Je unapata dalili zisizoeleweka ni ni za mimba ama laa. Hapa nitakujuza hali baadhi ya wanawake zinazowatokea.
Swali
Sorry nilikuwa nauliza swali kutokana na mada niliyoisoma kuhusiana na dalili za mimba.....huwa na kawaida ya kwenda siku tano katk hedhi yangu ila safari hii nimeingia nne na siku ya tano nikakutana na mme wangu ila chakushangaza baada kama masaa matatu kupita baada ya tendo ikatoka damu kidogo ambayo imenishtua na kwa sasa inafika wiki ya pili hii na nnahic kichefu chefu kizunguzungu...maumivu ya kichwa na tumbo baadhi ya siku....pia leo umetoka uchafu mweupe kidogo ukeni hali ambayo imenishtua kwa kiasi flani......hivyo kutokana na hali hiyo inaweza ikawa ni mimba au ni maradhi mengine tu??
Jibu:
âœï¸ fika kituo cha afyavupime ujauzito huwenda umebeba
âœï¸ huwenda una PID hivyo pata vipimobhospitali kuthibitisha
âœï¸Inaweza pia kuna ukavu wa ukenivukawa ndio sababu ya damu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Zijuwe sababu za kutokea kwa vidonda vya tumbo. Sababu kuu za vidonda vya tumbo hizi hapa
Soma Zaidi...Anataka kujuwa dalili za awali za kujuwa kuwa umeathirika na UKIMWI
Soma Zaidi...Huu ni ugonjwa wa fangasi wanaosababishwa na mashambulizi ya fangani aia ya yeast waitwao candida.
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kuangalia mlo sahihi wa mwenye vidonda vya tumbo. Hata utajifunza ni vyakula vipi hapaswi kula na vipi ana paswa kula.
Soma Zaidi...posti inaonyesha dalili mbalimbali za Saratani ya ini. Saratani ya ini ni Saratani inayoanzia kwenye seli za ini lako. Ini lako ni kiungo cha ukubwa wa mpira wa miguu ambacho kinakaa sehemu ya juu ya kulia ya tumbo lako, chini ya diaphr
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa matibabu kwenye nyonga na kiuno hayatafanyika.
Soma Zaidi...Karibia fangasi wote hawa wanatibika bila ya ugumu wowote maka mgonjwa atakamilisha dozi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vipimo mbalimbali vinavyotumika kupima VVU
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia upele, ni njia ambazo utumiwa Ili kupunguza tatizo la upele kwenye jamii, kwa hiyo jamii inapaswa kutumia njia hizi Ili kuweza kupambana na ugonjwa huu ambao unatibika.
Soma Zaidi...