Posti hii inahusu zaidi sababu za kufanya figo kuharibika.hili ni janga ambalo linawakumba Watu wengi siku hizi na kusababisha kupoteza maisha kwa wagonjwa wa figo hasa hasa kwa wale ambao hawana uwezo wa kulipia hela ya kusafishia figo.
Sababu za kuharibika kwa figo.
1. Kuchelewa kwenda haja.
Mtu anapohisi mkojo na akautunza bakteria uanza kuhama kutoka kwenye kibofu cha mkojo na kuanza mashambulizi kwenye figo kwa hiyo pindi tusikiapo mkojo nenda ukakojoe.
2.Kula chumvi kupita kiasi.
Pia hili nalo ni tatizo ambalo Usababisha kuharibika kwa figo kwa kawaida kila siku Tunapaswa kula chumvi kiasi cha gramu tano na pointi nane na zikizidi tunaweza kupata matatizo ya figo kwa hiyo ni vizuri kupunguza kiasi cha chumvi kwenye chakula.
3.Kula nyama kupita kiasi .
Kuna Watu wenye tabia ya kula nyama kupita kiasi na kuongeza kiasi kikubwa cha protini kwenye mwili ambacho uharibu figo kwa hiyo tunapaswa kula nyama kwa kiasi kidogo sio kila siku nyama hasa nyama nyekundu.
4.Unywaji wa kupita kiasi kwa vinywaji vyenye caffeine, kama vile soda na kahawa , kwa hiyo tunywe vinywaji hivi ila kwa kiasi kidogo sana hasa wale wenye umri wa magonjwa nyemelezi wanapaswa kupunguza sana.
5. Kutokunywa maji
Hili nalo ni tatizo ambalo Usababisha kuaribika kwa figo kwa sababu maji yanahitajika kwa kiasi kikubwa ili kuweza kusaidia kusafisha uchafu uliopo kwenye figo na uchafu ukiwa mwingi unasababisha kuaribika kwa figo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kuvimba kwa mishipa yako ya damu. Inasababisha mabadiliko katika kuta za mishipa ya damu, ikiwa ni pamoja na kuimarisha, kudhoofisha, kupungua na kupungua. Mabadiliko haya huzuia mtiririko wa damu, na kusababi
Soma Zaidi...Magonjwa ya kuambukiza ni maradhi yanayosababishwa na vijidudu kama vile bakteria, virusi, fangasi au vimelea. Viumbe vingi vinaishi ndani na kwenye miili yetu. Kwa kawaida hazina madhara au hata kusaidia, lakini chini ya hali fulani, baadhi ya viumbe
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa ambao husababisha kuvimba kwa mishipa ya damu katika mwili wako wote. Ambao kitaalamu hujulikana Kama Behcet .
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukupa majibu ya maswali mengi kuhusu VVU na UKIMWI. tutakwenda kuona kwa ufupi historian a chanzo cha VVU na UKIMWI. hatuwa za maambukizi ya VVU na ukimwi na dalili zake za kuonekana toka kupata maambukizi. Pia hapa utajifunza namna
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kupatikana ikiwa mwili unaweza kujaa sumu, kwa sababu mwili unapaswa kuwa huru Ili kuweza kufanya vizuri kazi yake ila ikiwa utajaa Sumu Kuna hatari mbalimbali zinaweza kutokea kama vile.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya ugonjwa wa vericose veini, ni visababishi mbalimbali ambavyo utokea kwenye mtindo wa maisha kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu matibabu ya vidonda vya tumbo sugu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata homa ya ini,kwa sababu ya hali zao mbalimbali wanaweza kupata ugonjwa huu.
Soma Zaidi...FIKRA POTOFY KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO Vidonda vya tumbo huja na maoni mengi potofu.
Soma Zaidi...Coma ni hali ya kupoteza fahamu kwa muda mrefu ambayo inaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali Jeraha la kichwa , Kiharusi, Tumor ya ubongo, ulevi wa dawa za kulevya au pombe, au hata ugonjwa wa msingi, kama vile Kisukari au maambukizi.
Soma Zaidi...