Dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.

Dalili za Mtu mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.

1. Kushindwa kukojoa kwa massa nane mpaka Kumi na mtu akiwa anakunywa  vinywaji vya kawaida.

 

Ukiona kuwa mtu anashindwa kukojoa kwa masaa nane mpaka Kumi na ukizingatia mtu anakuwa anakunywa vinywaji vya kawaida kama vile maji, juice, uji na mambo mengine yanayonyweka lakini mtu huyo hakojoi ndani ya maasaa nane mpaka Kumi anakuwa na shida kwenye kibofu Cha mkojo.

 

Kwa hiyo mtu huyo anapaswa kuwekewa kwenye uangalizi mkubwa Ili kuweza kuangalia shida Iko wapi na kumsaidia Ili aweze kutoa mkojo kwenye kibofu na kuendelea na maisha yake ya kama kawaida.na shida hii inaweza kutatuliwa kama kawaida.

 

2. Kuvimba kwa kibofu Cha mkojo mpaka hata ukimgusa mgonjwa sehemu ya chini ya tumbo unaweza kuhisi kibofu kama kimetuna.

 

Hali hii utokea pale ambapo mkojo mwingi huwa kwenye kibofu na uendelee kujikusanya ndani yake na hauwezi kutoka na baadae uendelea kujikusanya ndani ya kibofu Cha mkojo na hatimaye kibofu kuvimba na mtu akikigusa anaweza kusikia jinsi kulivyovimba na ukimgusa mgonjwa abatumia na kuhangaika sana kwa hiyo tunapaswa kuhakikisha kuwa mgonjwa anapona kabisa kwa kumpeleka mgonjwa hospitalini na kupata huduma muhimu inayostahili.

 

3. Magonjwa anakuwa na hamu ya kupitisha mkojo makini hawezi kufanya hivyo.

Hali hii utokea kwa mgonjwa pale anapokuwa na hamu ya kupitisha mkojo lakini hawezi kabisa na dalili zozote za kuwepo kwa mkojo kwenye kibofu zipo, hali hii utokea kwa sababu ya maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo ambapo mkojo unakosa sehemu ya kupitia kwa hiyo wakati mwingine mgonjwa huwa na maumivu makali, kwa hiyo tukiona kitendo Cha namna hii mgonjwa anapaswa kumpelekwa hospitalini kwa matibabu zaidi Ili aweze kuruhusu mkojo kupita  na kuendelea na maisha ya kila siku.

 

4.Mgonjwa anakuwa hatulii, anakuwa anasikia maumivu makali sana kwenye kibofu Cha mkojo.

Katika kipindi hiki mgonjwa anakuwa hatulii kwa sababu anatafuta njia yoyote Ili aweze kupitisha mkojo kwa hiyo kutulia ni shida, na mgonjwa anakuwa na maumivu makali kwenye kibofu Cha mkojo kwa sababu ya mkojo unazidi kujaa kwenye kibofu na misuli unaendelea kujaa na kuleta maumivu makali kwa mgonjwa hali inayofanya mgonjwa kusikia maumivu makali sana . Kwa hiyo mgonjwa anapaswa kumpelekwa hospitalini kwa matibabu zaidi kwa sababu ya hali ngumu aliyonayo.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2279

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Sababu za maambukizi kwenye nephoni

Posti hii inahusu zaidi sababu za maambukizi kwenye nephroni, ni vitu vinavyosababisha mabukizi kwenye nephroni.

Soma Zaidi...
Dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo

Posti hii inahusu zaidi dalili la jeraha la kawaida kwenye ubongo, jeraha la kawaida utokea kwa sababu mbalimbali kama vile kupata ajali na kugongwa na kitu chochote kichwani,

Soma Zaidi...
Madhara ya kaswende kwa wajawazito na watoto wadogo.

Posti inahusu zaidi madhara ya kaswende kwa mama mjamzito na mtoto, Ni ugonjwa unaopatikana hasa kwa njia ya kujamiiana na utoka kwa mwenye Ugonjwa kwenda kwa mtu ambaye hana ugonjwa, kwa hiyo tunapaswa kujua madhara ya ugonjwa huu kwa mama mjamzito na mt

Soma Zaidi...
Dalili ya pressure ya kupanda

Post ya leo inaenda kufundisha dalili na hatari za presha ya kupanda. Presha ni ugonjwa unaosababishwa na baadhi ya vitu mbalimbali.pressure hujulikana kwa jina lingine ambolo ni hypertension (pressure ya kupanda). presha hugundulika pale ambapo presha ya

Soma Zaidi...
Njia ambazo VVU huambukizwa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo VVU huambukizwa

Soma Zaidi...
Dalili za UKIMWI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za UKIMWI

Soma Zaidi...
Sasa UKIMWI unatokeaje?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo UKIMWI hutokea

Soma Zaidi...
Walio katika hatari ya kupata homa ya inni

Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata homa ya ini,kwa sababu ya hali zao mbalimbali wanaweza kupata ugonjwa huu.

Soma Zaidi...
Dalili za tetekuwanga

Tetekuwanga (varisela) ni maambukizi ya virusi ambayo husababisha kuwasha, upele kama vile malengelenge. Tetekuwanga huambukiza sana watu ambao hawajapata ugonjwa huo wala kupewa chanjo dhidi yake. Kabla ya chanjo ya kawaida ya tetekuwanga, karibu watu

Soma Zaidi...