Posti hii inahusu zaidi dalili za PID maana yake ni maambukizi kwenye pelvic kwa kitaalamu huitwa pelvic infection disease, ni ugonjwa unaoshambulia sana wanawake na wasichana
Dalili za PID
1.UTI za mara kwa mara
Unapokuwa na Maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo ya mara kwa mara ni dalili kubwa ya kuwepo kwa maambukizi kwenye pelvis, kwa sababu maambukizi kwenye pelvis usambaa mpaka kwenye kibofu Cha mkojo na kusababisha madhara mbalimbali ambayo mtu akienda kupima atagundulika na UTI kumbe ni maambukizi kutika kwenye pelvis.
2.Maumivu chini ya kitovu
Maumivu makali chini ya kitovu ni dalili mojawapo ya kuwa na Maambukizi kwenye pelvis, hii utokea pale ambapo maambukizi kutoka kwenye pelvis I usambaa Hadi kwenye chini ya kitovu na kusababisha maumivu chini ya kitovu, kwa hiyo baada ya kusikia dalili kama hizo mgonjwa anapaswa kwenda hospitalini kwa matibabu zaidi.
3.Kutokwa na uchafu unaotoa harufu mbaya na kuwasha sehemu za Siri.hii ni mojawapo ya dalili za maambukizi kwenye pelvic ambapo bacteria ushambulia sehemu mbalimbali za via vya uzazi na kusababisha madhara ya kutokwa na harufu mbaya ukeni na pia kuwepo kwa miwasho sehemu za Siri hasa wakati wa kukojoa au kama Kuna majimaji yoyote yamegusa sehemu za Siri pale penye maambukizi.
4.Kuvurugika kwa hedhi na mfumo wa homoni.
Kwa sababu ya maambukizi kwenye pelvis I usababisha hedhi kuvurugika na homoni kubadilika hali hii usababishwa na Maambukizi ambayo uenea zaidi kwenye via vya uzazi na kuaribu sehemu mbalimbali ambazo zinahusikana na hedhi kwa hiyo mda mwingine damu utoka kwa mabonge mabonge au pengine kubadilika kabisa kwa sababu ya maambukizi.
5. Kutokwa na maji kwenye sehemu za Siri yenye rangi ya kijani na rangi ya njano, hali hii utokea kwa sababu ya maambukizi kusambaa kwenye sehemu za via vya uzazi na kusababisha maji ya rangi isiyo ya kawaida. Kwa hiyo tunapaswa kwenda hospitalini kupima na kutafuta dawa maana huu ugonjwa unatibika haspitalini.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi namna ya kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa, ni njia zitoleeazo na wakunga Ili kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza homoni za kiume kwa akina dada.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi msaada au namna ya kuwahudumia wale wasioona hedhi na wamefikiwa kwenye umri wa kuweza kuona hedhi.
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukuletea orodha ya vyakla vinavyoaminika kuongeza nguvu za kiume.
Soma Zaidi...Je umeshawahi kujiukiza kuwa, dawa ya P2 ni kweli inaweza kuzuia mimba, ukifanya mapenzi siku hatari?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake, haya ni magonjwa ambayo yanashambulia sana ovari ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Unaweza kutaka kujuwa je naweza kupata dalili za mimba baada ya siku nne toka ujauzito kutungwa? ama baada ya siku nne toka kushiriki tendo la ndoa. Makala hii itakwenda kujibu maswali haya na mengineyo.
Soma Zaidi...