Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za minyoo ya tumbo ambapo minyoo hawa husababishwa na mtu kula vyakula vichafu ambavyo havijaiva vizuri au maji machafu pia au bacteria.
Zifuatazo Ni dalili na ishara za minyoo ya tumbo
1.kula sana; baadhi ya watu wakiwa na minyoo huwa wanakula Sana kuliko hapo awali hivyo watu wwngine huwa na hamu ya kula.
2.kukosa hamu ya kula kabisa; baadhi ya watu wakipata minyoo ya tumbo hukosa hamu ya kula kabisa.
3.kutoa kinyesi chenye Damu pamoja na makamasi; wenye minyoo ya tumbo huona dalili za damu na makasi kwenye kinyesi chake .
4.tumbo kuchomachoma; hii pia Ni dalili ya minyoo ya tumbo ambapo mtu mwenye minyoo atasikia tumbo linachomachoma na hupelekea maumivu makali sana.
5.kichefuchefu; minyoo ya tumbo huleta kichefuchefu
6.kutapika; pia na hii Ni dalili Ila mda mwingine unaweza usitapike ukapata kichefuchefu.
Minyoo husababishwa na vitu vingi mfano kula nyama ambazo hazijaiva vizuri, maziwa ambayo hayajachemshwa vizuri,maji machafu ambayo hayajachemshwa, mboga mboga na vitu vingine vingi hupelekea minyoo .
Mwisho; minyoo Ni za Hatari Kama zisipopatiwa matibabu pia Kuna dawa za minyoo ambazo Ni vyema Kila baada ya miezi mitatu kutumia.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO Sababu za kawaida za vidonda vya tumbo ni maambukizo na bakteria Helicobacter pylori (H.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha
Soma Zaidi...Makala hii itazungumzia dalili za Malaria, athari za kuchelewa kutibu malaria, na matibabu ya malaria
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa vericose veini, hili ni tatizo ambalo utokea katika mzunguko wa damu hasa kwenye miguu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, hizi ni njia ambazo zinapaswa kufuatwa ili kutokomeza kabisa maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunz akuhusu vidonda vya tumbo na jinsi vinavyotokea. Utajifunza pia tahadhari anazopasa mtu achukuwe na vyakula salama anavyopaswa kula.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za maambukizi ya sikio kwa watoto.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake
Soma Zaidi...Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi hukua kutoka kwenye tishu laini za misuli ya uterasi. Fibroids nyingi ambazo zimekuwepo wakati wa ujauzito hupungua au kutoweka baada ya ujauzito, kwani uterasi inarudi kwenye ukubwa wa kawaida.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya makende kushindwa t, hiki ni tatizo na huleta madhara
Soma Zaidi...