Kubalehe ni wakati mwili wa mtoto unapoanza kubadilika na kuwa wa mtu mzima (balehe) hivi karibuni. Kubalehe ambao huanza kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na kabla ya umri wa miaka 9 kwa wavulana.
Dalili za kubalehe.
Dalili na ishara za kubalehe hujumuisha maendeleo ya yafuatayo kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na kabla ya umri wa miaka 9 kwa wavulana.
1. Ukuaji wa matiti
2. Kuona hedhi kwa Mara ya kwanza.
3.sauti kuwa nyororo.
4.kuongezeka hips (mapaja)
1. Uume kuongezeka
2. Nywele za uso (ndevu)
3.Kuwa nzito sauti
4.kifua kutanuka.
1. Nywele za sehemu za siri au kwapa
2. Ukuaji wa haraka
3. Chunusi
4. Harufu ya mwili wa watu wazima
SABABU
Ili kuelewa ni nini husababisha Kubalehe katika baadhi ya watoto, ni vyema kujua ni nini husababisha kubalehe kuanza. Utaratibu huu unajumuisha hatua zifuatazo:
1. Ubongo huanza mchakato. Sehemu ya ubongo hutengeneza homoni inayoitwa gonadotropin-releasing hormone .ambayo hupelekea mabadiliko makubwa Kama kuanza kuwa na kiburi,Mabishano na wakubwa.
2. Homoni za jinsia hutolewa. Homoni hizi husababisha ovari kutoa homoni zinazohusika na ukuaji wa sifa za kijinsia za mwanamke (estrogen) na korodani kutoa homoni zinazohusika na ukuaji na ukuzaji wa tabia za kijinsia za kiume (testosterone).
3. Mabadiliko ya kimwili hutokea. Uzalishaji wa homoni ambazo hujulikana Kama estrojeni na testosterone husababisha mabadiliko ya kimwili ya kubalehe.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi,kwa kawaida tumesikia akina mama wengi wanalalamika kuhusu kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi na wengine hawajui sababu zake kwa hiyo sababu zifuatazo ni za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.
Soma Zaidi...Post hii inazungumzia mama wajawazito Mara tu mama anapohisi kuwa yeye ni mjamzito anashauriwa kuanza clinic.na clinic hizi zinasaidia kuwapatia wakina mama elimu,namna ya kumkinga Mtoto asipatwe na maradhi Kama UKIMWI. Pia mama anapoanza clinic
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa,ni Dalili ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha estrogen kwenye mwili ukilinganisha na homoni ya projestoren.
Soma Zaidi...Nini humaanisha kama chuchu zinauma na hupati period mwanaidi mrefu.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na hatua za kujikinga na Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na kwenye mirija ya uzazi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia maendeleo ya mtoto akiwa tumboni mwa mama, zoezi hili ufanyika kila mwezi pale mama anapokuja kwenye mahudhurio kwa kufanya hivyo tunaweza kuja maendeleo ya mtoto kwa kila mwezi.
Soma Zaidi...Katika kipindi cha ujauzito, kufanya mazoezi kwa usahihi ni muhimu kwa afya ya mama na mtoto. Mazoezi haya yanasaidia kupunguza uchovu, kudhibiti uzito, kupunguza matatizo ya mgongo, na kuongeza hisia za furaha. Somo hili litatoa mwongozo wa aina za mazoezi zinazofaa kwa kila mwezi wa ujauzito, pamoja na mwongozo wa usalama wa kufanya mazoezi haya nyumbani.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba, ni Imani ambazo zimekuwepo kwenye jamii kuhusu wanawake wenye mimba.
Soma Zaidi...