Magonjwa ya moyo

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya moyo, kwa kawaida watu wakisikia habari za magonjwa ya moyo huwa hawaelewi yanakuwaje kuwaje, Leo nataka niwafahamishe kuhusu magonjwa ya moyo na sehemu mbalimbali zinazoathirika.

Magonjwa ya moyo.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kuwa asilimia kubwa ya watu wenye matatizo ya moyo upata shida sana kiafya kwa sababu uweza kunyongenyea kwa sababu kazi ya moyo ni kubwa sana ambayo ni kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili,iwapo kama damu haijasambaa ni tatizo kubwa sana kwa hiyo ni vizuri kujua ni vipi na kwa namna gani moyo upata matatizo.

 

2. Mashambulizi kwenye misuli ya moyo.

Kuna wakati utasikia watu wanalalamika kuwa mtu Fulani ana matatizo ya moyo na hawajui tatizo likoje, kwa hiyo mashambulizi yakiwa kwenye sehemu za misuli uweza kusababisha moyo kusukuma damu kwa shida kubwa.

 

 

3. Pia Kuna mashambulizi kwenye mishipa ya moyo.

Kuna wakati mwingine mishipa ya kwenye moyo ushindwa kupeleka damu vizuri kutoka sehemu Moja kwenda nyingine ambapo usababisha mwili kukosa damu ya kutosha na kusababisha mgonjwa kukosa nguvu kama ni mtoto ukuaji unakuwa ni WA shida sana.

 

 

4. Mashambulizi kwenye valve za moyo.

Kuna wakati mwingine damu utoka kwenye sehemu mbalimbali za mwili na kuingia kwenye moyo kwa kupitia kwenye valve Kuna wakati mwingine valve upata mashambulizi hali inayosababisha kazi ya kusambaa kwa Damu kuwe na shida 

 

 

5. Tunfu kwenye moyo.

Kwa wakati mwingine kunakuwepo na tundu kwenye sehemu mbalimbali na of kufanya hali ya mgonjwa kuwa mbali hasa pat

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1733

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 web hosting    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Ugonjwa wa moyo.

Posti hii inaelezea kuhusiana na mambo hatari yanayosababisha ugonjwa wa moyo.

Soma Zaidi...
dalili za mimba changa ndani ya wiki moja

Je na wewe ni katika ambao wanahitaji kujuwa dalili za mimba ndani ya wiki moja? kama ndio makala hii ni kwa ajili yako. Utakwenda kuona dalili za mwanzo sana za ujauzito toka siku za mwanzoni.

Soma Zaidi...
DALILI ZA HOMA YA BONDE LA UFA (RVFD) NA INAVYOSAMBAZWA.

Homa hii inapatikana katika maeneo ya bonde la ufa barani Afrika na na Mashariki ya kati.

Soma Zaidi...
Maradhi ya Ini na dalili zake, na vipi utajikinga nayo

MAGONJWA YA INI NA DALILIZAKE, NA KUKABILIANA NAYO Ini ni katika viungo vikuu katika mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Dalilili za homa ya matumbo (typhoid fever)

Post hii Ina onyesha DALILI za Homa ya matumbo (typhoid fever) huenea kupitia chakula na maji machafu au kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu aliyeambukizwa. Dalili na ishara kwa kawaida hujumuisha Homa kali, maumivu ya kichwa, maumi

Soma Zaidi...
YAJUE MARADHI YA KISUKARI

Posti hii itakwenda kuelezea mambo machache kuhusu ugonjwa wa kisukari

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa kisukari aina ya 1 (type 1)

Kisukari cha Aina ya 1, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari cha changa au Kisukari kitegemeacho insulini, ni hali sugu ambapo kongosho hutoa insulini kidogo au haitoi kabisa, homoni inayohitajika kuruhusu sukari (glucose) iingie kwenye se

Soma Zaidi...
Ufahamu ugonjwa wa UTI na dalili zake hasa kwa wajawazito

Wajawazito wanaposumbuliwa na ugonjwa wa UTI, dalili za UTI na namna ya Kujikinga na UTI

Soma Zaidi...
Namna ya kujikinga na ugonjwa wa madonda ya koo

Post hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa madonda ya koo,ni njia ambazo usaidia katika kujikinga na ugonjwa wa madonda ya koo.

Soma Zaidi...
Athari za ugonjwa wa Dondakoo

Posti hii inahusu zaidi athari za ugonjwa wa Dondakoo,hali hii utokea iwapo ugonjwa haukutibiwa mapema au umetibiwa lakini bado Kuna matokea hasi ambayo yanaweza kujitokeza kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...