DALILI ZA PID


image


Posti hii inahusu zaidi dalili za PID maana yake ni maambukizi kwenye pelvic kwa kitaalamu huitwa pelvic infection disease, ni ugonjwa unaoshambulia sana wanawake na wasichana


Dalili za PID

1.UTI za mara kwa mara

Unapokuwa na  Maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo ya mara kwa mara ni dalili kubwa ya kuwepo kwa maambukizi kwenye pelvis, kwa sababu maambukizi kwenye pelvis usambaa mpaka kwenye kibofu Cha mkojo na kusababisha madhara mbalimbali ambayo mtu akienda kupima atagundulika na UTI kumbe ni maambukizi kutika kwenye pelvis.

 

2.Maumivu chini ya kitovu

Maumivu makali chini ya kitovu ni dalili mojawapo ya kuwa na Maambukizi kwenye pelvis, hii utokea pale ambapo maambukizi kutoka kwenye pelvis I usambaa Hadi kwenye chini ya kitovu na kusababisha maumivu chini ya kitovu, kwa hiyo baada ya kusikia dalili kama hizo mgonjwa anapaswa kwenda hospitalini kwa matibabu zaidi.

 

3.Kutokwa na uchafu unaotoa harufu mbaya na kuwasha sehemu za Siri.hii ni mojawapo ya dalili za maambukizi kwenye pelvic ambapo bacteria ushambulia sehemu mbalimbali za via vya uzazi na kusababisha madhara ya kutokwa na harufu mbaya ukeni na pia kuwepo kwa  miwasho sehemu za Siri hasa wakati wa kukojoa au kama Kuna majimaji yoyote yamegusa sehemu za Siri pale penye maambukizi.

 

4.Kuvurugika kwa hedhi na mfumo wa homoni.

Kwa sababu ya maambukizi kwenye pelvis I usababisha hedhi kuvurugika na homoni kubadilika hali hii usababishwa na Maambukizi ambayo uenea zaidi kwenye via vya uzazi na kuaribu sehemu mbalimbali ambazo zinahusikana na hedhi kwa hiyo mda mwingine damu utoka kwa mabonge mabonge au pengine kubadilika kabisa kwa sababu ya maambukizi.

 

5. Kutokwa na maji kwenye sehemu za Siri yenye rangi ya kijani na rangi ya njano, hali hii utokea kwa sababu ya maambukizi kusambaa kwenye sehemu za via vya uzazi na kusababisha maji ya rangi isiyo ya kawaida. Kwa hiyo tunapaswa kwenda hospitalini kupima na kutafuta dawa maana huu ugonjwa unatibika haspitalini.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    2 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    3 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    4 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    5 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    6 Mafunzo ya php    





Je una umaswali, maoni ama mapendekezo?
Download App yetu kuwasiliana nasi




Post Nyingine


image Kazi ya Piriton
Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate. Soma Zaidi...

image Kazi za homoni katika Mzunguko hedhi.
Post hii inahusu zaidi kazi za homoni katika Mzunguko wa hedhi, katika kipindi hiki kuna homoni mbalimbali ambazo ufanya kazi kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

image Dalili za fangasi wa kucha.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili,sababu za Hatari,na namna ya kujizuia na fangasi wa kucha. Soma Zaidi...

image Mem mtoto ang almeza sumu yapanya ila tulimpa maziwa kwan inaweza leta madhara kwabaadae mana atukumpeleka hosptal
Maziwa ni mojakati ya vinywaji ambavyo ni dawa na hutumikakutoa huduma ya kwanza pale mtu anapomeza ama kula sumu. Huduma ya kwanza hii inaweza kuokoa maisha na wakati mwingine inaweza kuwa ndio dawa kabisa wala hakuna haja ya kufika Kituo cha afya. Soma Zaidi...

image Dalili na ishara za shambulio la moyo
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili na ishara za shambulio la moyo. Shambulio la moyo huzuia damu yenye oksijeni kufika kwenye moyo hivyo hupelekea tishu kufa. Na Ugonjwa huu mtu akicheleweshewa matibabu huweza kupata mshtuko wa moyo mpaka kifo. Soma Zaidi...

image Sababu na dalili za ugonjwa wa Njia ya mkojo.
Ujue ugonjwa wa Njia ya mkojo unaoitwa urethra stricture. Ambapo kwenye hii posti inaonyesha dalili na Sababu zinazopelekea Njia ya mkojo kuwa ngumu,nyembamba,na kovu. Soma Zaidi...

image Zijue kazi za madini ya chuma mwilini
Posti hii inahusu zaidi kazi za madini ya chuma mwilini,Ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini na pia utokana na vyakula mbalimbali ambavyo upatikana kwenye wanyama na mimea. Zifuatazo ni kazi za madini ya chuma. Soma Zaidi...

image Dalili za Mgonjwa wa kisukari
Post hii inahusu dalili za mtu Mwenye ugonjwa wa kisukari, dalili hizi zinaweza kujitokeza Moja kwa Moja mtu akagundua kuwa ana Ugonjwa wa kisukari.zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa kisukari. Soma Zaidi...

image Faida za kusafisha vidonda.
Posti hii inahusu zaidi faida za kusafisha vidonda, ni faida ambazo Mgonjwa mwenye vidonge uzipata kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Maji ya Amniotic
Posti hii inahusu zaidi maji ya Amniotic ni maji ambayo uzunguka mtoto na kufanya kazi mbalimbali kama ifuayavyo. Soma Zaidi...