Magonjwa ya moyo

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya moyo, kwa kawaida watu wakisikia habari za magonjwa ya moyo huwa hawaelewi yanakuwaje kuwaje, Leo nataka niwafahamishe kuhusu magonjwa ya moyo na sehemu mbalimbali zinazoathirika.

Magonjwa ya moyo.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kuwa asilimia kubwa ya watu wenye matatizo ya moyo upata shida sana kiafya kwa sababu uweza kunyongenyea kwa sababu kazi ya moyo ni kubwa sana ambayo ni kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili,iwapo kama damu haijasambaa ni tatizo kubwa sana kwa hiyo ni vizuri kujua ni vipi na kwa namna gani moyo upata matatizo.

 

2. Mashambulizi kwenye misuli ya moyo.

Kuna wakati utasikia watu wanalalamika kuwa mtu Fulani ana matatizo ya moyo na hawajui tatizo likoje, kwa hiyo mashambulizi yakiwa kwenye sehemu za misuli uweza kusababisha moyo kusukuma damu kwa shida kubwa.

 

 

3. Pia Kuna mashambulizi kwenye mishipa ya moyo.

Kuna wakati mwingine mishipa ya kwenye moyo ushindwa kupeleka damu vizuri kutoka sehemu Moja kwenda nyingine ambapo usababisha mwili kukosa damu ya kutosha na kusababisha mgonjwa kukosa nguvu kama ni mtoto ukuaji unakuwa ni WA shida sana.

 

 

4. Mashambulizi kwenye valve za moyo.

Kuna wakati mwingine damu utoka kwenye sehemu mbalimbali za mwili na kuingia kwenye moyo kwa kupitia kwenye valve Kuna wakati mwingine valve upata mashambulizi hali inayosababisha kazi ya kusambaa kwa Damu kuwe na shida 

 

 

5. Tunfu kwenye moyo.

Kwa wakati mwingine kunakuwepo na tundu kwenye sehemu mbalimbali na of kufanya hali ya mgonjwa kuwa mbali hasa pat

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1521

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Dalili za awali za ugonjwa wa kizukari

ugonjwa wa kisukari ni moja katika magonjwa hatari sana, na mpaka sasa bado hauna matibabu ya kuponya moja kwa moja

Soma Zaidi...
Dalili za maumivu ya uti wa Mgongo

Posti hii inahusu zaidi dalili za uti wa mgongo ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la uti wa Mgongo.

Soma Zaidi...
Mambo yanayosababisha kiuno au mgongo kuwa na maumivu

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kusababishwa mgongo wAko au kiuno kwa na maumivu, Mgongo ukiwa na maumivu makali Sana yanaweza kusababishwa shida kubwa ata utakapokaa au ukilala au ukitumia bado maumivu yanakuwepo.

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Dalili za jipu la jino.

Jipu la jino ni mfuko wa usaha unaosababishwa na maambukizi ya bakteria. Jipu linaweza kutokea katika maeneo tofauti ya jino kwa sababu tofauti.

Soma Zaidi...
Dalilili za homa ya matumbo (typhoid fever)

Post hii Ina onyesha DALILI za Homa ya matumbo (typhoid fever) huenea kupitia chakula na maji machafu au kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu aliyeambukizwa. Dalili na ishara kwa kawaida hujumuisha Homa kali, maumivu ya kichwa, maumi

Soma Zaidi...
Zijue dalili za maambukizi ndani ya sikio na madhara yake

Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu inayotumiwa kwa ajili ya kusikia, Kuna wakati mwingine hushambulia na bakteria na virusi

Soma Zaidi...
Hatua za Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi.

Posti hii inahusu zaidi hatua mbalimbali za Ugonjwa wa Ukimwi, kawaida Ugonjwa huu huwa na hatua kuu nne ila kila hatua huwa na sifa zake kwa hiyo tunapaswa kujua hatua za Ugonjwa huu na kujaribu kuzuia maambukizi yasisambae kabisa.

Soma Zaidi...
KAMA UNASUMBULIWA NA FANGASI

Post hii fupi inakwenda kukujuza juu ya tatizo la fangasi na nini ufanye.

Soma Zaidi...
Dalili za Mgonjwa wa kisukari

Post hii inahusu dalili za mtu Mwenye ugonjwa wa kisukari, dalili hizi zinaweza kujitokeza Moja kwa Moja mtu akagundua kuwa ana Ugonjwa wa kisukari.zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa kisukari.

Soma Zaidi...