walio wengi kwa vijana na kwa wazee, Kuna wataalamu mbalimbali ambao wameweza kugundua sababu za maumivu kwenye magoti kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Kawaida Mtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha
Nimeambiwa presha yangu umeshuka iko 90/60 na Nina umri wa miaka 26 KawaidaMtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha Soma Zaidi...

image Upungufu wa homoni ya cortisol
Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni hii ya cortisol,hii ni homoni ambayo utokana na tezi glang(adrenal gland) kufanya kazi kupitiliza hali ambayo mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo wa mda mrefu, yaani wale watu ambao mda mwingi huwa wenye mawazo na pia Kuna dalili kama zifuatazo. Soma Zaidi...

image Matibabu ya maumivu chini ya kitovu
Post hii inahusu zaidi matibabu ya kutibu ugonjwa wa maumivu chini ya kitovu. Soma Zaidi...

image Chini ya Tumbo langu Kuna uchungu lakini si sana shinda ni ni?
Nini kinasababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu? Soma Zaidi...

image Njia za jumla za kujikinga na magonjwa mbalimbali
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kujikinga na magonjwa, kwa kawaida tunajua wazi kuwa magonjwa yapo na yanasambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na mengine hayasambai yanaweza kumpata mtu mmoja akapona au magonjwa mengine si ya kupona kabisa Bali tunaishi nayo na kufuata mashart ya kupunguza makali ya ugonjwa. Soma Zaidi...

image Uwepo wa asidi nyingi mwilini
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kuwepo kwa asidi nyingi mwilini hali uwasumbua watu wengi na kufikia kiasi cha kusababisha madhara mengine mawilini ikiwamo pamoja na kansa ya koo, ili kujua kama una wingi wa asildi mwilini unapaswa kujua dalili kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Tatizo la tezi koo
Posti hii inahusu zaidi tatizo la tezi koo, ni tatizo ambalo uwapata watu mbalimbali ambapo Usababisha koo kuvimba na mgonjwa huwa na maumivu mbalimbali na pengine mgonjwa upata kikohozi kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye koo. Soma Zaidi...

image Dalili za miguu kufa ganzi
Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo Uweza kujitokeza na kuona kwamba ni Dalili za miguu kufa ganzi, pengine utokea kwa watu wote na pengine huwa ni kwa ghafla Soma Zaidi...