Ni muda gani nitaanza kuona dalili za HIV na kilimo kitaonyesha kuwa nimeathirika?
Swali:
👉je maambukizi ya virus vya ukimwi yataonekana kwenye kupimo baada ya siku ngap??
👉na unaweza usione dalili za awali kama mlivyoeleza katika hatua ya mwanzo afu ukapima ukakuta una maambukizi??
👉Na je unaweza ukapata maambukiz ya virus vya ukimwi kwa kudondokewa na dam ya muathirika katika kidole chako ingawa hauna jeraha kidolen???
Jibu:
âœï¸Virusi vya ukimwi inategenea na aina muya vipimo ulivyitumi. Ila angalau wiki tatu unaweza kupima na ukajuwa kama umeathirika ama laa. Hata hivyo utahitajika kuhakiki vipimo baada ya miezi mitatu.
âœï¸ Ndio inawezekana usione dalili za kwanza za HIV na uwe umeathirika. Si kaka aliyeathirika utaona Dalili hizi.
âœï¸ kama umedondokewa na hiyo damu hapo ka hapo na hunamichubuko. Huwezi pata maambukizi. Ila kama jambo linakutatiza fika kituo cha afya uoatiwe sawa za awali za tahadhari.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowSomo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na fangasi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna ya kumsaidia mgonjwa aliyepungukiwa na damu kwa sababu ya minyoo.
Soma Zaidi...NENO LA AWALI Hapa utaweza kujifunza mambo mengi kuhusu vidonda vyatumbo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye uume, maambukizi hata utokea kwenye kichwa Cha uume kwa kitaalamu huitwa Balanitis, zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa ugonjwa huu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia Watu wale ambao wana Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu ambaye ana tatizo kwenye mishipa ya retina,ni tatizo ambalo uwakumba wafu wengi wenye matatizo ya kisukari.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za maumivu ya jino
Soma Zaidi...Somk hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo mbalimbali yahusuyo HIV na UKIMWI
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi za ukeni kwa kawaida tunajua kubwa fangasi zikiingia kwenye uke usababisha madhara mbalimbali ambayo mengine yanaweza ya kudumu na mengine ya mda kama yametibiwa mapema.
Soma Zaidi...Zijuwe sababu za kuumwa nankichwa upande mmoja wa kichwa.
Soma Zaidi...