Posti hii inahusu zaidi dalili za kansa, ni dalili ambazo utokea kwa mtu Mwenye tatizo la ugonjwa wa Kansa ingawa sio lazima dalili hizi kutokea tukadhani kuwa ni Kansa Ila zilizonyingi huwa ni kweli dalili za kansa.
Dalili za kansa
1.Mabadiliko ya sauti na kikohozi
Mabadiliko ya sauti na kikohozi ni dalili mojawapo ya Kansa ya koo, pengine sauti ugoma kutoka ambayo uandamana na kikohozi Cha mara kwa mara na pengine chakula ushindwa kupitia kwenye Koo.
2.Matatizo ya kutopata choo kwa mda mrefu. Matatizo ya kutopata choo huwa ni mojawapo ya dalili za kansa ya utumbo mkubwa, au pengine choo huwa na damu hali ambayo upelekea choo,kuwa kigumu sana na pengine choo klainika kusiko kwa kawaida ambapo ni viashilia vya Kansa.
3.Mabadiliko kwenye haja ndogo.
Dalili mojawapo ya Kansa ya kibofu Cha mkojo ni pale ambapo mtu uanza kukojoa damu na pengine uchafu kutoka kwenye kibofu Cha mkojo ukiwa na rangi ya njano, hii ni mojawapo ya Kansa ya kibofu Cha mkojo.
4.Maumivu ya mda mrefu kwenye sehemu yoyote kwa mfano maumivu ya kichwa, miguu na sehemu nyingine nyingi ambapo hata ikitumiwa dawa maumivu hayo upoa na kwa mda fulani uanza tena kwa ujumla maumivu ambayo haya sikii dawa na dalili ya ugonjwa wa kwanza
5.Mabadiliko ya uvimbe
Pengine Kuna uvimbe utokea na kupotea na huwa inauma au pengine hauumi, na baadae utokea sehemu mbalimbali kwa mtindo tofauti na kwa mda tofauti,hizi ni dalili za kansa.na ikitokea ukaguswa kwa kupasuliwa ndipo dalili uongezeka zaidi.
6.Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi na kutokwa damu kwa wale wanawake ambao walishamaliza kipindi Chao Cha hedhi, hii uonesha kuwa na dalili za kansa kwenye kizazi na pengine siku za hedhi ubadilika badilika kuliko kawaida.
7.Kupungua kwa uzito kupitia kiasi
Dalili nyingine ya Kansa ni kupungua uzito kuliko kawaida,hii utokea hasa wakati wa dalili za mwanzoni ambapo uzito wa mgonjwa unapungua hata kama abatumia chakula Cha Aina gani.
Dalili hizo ni za kansa lakini Kuna pangine mtu anaweza kupata dalili kama hizi lakini sio Kansa, Ila kwa uhakika zaidi tunapaswa kwenda hospitalini kuangalia afya zetu zaidi, kwa hiyo sio kila mwenye Dalili za hapo juu ana Kansa.
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Author Tarehe 2021/12/09/Thursday - 05:43:29 pm Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1584
Namna za kujilinda na fangasi ukeni
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuepuka fangasi za ukeni, ni njia ambazo usaidia kuepuka madhara ya fangasi za ukeni. Soma Zaidi...
Mkojo usio wa kawaida huwa na vitu vifuatavyo.
Posti hii inahusu zaidi Aina ya mkojo usiokuwaa wa kawaida uwa na vitu vifuatavyo, ukiona dalili kama hizo wahi mapema hospitalini Ili upatiwe huduma. Soma Zaidi...
Zijuwe athari za vidonda mwilini
Posti hii inahusu zaidi athari za kutotibu vidonda, hizi ni athari mbalimbali ambazo zinaweza kutokea ingawa kama vidonge haujatibiwa au vimetibiwa kwa kuchelewa. Soma Zaidi...
Fikra potofu kuhusu vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya fikra potofu kuhusu vidonda vya tumbo Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa kisukari aina ya 1 (type 1)
Kisukari cha Aina ya 1, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari'cha'changa'au'Kisukari'kitegemeacho insulini, ni hali sugu ambapo kongosho hutoa insulini kidogo au haitoi kabisa, homoni inayohitajika kuruhusu sukari (glucose) iingie kwenye seli ili kutoa nishati. Soma Zaidi...
Mambo muhimu kwa wanawake kabla ya kubeba mimba
Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu kwa wanawake kabla ya kubeba mimba,Ni mambo ya kuzingatia ili mama akija kubeba mimba awe mzima kimwili, ki afya na kisaikolojia na hivyo hivyo Mtoto atakayezaliwa atakuwa salama. Soma Zaidi...
Vyakula vya kuoambana na mafua
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuoambana na mafua Soma Zaidi...
Faida za kusafisha vidonda.
Posti hii inahusu zaidi faida za kusafisha vidonda, ni faida ambazo Mgonjwa mwenye vidonge uzipata kama ifuatavyo. Soma Zaidi...
Hatua tatu anazozipitia mgonjwa wa tauni
Posti hii inahusu zaidi njia au hatua tatu muhimu anazopitia Mgonjwa wa gauni, kuanzia kwa Maambukizi mpaka kwenye hatua ya mwisho hasa kama Ugonjwa huu haujatibiwa mapema. Soma Zaidi...
Njia za kupambana na kuzuia gonorrhea
Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kupambana na kuzuia gonorrhea Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano
Posti hii inaonyesha mambo mbalimbali yanayoweza kusababisha Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano. Soma Zaidi...
Maumivu ya mgongo.
Post yetu Leo inaenda kuzungumzia Maumivu ya nyuma ni malalamiko ya kawaida. Kwa upande mkali, unaweza kuchukua hatua za kuzuia au kupunguza matukio mengi ya maumivu ya mgongo. Ikiwa kinga itashindikana, matibabu rahisi ya nyumbani na mbinu sahihi za mwili mara nyingi zitaponya mgongo wako ndani ya wiki chache na kuufanya ufanye kazi kwa muda mrefu. Upasuaji hauhitajiki sana kutibu maumivu ya mgongo Soma Zaidi...