Menu



Dalili za minyoo ya tumbo

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za minyoo ya tumbo ambapo minyoo hawa husababishwa na mtu kula vyakula vichafu ambavyo havijaiva vizuri au maji machafu pia au bacteria.

   Zifuatazo Ni dalili na ishara za minyoo ya tumbo

1.kula sana; baadhi ya watu wakiwa na minyoo huwa wanakula Sana kuliko hapo awali hivyo watu wwngine huwa na hamu ya kula.

 

2.kukosa hamu ya kula kabisa; baadhi ya watu wakipata minyoo ya tumbo hukosa hamu ya kula kabisa.

 

3.kutoa kinyesi chenye Damu pamoja na makamasi; wenye minyoo ya tumbo huona dalili za damu na makasi kwenye kinyesi chake .

 

4.tumbo kuchomachoma; hii pia Ni dalili ya minyoo ya tumbo ambapo mtu mwenye minyoo atasikia tumbo linachomachoma  na hupelekea maumivu makali sana.

 

5.kichefuchefu;  minyoo ya tumbo huleta kichefuchefu

 

6.kutapika; pia na hii Ni dalili Ila mda mwingine unaweza usitapike ukapata kichefuchefu.

 

Minyoo husababishwa na vitu vingi mfano kula nyama ambazo hazijaiva vizuri, maziwa ambayo hayajachemshwa vizuri,maji machafu ambayo hayajachemshwa, mboga mboga na vitu vingine vingi hupelekea minyoo .

     Mwisho; minyoo Ni za Hatari Kama zisipopatiwa matibabu pia Kuna dawa za minyoo ambazo Ni vyema Kila baada ya miezi mitatu kutumia.

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 1980


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Dalili za UKIMWI huonekana baada ya muda gani
Hapa utajifunza muda mabao dalili za VVU na UKIMWI huonekana, na kwa muda gani mgonjwa ataishi na UKIMWI bila ya kutumia ARV Soma Zaidi...

Dalili za uti kwa wanaume na wanawake
tambuwa chanzo na dalili za UTI na tiba yake, pamoja na njia za kupambana na UTI Soma Zaidi...

Dalili na Ishara za mawe kwenye figo
Mawe kwenye figo yana sababu nyingi na yanaweza kuathiri sehemu yoyote ya njia yako ya mkojo kutoka kwa figo hadi kibofu chako. Soma Zaidi...

Dalili za ngozi kuwasha.
Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa kuhusiana na dalili za ngozi kuwashwa. Soma Zaidi...

kupungua kwa kas kwa mwili na shingo kupungua unene na meno kutoboka ni dalili za HIV
Soma Zaidi...

Dalili na ishara za kuvimba kope.
Posti hii inaonyesha Dalili na ishara za kuvimba kope ambayo kitaalamu hujulikana Kama blepharitis. Soma Zaidi...

Baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha Soma Zaidi...

Namna ya kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni njia ambazo mtu anaweza kutumia Ili kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.zifuatazo ni njia zinazoweza kutumika kama mtu amepata uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo. Soma Zaidi...

Tahadhari za ugonjwa wa UTI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu tahadhari za kuchukua ili kujikinga na UTI Soma Zaidi...

dalili za mwanzo za ukimwi kwa mwanamke
Katika makala hii utakwenda kuzijuwa baadhi ya dalili za ukimwi ama HIV kwa mwanamke Soma Zaidi...