Huduma kwa wenye Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo

Huduma kwa wenye Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia Watu wale ambao wana Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Huduma kwa wagonjwa wenye Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.

1.Kwanza kabisa Watu hawa huwa wanaharisha na kutapika kwa hiyo kitu cha kwanza ni kuhakikisha kurudisha maji yaliyopotea ili kuepuka hali ya kuishiwa maji mwilini.

 

2.Tunajua kuwa kutokana na Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo mgonjwa anakuwa na maumivu kwa hiyo tunapaswa kumpatia mgonjwa dawa za kutuliza maumivu kama vile panadol, Asprin na dawa nyingine zinazofaa kwa kupunguza gharama.

 

3.Pia Mgonjwa anapaswa kupewa antibiotics ambazo usaidia kuzuia maambukizi, antibiotics hizo ni kama vile metronidazole ambazo ni nzuri sana katika kuzuia kuharisha kwa hiyo tunawapatia dawa hizo ili kuweza kuzuia maambukizi kama yapo.

 

4.Na pia tunapaswa kuangalia kiasi cha maji yanayoingia na kiasi cha maji yanayotoka ili kuweza kuepuka kupoteza kiasi cha maji kwenye mwili kwa kufanya hivyo tutaweza kugundua kama maji yapo ya kutosha au yamepungua.

 

5.Tunapaswa pia kuangalia vipimo vya mwili kama vile mapigo ya moyo, upumuaji, msukumo wa damu na upumuaji  pia tunapaswa kuangalia kiwango cha joto la mwili kama limepanda au limeshuka na kuweza kuliweka sawa.

 

6.Tumapaswa kujua kuwa maambukizi ya kwenye tumbo na utumbo mdogo kunakuwepo na sababu kwa hiyo tunapaswa kujua chanzo na kuweza kutibu pia tutaweza kuzuia ili kuepuka na matatizo ya Maambukizi kwenye utumbo na utumbo mdogo.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1147

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili?
Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili?

Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili? Hili ni swali lililoulizwa kuhusu vidonda vya tumbo, kuwa vinakaa wapi katika mwili.

Soma Zaidi...
Je unazijuwa dalili za Ukimwi na HIV?
Je unazijuwa dalili za Ukimwi na HIV?

Huwenda ukawa ni moja kati ya watu wanaotaka kujuwa juu ya dalili za ukimwi. Kama wewe ni katika watu hawa tambuwa kuwa kuna dalili za VVU (hiv) na dalili za ukimwi. Makala hii itakwenda kukuletea dalili kuu za mwanzo za VVU na HIV kuanzia wiki tatu za mw

Soma Zaidi...
Dalili za saratani ya mapafu
Dalili za saratani ya mapafu

Saratani ya Mapafu ni aina ya Kansa inayoanzia kwenye mapafu. Mapafu yako ni viungo viwili vya sponji kwenye kifua chako ambavyo huchukua oksijeni unapovuta na kutoa kaboni dioksidi unapotoa nje.

Soma Zaidi...
  Matatizo ya mapigo ya moyo
Matatizo ya mapigo ya moyo

posti hii inazungumzia kuhusiana na matatizo ya mapigo ya moyo.Mapigo ya moyo ni hisia za kuwa na moyo wa haraka, unaodunda. Mapigo ya moyo yanaweza kuchochewa na mafadhaiko, mazoezi, dawa au, mara chache, hali ya kiafya. Ingawa mapigo ya moyo yanaweza k

Soma Zaidi...
Matatizo yanayosababisha mshtuko wa moyo.
Matatizo yanayosababisha mshtuko wa moyo.

Mshtuko wa moyo hutokea wakati mtiririko wa damu kwa moyo umezuiwa, mara nyingi kwa mkusanyiko wa mafuta, cholesterol na vitu vingine, ambayo huunda plaque katika mishipa inayolisha moyo (mishipa ya moyo). Mtiririko wa damu ulioingiliwa unaweza kuharibu

Soma Zaidi...
Fangasi mdomoni ni dalili ya minyoo aina gani
Fangasi mdomoni ni dalili ya minyoo aina gani

Zipo aina nyingi za fantasy ambazo ni rahisi kuathiri binadamu. Wipe ambao haiathiri mdomo, nyayo, shemu za siri na kwenye ngozi.

Soma Zaidi...
Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces
Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.

Soma Zaidi...
Dalili za uvumilivu wa pombe
Dalili za uvumilivu wa pombe

Uvumilivu wa pombe unaweza kusababisha athari za haraka, zisizofurahi baada ya kunywa pombe. Ishara na dalili za kawaida za kutovumilia kwa pombe ni pua iliyojaa na Kuvuta ngozi. Uvumilivu wa pombe husababishwa na hali ya maumbile ambayo mwili hauwezi k

Soma Zaidi...
Sababu na dalili za ugonjwa wa Njia ya mkojo.
Sababu na dalili za ugonjwa wa Njia ya mkojo.

Ujue ugonjwa wa Njia ya mkojo unaoitwa urethra stricture. Ambapo kwenye hii posti inaonyesha dalili na Sababu zinazopelekea Njia ya mkojo kuwa ngumu,nyembamba,na kovu.

Soma Zaidi...