picha

Maumivu, kizunguzungu, kichefuchefu na kutoka na damu ni dalili zamimba?

Je unapata dalili zisizoeleweka ni ni za mimba ama laa. Hapa nitakujuza hali baadhi ya wanawake zinazowatokea.

Swali

Sorry nilikuwa nauliza swali kutokana na mada niliyoisoma kuhusiana na dalili za mimba.....huwa na kawaida ya kwenda siku tano katk hedhi yangu ila safari hii nimeingia nne na siku ya tano nikakutana na mme wangu ila chakushangaza baada kama masaa matatu kupita baada ya tendo ikatoka damu kidogo ambayo imenishtua na kwa sasa inafika wiki ya pili hii na nnahic kichefu chefu kizunguzungu...maumivu ya kichwa na tumbo baadhi ya siku....pia leo umetoka uchafu mweupe kidogo ukeni hali ambayo imenishtua kwa kiasi flani......hivyo kutokana na hali hiyo inaweza ikawa ni mimba au ni maradhi mengine tu??

 

Jibu: 

✏️ fika kituo cha afyavupime ujauzito huwenda umebeba

✏️ huwenda una PID hivyo pata vipimobhospitali kuthibitisha

✏️Inaweza pia kuna ukavu wa ukenivukawa ndio sababu ya damu 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2735

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Madhara ya ugonjwa wa ukimwi kwenye jamii.

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa Ugonjwa huu wa ukimwi ukishasmbaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kuleta madhara makubwa kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
KAMA UNASUMBULIWA NA FANGASI

Post hii fupi inakwenda kukujuza juu ya tatizo la fangasi na nini ufanye.

Soma Zaidi...
Madhara ya kutotibu ngiri.

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea pale ambapo Ugonjwa wa ngiri unaposhindwa kutibiwa mapema.

Soma Zaidi...
Masharti ya vidonda vya tumbo

Haya ni masharti ya mwenye vidonda vya tumbo. Mgojwa wa vidonda vya hatumbo hatakiwi kufanya yafuatayo

Soma Zaidi...
Je vvu inaweza sababisha mate kujaa mdomoni

Je kujaa kwa mate mdomoni ni dalili ya kuwa na VVU, na je ni zipi dalili za Virusi Vya Ukimwi (VVU) mdomoni?

Soma Zaidi...
Dalili za tetekuwanga

Tetekuwanga (varisela) ni maambukizi ya virusi ambayo husababisha kuwasha, upele kama vile malengelenge. Tetekuwanga huambukiza sana watu ambao hawajapata ugonjwa huo wala kupewa chanjo dhidi yake. Kabla ya chanjo ya kawaida ya tetekuwanga, karibu watu

Soma Zaidi...