Njia za kutibu saratani

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za matibabu ya ugonjwa wa saratani,ni ugonjwa ambao unaweza kupona ikiwa umegundulika mapema katika hatua za mwanzo na kama ugonjwa huu umefikia hatua za mwisho Tiba yake huwa ni kupunguza makali ya ugonjwa.

Njia za kutibu ugonjwa wa saratani.

1.Saratani inaweza kutibiwa kwa kutumia njia mojawapo ambayo huitwa Tiba homoni.

Njia hii dawa mbalimbali utumika Ili kuweza  kusimamisha homoni ambazo uzalisha saratani, tukumbuke kuwa Kuna homoni ambazo zikiwa mwilini huwa zinazalisha saratani kwa hiyo hizi homoni kama hazijazuiliwa uendelea kuongezeka na kusababisha madhara kwa mgonjwa , kwa hiyo dawa hizi zimetengenezwa iili kuweza kuzuia kuongezeka kwa homoni hizi ambazo usababisha saratani.

 

2. Aina nyingine ya kutibu saratani ni Tiba mionzi.

Hii ni njia ambayo utumia mionzi yenye nguvu kuua seli za saratani, tukumbuke kuwa saratani usababishwa na kuwepo kwa seli zisizotarajiwa katika mwili wa binadamu ambapo kwa kitaalamu huitwa Abnormal cell, kwa hiyo Ili kuweza kupunguza maambukizi mionzi yenye nguvu utumika Ili kuweza kuua hizi seli ambazo usababisha saratani. Kwa hiyo kiasi kikubwa Cha seli hizi zikifa na Maambukizi upungua.

 

3.Aina nyingine ya tiba ni Tiba kemikali.

Hii ni mojawapo ya tiba ya saratani ambapo  dawa utumika Ili kuweza kuua seli zinazosababisha saratani kwa hiyo dawa hizi zinaweza kuwa kwenye mfumo wa vidonge au wakati mwingine zinakuwa kwenye muuundo wa Maji maji ambayo ni drip, kwa hiyo upewa mgonjwa na hizi dawa huua seli ambazo usababisha saratani.

 

4. Njia nyingine bambayo utumika ni upasuaji.

Ni Aina ya njia ambayo utumika kuondoa seli ambazo usababisha saratani, tukumbuke kuwa saratani inaweza kuwa kwenye sehemu yoyote kwenye mwili kwa hiyo kwa kutumia njia hii ya upasuaji kama sehemu fulani imeshambuliwa sana na saratani hiyo sehemu utolewa Ili kuepuka seli hizi kusambaa kwenye sehemu mbalimbali za mwili wa binadamu.

 

5. Njia nyingine ni kutumia dawa mbadala za miti shamba ambazo utumiwa na watu wengi na wengine wamesshuhudia kupona na pia Kuna kutumia ushauri yaani cancelling kwa wagonjwa wa saratani na watu upunguza mawazo na kuendelea na maisha Yao ya kila siku na wengine wanaotumia masage yaani kunyoosha sehemu iliyoathiriwa na damu inaweza kutembea kwenye sehemu husika na wengine wanaotumia Mazoezi Ili kuweza kutibu sehemu iliyolegea.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1367

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Dalili na Ishara za upungufu wa muunganisho wa macho.

posti hii inaonyesha dalili za upungufu wa muunganisho wa macho. Upungufu wa muunganisho hutokea wakati macho yako hayafanyi kazi pamoja unapojaribu kuangazia kitu kilicho karibu nawe. Unaposoma au kutazama kitu kilicho karibu, macho yako yanahitaji k

Soma Zaidi...
Tufanyeje ili kuepuka kuaribika kwa figo?

Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia kuaribika kwa figo, hizi ni njia zinazotumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuaribika kwa figo na hasa wale ambao hawajapata tatizo hili wazitumie ili tuone kama tutaweza kupunguza tatizo hili.

Soma Zaidi...
Madhara ya Tiba homoni kwa wagonjwa wa saratani

Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba homoni, ni madhara- ambayo utokea kwa mgonjwa anayetumia homoni kama Tiba kwenye kutibu saratani.

Soma Zaidi...
ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO

ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO Kuachwa kwa vidonda vya tumbo bila kutibiwa, vinaweza kusababisha: Kutokwa na damu kwa ndani.

Soma Zaidi...
Dalili na ishara za anemia ya minyoo

Posti hii inshusiana na dalili za anemia ya minyoo

Soma Zaidi...
Mtu anaye umwaaa UTI anaweza kuona siku zake?

Kutokuona siku zake mwanamke ni ishara kuwa kuna shida kwenye umfumo wa uzazi. Wakati mwingine kutokuona siku ni ishara ya baraka ya kupata mtoto. Ijapokuwa kuna wengine wanadiriki kutoa mimba kwa sababu zisizo za msingi. Je unadhani UTI inaweza kusababi

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia kiungulia

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kuzuia kiungulia

Soma Zaidi...
Je kwa mfano mimi nmeupata ukimwi leo na sihitaji kwenda kupima yaaan uanza kujionyesha baada ya muda gani

Watu wengi wamekuwa wakijiuliza kuwa ukimwi huonekana baada ya muda gani toka kuathirika?

Soma Zaidi...
Dalilili za kukosa oksijeni

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalilili za kukosa oksijeni ambalo kitaalamu hujulikana Kama apnea.kukosa oksijeni ni tatizo ambapo kupumua kwako hukoma na kuanza unapolala.

Soma Zaidi...
ninasumbuliwa Sana na mapunye ya kichwani nimetumia dawa takribani miaka 3

Habari, samahani ninasumbuliwa Sana na mapunye ya kichwani nimetumia dawa takribani miaka 3 ila yanapona Tena baada ya Muda flani yanatokea.

Soma Zaidi...