Dalili za saratani (cancer)

Posti hii inahusu zaidi dalili za kansa, ni dalili ambazo utokea kwa mtu Mwenye tatizo la ugonjwa wa Kansa ingawa sio lazima dalili hizi kutokea tukadhani kuwa ni Kansa Ila zilizonyingi huwa ni kweli dalili za kansa.

Dalili za kansa

1.Mabadiliko ya sauti na kikohozi

Mabadiliko ya sauti na kikohozi ni dalili mojawapo ya Kansa ya koo, pengine sauti ugoma kutoka ambayo uandamana na kikohozi Cha mara kwa mara na pengine chakula ushindwa kupitia kwenye Koo.

 

2.Matatizo ya kutopata choo kwa mda mrefu. Matatizo ya kutopata choo huwa ni mojawapo ya dalili za kansa ya utumbo mkubwa, au pengine choo huwa na damu hali ambayo upelekea choo,kuwa kigumu sana na pengine choo klainika kusiko kwa kawaida ambapo ni viashilia vya Kansa.

 

3.Mabadiliko kwenye haja ndogo.

Dalili mojawapo ya Kansa ya kibofu Cha mkojo ni pale ambapo mtu uanza kukojoa damu na pengine uchafu kutoka kwenye kibofu Cha mkojo ukiwa na rangi ya njano, hii ni mojawapo ya Kansa ya kibofu Cha mkojo.

 

4.Maumivu ya mda mrefu kwenye sehemu yoyote kwa mfano maumivu ya kichwa, miguu na sehemu nyingine nyingi ambapo hata ikitumiwa dawa maumivu hayo upoa na kwa mda fulani uanza tena kwa ujumla maumivu ambayo haya sikii dawa na dalili ya ugonjwa wa kwanza 

 

5.Mabadiliko ya uvimbe

Pengine Kuna uvimbe utokea na kupotea na huwa inauma au pengine hauumi, na baadae utokea sehemu mbalimbali kwa mtindo tofauti na kwa mda tofauti,hizi ni dalili za kansa.na ikitokea ukaguswa kwa kupasuliwa ndipo dalili uongezeka zaidi.

 

6.Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi na kutokwa damu kwa wale wanawake ambao walishamaliza kipindi Chao Cha hedhi, hii uonesha kuwa na dalili za kansa kwenye kizazi na pengine siku za hedhi ubadilika badilika kuliko kawaida.

 

7.Kupungua kwa uzito kupitia kiasi

Dalili nyingine ya Kansa ni kupungua uzito kuliko kawaida,hii utokea hasa wakati wa dalili za mwanzoni ambapo uzito wa mgonjwa unapungua hata kama abatumia chakula Cha Aina gani.

Dalili hizo ni za kansa lakini Kuna pangine mtu anaweza kupata dalili kama hizi lakini sio Kansa, Ila kwa uhakika zaidi tunapaswa kwenda hospitalini kuangalia afya zetu zaidi, kwa hiyo sio kila mwenye Dalili za hapo juu ana Kansa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2271

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Njia za kupunguza ugonjwa wa zinaa

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika Ili kuweza kupunguza kuwepo kwa magonjwa ya zinaa

Soma Zaidi...
Sababu za Ugonjwa wa pumu

Pumu ni ugonjwa wa njia ya upumuaji unaojulikana na kizuizi cha muda mrefu cha njia ya upumuaji. Inahusisha mfumo wa upumuaji unaobana njia ya hewa, Inaweza kuwa ya nje (hii hutokea kwa vijana kutokana na mizio) au ya ndani (hutokea kwa wazee)

Soma Zaidi...
Matatizo yanayosababisha saratani ya mapafu

Posti hii inaonyesha matatizo yanayosababisha saratani ya mapafu .

Soma Zaidi...
Dalili na ishara za anemia ya minyoo

Posti hii inshusiana na dalili za anemia ya minyoo

Soma Zaidi...
Mate yanaweza kuambukiza ukimwi

Jibu ni hapana, matehayawezi kuambukiza HIV. Lakini swali unalotakiwa kulijibu je ni kwa nini mate hayaambukizi. Makala hii itakwend akukupa majibu haya

Soma Zaidi...
Ujuwe mlo sahihi kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo

Post hii itakwenda kuangalia mlo sahihi wa mwenye vidonda vya tumbo. Hata utajifunza ni vyakula vipi hapaswi kula na vipi ana paswa kula.

Soma Zaidi...
Namna ya kugundua mtu mwenye kaswende.

Post hii inahusu zaidi njia za kumgundua mgonjwa wa kaswende, njia hizi utumika baada ya kuongea na mgonjwa kuhusu maisha yake hasa kujamiiana na watu mbalimbali.

Soma Zaidi...
Maambukizi ya H.pylori (Vidonda vya tumbo)

Maambukizi ya H. pylori hutokea wakati aina ya bakteria inayoitwa Helicobacter pylori (H. pylori) inapoambukiza tumbo lako. Hii kawaida hutokea wakati wa utoto. Sababu ya kawaida ya Vidonda vya tumbo, maambukizi ya H. pylori yanaweza kuwa katika za

Soma Zaidi...
Dalili za moyo kushindwa kufanya kazi (heart failure)

post inaonyesha dalili mbalimbali za Kushindwa kwa moyo, wakati mwingine hujulikana kama kutofaulu kwa moyo, hutokea wakati misuli ya moyo wako haisukuma damu kama inavyopaswa. Hali fulani, kama vile ateri nyembamba katika moyo wako (Ugonjwa wa ateri y

Soma Zaidi...