picha

je maambukizi ya virus vya ukimwi yataonekana kwenye kupimo baada ya siku ngap??

Ni muda gani nitaanza kuona dalili za HIV na kilimo kitaonyesha kuwa nimeathirika?

Swali: 

👉je maambukizi ya virus vya ukimwi yataonekana kwenye kupimo baada ya siku ngap??

 

👉na unaweza usione dalili za awali kama mlivyoeleza katika hatua ya mwanzo afu ukapima ukakuta una maambukizi?? 

 

👉Na je unaweza ukapata maambukiz ya virus vya ukimwi kwa kudondokewa na dam ya muathirika katika kidole chako ingawa hauna jeraha kidolen???

 

Jibu: 

✍️Virusi vya ukimwi inategenea na aina muya vipimo ulivyitumi. Ila angalau wiki tatu unaweza kupima na ukajuwa kama umeathirika ama laa. Hata hivyo utahitajika kuhakiki vipimo baada ya miezi mitatu.

 

✍️ Ndio inawezekana usione dalili za kwanza za HIV na uwe umeathirika. Si kaka aliyeathirika utaona Dalili hizi. 

 

✍️ kama umedondokewa na hiyo damu hapo ka hapo na hunamichubuko. Huwezi pata maambukizi. Ila kama jambo linakutatiza fika kituo cha afya uoatiwe sawa za awali za tahadhari. 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2852

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 web hosting     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Hatua tatu anazozipitia mgonjwa wa tauni

Posti hii inahusu zaidi njia au hatua tatu muhimu anazopitia Mgonjwa wa gauni, kuanzia kwa Maambukizi mpaka kwenye hatua ya mwisho hasa kama Ugonjwa huu haujatibiwa mapema.

Soma Zaidi...
Madhara ya fangasi.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi za ukeni kwa kawaida tunajua kubwa fangasi zikiingia kwenye uke usababisha madhara mbalimbali ambayo mengine yanaweza ya kudumu na mengine ya mda kama yametibiwa mapema.

Soma Zaidi...
Kichwa kinaniuma mbele sielewi nini

Zijuwe sababu za kuumwa nankichwa upande mmoja wa kichwa.

Soma Zaidi...
Madhara ya kutotibu uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu ugonjwa wa uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni madhara yanayotokea kwenye mfumo mzima wa kupitisha mkojo na via vya uzazi kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa coma

Coma ni hali ya kupoteza fahamu kwa muda mrefu ambayo inaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali Jeraha la Kichwa, Kiharusi, Uvimbe kwenye ubongo, ulevi wa dawa za kulevya au pombe, au hata ugonjwa wa msingi,

Soma Zaidi...