Posti hii inahusu zaidi dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kupungukiwadamu, ni dalili zinazoonekana kwa mtu Mwenye tatizo la upungufu wa damu.
Dalili za mtu mwenye upungufu wa damu
1. Kizunguzungu hutokea kwa sababu ya kukosa damu mwilini na hivyo nguvu nyingi umwishia mtu na kuanzia kuhisi kizunguzungu.
2. Rangi ya ngozi kubadilika na kuwa ya njano,hii usababishwa na kutokuwepo na damu ya kutosha mwilini hivyo rangi ubadilika hasa rangi ya ngozi na macho.
3. Maumivu ya kichwa na viungo vyote kwa ujumla.mgonjwa wa upungufu wa damu mwilini huisi maumivu makali kwenye mifupa,kichwa na mwili kwa ujumla hii ni kwa sababu ya maambukizi kwenye mifupa na sehemu nyingine za mwili.
4 mkojo kuwa mweusi, hii ni dalili ya mtu mwenye upungufu wa damu mkojo wake huwa mweusi kwa sababu ya kukosa damu kwenye sehemu ya kuchujia mkojo na hivyo mkojo uchunjwa kwa hali isiyo ya kawaida na upelekea kuwa mweusi.
5. Kupumua kwa shida, kwa sababu kiwango Cha damu mwilini ni kidogo sana kwa hiyo moyo utumia nguvu sana kusukuma damu na mgonjwa uanza kupumua kusikilizwa kwa kawaida na hali yake ikiendelea inaweza kuwa mbaya zaidi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia Ugonjwa wa kaswende, tunajua wazi kuwa Ugonjwa huu unasambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kufanya ngono zembe na njia nyingine kwa hiyo tunaweza kuzuia kusambaa na kuenea kwa ugonjwa huu kwa n
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa uchovu sugu ni ugonjwa tata unaoonyeshwa na uchovu mwingi ambao hauwezi kuelezewa na hali yoyote ya matibabu. Uchovu unaweza kuwa mbaya zaidi kwa shughuli za kimwili au kiakili, lakini haiboresha kwa kupumzika
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya ugonjwa wa vericose veini, ni visababishi mbalimbali ambavyo utokea kwenye mtindo wa maisha kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...VYNZO VYA MINYOO Kama tulivyoona hapo mwanzo kuusu aina za minyoo, pia tumeona vyanzo vya minyoo hao kulingana na aina zao.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na saratani za tishu ambazo kitaalamu hujulikana Kama Leukemia kawaida huhusisha seli nyeupe za damu. Seli zako nyeupe za damu ni wapiganaji hodari wa maambukizo - kwa kawaida hukua na kugawanyika kwa utaratibu, kadri mwi
Soma Zaidi...Saratani ya kwenye Njia ya haja kubwa ni aina isiyo ya kawaida ambayo kitaalamu hujulikana Kama saratani ya mkundu.Mfereji wa mkundu ni mirija fupi iliyo mwisho wa puru yako ambayo kinyesi hutoka mwilini mwako. Saratani ya kwenye Njia ya ha
Soma Zaidi...Mawe ya kibofu ni mkusanyiko mgumu wa madini kwenye kibofu chako. Mawe kwenye kibofu hukua wakati mkojo kwenye kibofu chako unapokolea, na kusababisha madini katika mkojo wako kung'aa.
Soma Zaidi...Kipindupindu ni ugonjwa wa bakteria ambao kawaida huenezwa kupitia maji machafu. Kipindupindu husababisha Kuhara na Upungufu wa maji mwilini.
Soma Zaidi...Zipo aina nyingi za fantasy ambazo ni rahisi kuathiri binadamu. Wipe ambao haiathiri mdomo, nyayo, shemu za siri na kwenye ngozi.
Soma Zaidi...