picha

Dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.

Dalili za Mtu mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.

1. Kushindwa kukojoa kwa massa nane mpaka Kumi na mtu akiwa anakunywa  vinywaji vya kawaida.

 

Ukiona kuwa mtu anashindwa kukojoa kwa masaa nane mpaka Kumi na ukizingatia mtu anakuwa anakunywa vinywaji vya kawaida kama vile maji, juice, uji na mambo mengine yanayonyweka lakini mtu huyo hakojoi ndani ya maasaa nane mpaka Kumi anakuwa na shida kwenye kibofu Cha mkojo.

 

Kwa hiyo mtu huyo anapaswa kuwekewa kwenye uangalizi mkubwa Ili kuweza kuangalia shida Iko wapi na kumsaidia Ili aweze kutoa mkojo kwenye kibofu na kuendelea na maisha yake ya kama kawaida.na shida hii inaweza kutatuliwa kama kawaida.

 

2. Kuvimba kwa kibofu Cha mkojo mpaka hata ukimgusa mgonjwa sehemu ya chini ya tumbo unaweza kuhisi kibofu kama kimetuna.

 

Hali hii utokea pale ambapo mkojo mwingi huwa kwenye kibofu na uendelee kujikusanya ndani yake na hauwezi kutoka na baadae uendelea kujikusanya ndani ya kibofu Cha mkojo na hatimaye kibofu kuvimba na mtu akikigusa anaweza kusikia jinsi kulivyovimba na ukimgusa mgonjwa abatumia na kuhangaika sana kwa hiyo tunapaswa kuhakikisha kuwa mgonjwa anapona kabisa kwa kumpeleka mgonjwa hospitalini na kupata huduma muhimu inayostahili.

 

3. Magonjwa anakuwa na hamu ya kupitisha mkojo makini hawezi kufanya hivyo.

Hali hii utokea kwa mgonjwa pale anapokuwa na hamu ya kupitisha mkojo lakini hawezi kabisa na dalili zozote za kuwepo kwa mkojo kwenye kibofu zipo, hali hii utokea kwa sababu ya maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo ambapo mkojo unakosa sehemu ya kupitia kwa hiyo wakati mwingine mgonjwa huwa na maumivu makali, kwa hiyo tukiona kitendo Cha namna hii mgonjwa anapaswa kumpelekwa hospitalini kwa matibabu zaidi Ili aweze kuruhusu mkojo kupita  na kuendelea na maisha ya kila siku.

 

4.Mgonjwa anakuwa hatulii, anakuwa anasikia maumivu makali sana kwenye kibofu Cha mkojo.

Katika kipindi hiki mgonjwa anakuwa hatulii kwa sababu anatafuta njia yoyote Ili aweze kupitisha mkojo kwa hiyo kutulia ni shida, na mgonjwa anakuwa na maumivu makali kwenye kibofu Cha mkojo kwa sababu ya mkojo unazidi kujaa kwenye kibofu na misuli unaendelea kujaa na kuleta maumivu makali kwa mgonjwa hali inayofanya mgonjwa kusikia maumivu makali sana . Kwa hiyo mgonjwa anapaswa kumpelekwa hospitalini kwa matibabu zaidi kwa sababu ya hali ngumu aliyonayo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 3123

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Sababu za kutokea kwa maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutokea kwa maumivu ya jino

Soma Zaidi...
Madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa.

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa,ni madhara ambayo utokea endapo Maambukizi kwenye mifupa yasipotibiwa kwa mda wake.

Soma Zaidi...
Sababu za Ugonjwa wa pumu

Pumu ni ugonjwa wa njia ya upumuaji unaojulikana na kizuizi cha muda mrefu cha njia ya upumuaji. Inahusisha mfumo wa upumuaji unaobana njia ya hewa, Inaweza kuwa ya nje (hii hutokea kwa vijana kutokana na mizio) au ya ndani (hutokea kwa wazee)

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa Saratani ya uke

Saratani ya uke ni Saratani adimu inayotokea kwenye uke wako mrija wa misuli unaounganisha uterasi na sehemu zako za siri. Saratani ya uke mara nyingi hutokea katika seli zilizo kwenye uso wa uke wako, ambao wakati mwingine huitwa njia ya uzazi. Wan

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa Ugumu wa kumeza (dysphagia)

Ugumu wa kumeza (dysphagia) inamaanisha inachukua muda na bidii zaidi kuhamisha chakula kutoka kwa mdomo wako hadi kwenye tumbo lako. Ugumu wa kumeza unaweza pia kuhusishwa na maumivu. Katika baadhi ya matukio, kumeza inaweza kuwa haiwezekani. Ugumu w

Soma Zaidi...
SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO

SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO Sababu za kawaida za vidonda vya tumbo ni maambukizo na bakteria Helicobacter pylori (H.

Soma Zaidi...