picha

Dalili za saratani (cancer)

Posti hii inahusu zaidi dalili za kansa, ni dalili ambazo utokea kwa mtu Mwenye tatizo la ugonjwa wa Kansa ingawa sio lazima dalili hizi kutokea tukadhani kuwa ni Kansa Ila zilizonyingi huwa ni kweli dalili za kansa.

Dalili za kansa

1.Mabadiliko ya sauti na kikohozi

Mabadiliko ya sauti na kikohozi ni dalili mojawapo ya Kansa ya koo, pengine sauti ugoma kutoka ambayo uandamana na kikohozi Cha mara kwa mara na pengine chakula ushindwa kupitia kwenye Koo.

 

2.Matatizo ya kutopata choo kwa mda mrefu. Matatizo ya kutopata choo huwa ni mojawapo ya dalili za kansa ya utumbo mkubwa, au pengine choo huwa na damu hali ambayo upelekea choo,kuwa kigumu sana na pengine choo klainika kusiko kwa kawaida ambapo ni viashilia vya Kansa.

 

3.Mabadiliko kwenye haja ndogo.

Dalili mojawapo ya Kansa ya kibofu Cha mkojo ni pale ambapo mtu uanza kukojoa damu na pengine uchafu kutoka kwenye kibofu Cha mkojo ukiwa na rangi ya njano, hii ni mojawapo ya Kansa ya kibofu Cha mkojo.

 

4.Maumivu ya mda mrefu kwenye sehemu yoyote kwa mfano maumivu ya kichwa, miguu na sehemu nyingine nyingi ambapo hata ikitumiwa dawa maumivu hayo upoa na kwa mda fulani uanza tena kwa ujumla maumivu ambayo haya sikii dawa na dalili ya ugonjwa wa kwanza 

 

5.Mabadiliko ya uvimbe

Pengine Kuna uvimbe utokea na kupotea na huwa inauma au pengine hauumi, na baadae utokea sehemu mbalimbali kwa mtindo tofauti na kwa mda tofauti,hizi ni dalili za kansa.na ikitokea ukaguswa kwa kupasuliwa ndipo dalili uongezeka zaidi.

 

6.Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi na kutokwa damu kwa wale wanawake ambao walishamaliza kipindi Chao Cha hedhi, hii uonesha kuwa na dalili za kansa kwenye kizazi na pengine siku za hedhi ubadilika badilika kuliko kawaida.

 

7.Kupungua kwa uzito kupitia kiasi

Dalili nyingine ya Kansa ni kupungua uzito kuliko kawaida,hii utokea hasa wakati wa dalili za mwanzoni ambapo uzito wa mgonjwa unapungua hata kama abatumia chakula Cha Aina gani.

Dalili hizo ni za kansa lakini Kuna pangine mtu anaweza kupata dalili kama hizi lakini sio Kansa, Ila kwa uhakika zaidi tunapaswa kwenda hospitalini kuangalia afya zetu zaidi, kwa hiyo sio kila mwenye Dalili za hapo juu ana Kansa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/12/09/Thursday - 05:43:29 pm Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2815

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Dalili za minyoo ya tumbo

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za minyoo ya tumbo ambapo minyoo hawa husababishwa na mtu kula vyakula vichafu ambavyo havijaiva vizuri au maji machafu pia au bacteria.

Soma Zaidi...
Ujuwevmv ugonjwa Nimonia na dalili zake

Nimonia ni Hali ya kuvimba pafu inayoathiri hasa vifuko vya hewa viitwavyo Alveoli, husababishwa na Maambukizi ya virusi

Soma Zaidi...
Dalili za ukimwi, unavyoenezwa na njia za kujikinga

Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.unasababishwa na virusi ambavyo hutokea kwa mtu mwingine kwa njia mbalimbali

Soma Zaidi...
Je mtu akapima ukimwi na kile kipimo kidogo .je kina usahihi au la ..na pia kama inaonyesha mistari miwili.

Hivi umeshawahi kuwazakuwa jekipimo cha HIV ni sahihi kwa kiasi gani. Unadhani huwa kinakoseaga kutoa majibu?

Soma Zaidi...
Zijue dalili za maambukizi ndani ya sikio na madhara yake

Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu inayotumiwa kwa ajili ya kusikia, Kuna wakati mwingine hushambulia na bakteria na virusi

Soma Zaidi...
vidonda vya tumbo, dalili zake, chanzo chake na tiba yake

Makala hii itakwenda kukupa elimu juu ya vidonda vya tumbo, nini hasa chanzo chake, vipi vinatokea ni zipi dalili zake, ni zipi njia za kujilinda dhidi ya vidonda vya tumbo. Pia tutaangalia matibabu ya kutibi vidonda vya tumbo.

Soma Zaidi...
Dalili za minyoo mviringo (ascariasis)

Ascariasis ni aina ya maambukizi ya minyoo mviringo. Minyoo hii ni vimelea wanaotumia mwili wako kama mwenyeji kukomaa kutoka kwa mabuu au mayai hadi minyoo wakubwa. Minyoo ya watu wazima, ambayo huzaa, inaweza kuwa zaidi ya futi (sentimita 30) kwa

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo kitovuni na dalili zake

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo kitovuni na dalili zake

Soma Zaidi...
Dalili zinazoonyesha joto la kupungua mwilini (hypothermia)

joto la mwili wako linapungua, moyo wako, mfumo wa neva na viungo vingine haviwezi kufanya kazi kwa kawaida. Isipopotibiwa, Hypothermia hatimaye inaweza kusababisha moyo wako na mfumo wa upumuaji kushindwa kabisa na hata kifo.

Soma Zaidi...
Dalili za kwanza za HIV na UKIMWI kuanzia wiki ya kwanza toka kuathirika

DALILI ZA HIV ZA MWANZO NA DALILI ZA UKIMWI ZA MWANZO Kama ilivyo magonjwa mengi hupitia hatua kadha kadha na kuonyesha dalili kadha katika hatua hizo.

Soma Zaidi...