Posti hii inahusu zaidi dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kupungukiwadamu, ni dalili zinazoonekana kwa mtu Mwenye tatizo la upungufu wa damu.
Dalili za mtu mwenye upungufu wa damu
1. Kizunguzungu hutokea kwa sababu ya kukosa damu mwilini na hivyo nguvu nyingi umwishia mtu na kuanzia kuhisi kizunguzungu.
2. Rangi ya ngozi kubadilika na kuwa ya njano,hii usababishwa na kutokuwepo na damu ya kutosha mwilini hivyo rangi ubadilika hasa rangi ya ngozi na macho.
3. Maumivu ya kichwa na viungo vyote kwa ujumla.mgonjwa wa upungufu wa damu mwilini huisi maumivu makali kwenye mifupa,kichwa na mwili kwa ujumla hii ni kwa sababu ya maambukizi kwenye mifupa na sehemu nyingine za mwili.
4 mkojo kuwa mweusi, hii ni dalili ya mtu mwenye upungufu wa damu mkojo wake huwa mweusi kwa sababu ya kukosa damu kwenye sehemu ya kuchujia mkojo na hivyo mkojo uchunjwa kwa hali isiyo ya kawaida na upelekea kuwa mweusi.
5. Kupumua kwa shida, kwa sababu kiwango Cha damu mwilini ni kidogo sana kwa hiyo moyo utumia nguvu sana kusukuma damu na mgonjwa uanza kupumua kusikilizwa kwa kawaida na hali yake ikiendelea inaweza kuwa mbaya zaidi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika post hii nitakwenda kukujuza kuhusu ugonjwa wa bawasiri
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kaswende wakati wa ujauzito, kaswende inaweza kukaa kwa mtu zaidi ya miaka mingi bila kuleta madhara ya moja kwa moja lakini kadiri ya siku zinavyokwenda madhara utokea hasa wakati wa ujauzito, madhara hayo umwadhiri mtot
Soma Zaidi...Je, mtu mwenye dalili zifuatazo Kama, Mapigo ya moyo kwenda mbio, mwili kuchoka,kichefuchefu, kizungungu, joto kiasi.
Soma Zaidi...ATHARI ZA KUTOKUTIBU MINYOO Kukaa na minyoo na kutoitibu kwa muda mrefu kunaweza kusababisha madhara mengi hususani kwenye ini na maeneo mengine ya mfumo wa kumengβenya chakula.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza namna mbalimbali za kujikinga na VVU/UKIMWI
Soma Zaidi...Ukistaajabu ya Musa utastaajabu ya Firauni. Haya ni maneno ya wahenga. Sasa hebu njoo u staajabu ya damu
Soma Zaidi...Tezi dume ambayo haijashuka si ya kawaida kwa ujumla, lakini ni ya kawaida kwa wavulana waliozaliwa kabla ya wakati.na muda mwingine zikipanda tumboni huwa hazishuki kabisa kwenye korodani.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na maumivu ya shingo na ndani yake kunasababu zinazopelekea shingo kupata maumivu.
Soma Zaidi...