Posti hii inahusu zaidi dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kupungukiwadamu, ni dalili zinazoonekana kwa mtu Mwenye tatizo la upungufu wa damu.
Dalili za mtu mwenye upungufu wa damu
1. Kizunguzungu hutokea kwa sababu ya kukosa damu mwilini na hivyo nguvu nyingi umwishia mtu na kuanzia kuhisi kizunguzungu.
2. Rangi ya ngozi kubadilika na kuwa ya njano,hii usababishwa na kutokuwepo na damu ya kutosha mwilini hivyo rangi ubadilika hasa rangi ya ngozi na macho.
3. Maumivu ya kichwa na viungo vyote kwa ujumla.mgonjwa wa upungufu wa damu mwilini huisi maumivu makali kwenye mifupa,kichwa na mwili kwa ujumla hii ni kwa sababu ya maambukizi kwenye mifupa na sehemu nyingine za mwili.
4 mkojo kuwa mweusi, hii ni dalili ya mtu mwenye upungufu wa damu mkojo wake huwa mweusi kwa sababu ya kukosa damu kwenye sehemu ya kuchujia mkojo na hivyo mkojo uchunjwa kwa hali isiyo ya kawaida na upelekea kuwa mweusi.
5. Kupumua kwa shida, kwa sababu kiwango Cha damu mwilini ni kidogo sana kwa hiyo moyo utumia nguvu sana kusukuma damu na mgonjwa uanza kupumua kusikilizwa kwa kawaida na hali yake ikiendelea inaweza kuwa mbaya zaidi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Maumivu ya tumbo upande wa kushoti, kwa mwanamke huwenda ikawa ni ujauzito ama shida nyingine za kiafya kama tumbo kujaa gesi, kukosa choo na kadhalika. Sasa vipi kwa wanaume ni ipi hasa sababuรขยโ
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu tahadhari za kuchukua ili kujikinga na UTI
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili zinazoweza kujitokeza baada ya sehemu ya kupeleka taarifa kwenye ubongo imearibika, kwa hiyo mambo yafuatayo yakijitokeza utajua wazi kuwa kuna matatizo kwenye mfumo wa kupeleka taarifa kwenye ubongo.
Soma Zaidi...Maambukizi ya Norovirus yanaweza kusababisha kutapika sana naรย Kuhara. Virusi huambukiza sana na kwa kawaida huenea kupitia chakula au maji ambayo yamechafuliwa na kinyesi wakati wa kutayarisha. Unaweza pia kuambukizwa kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya viungo vinavyoathiriwa na ugonjwa wa malaria
Soma Zaidi...Kuna ukimwi na HIV na kila kimoja kina dalili zake na muda wa kuonyesha hizo dalili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu magonjwa ya zinaa, ni magonjwa yanayosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kujamiiana pasipo kutumia kinga au kwa lugha nyingine tunaita ngono zembe.
Soma Zaidi...Hepatitis A ni ugonjwa wa kuambukiza wa ini unaosababishwa na virusi vya Hepatitis A. Virusi ni mojawapo ya aina kadhaa za virusi vya Hepatitis vinavyosababisha kuvimba na kuathiri uwezo wa ini wako kufanya kazi.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dadili na sababu zinazopelekea Ugonjwa wa ulemavu wa ubongo na mfumo wa fahamu ambao kitaalamu hujulikana Kama multiple sclerosis.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo na sababu zake
Soma Zaidi...