Kubalehe ni wakati mwili wa mtoto unapoanza kubadilika na kuwa wa mtu mzima (balehe) hivi karibuni. Kubalehe ambao huanza kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na kabla ya umri wa miaka 9 kwa wavulana.
Dalili za kubalehe.
Dalili na ishara za kubalehe hujumuisha maendeleo ya yafuatayo kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na kabla ya umri wa miaka 9 kwa wavulana.
1. Ukuaji wa matiti
2. Kuona hedhi kwa Mara ya kwanza.
3.sauti kuwa nyororo.
4.kuongezeka hips (mapaja)
1. Uume kuongezeka
2. Nywele za uso (ndevu)
3.Kuwa nzito sauti
4.kifua kutanuka.
1. Nywele za sehemu za siri au kwapa
2. Ukuaji wa haraka
3. Chunusi
4. Harufu ya mwili wa watu wazima
SABABU
Ili kuelewa ni nini husababisha Kubalehe katika baadhi ya watoto, ni vyema kujua ni nini husababisha kubalehe kuanza. Utaratibu huu unajumuisha hatua zifuatazo:
1. Ubongo huanza mchakato. Sehemu ya ubongo hutengeneza homoni inayoitwa gonadotropin-releasing hormone .ambayo hupelekea mabadiliko makubwa Kama kuanza kuwa na kiburi,Mabishano na wakubwa.
2. Homoni za jinsia hutolewa. Homoni hizi husababisha ovari kutoa homoni zinazohusika na ukuaji wa sifa za kijinsia za mwanamke (estrogen) na korodani kutoa homoni zinazohusika na ukuaji na ukuzaji wa tabia za kijinsia za kiume (testosterone).
3. Mabadiliko ya kimwili hutokea. Uzalishaji wa homoni ambazo hujulikana Kama estrojeni na testosterone husababisha mabadiliko ya kimwili ya kubalehe.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba kuanzia siku 7 Hadi 14
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi changamoto ya tendo la ndoa kwa wanaume,wanaume wamekuwa wakipata changamoto ya tendo la ndoa na kuwafanya kushindwa kujiamini na kukosa kabisa raha kwenye maisha yao
Soma Zaidi...Post yetu imebeba mada inayohusiana na wanaume wanaowashwa Uume embu tuone dalili zinazopelekea kuwashwa kwa penis. Uume(penis) ni party ya mwanaume ya sehemu za siri.pia wanaume ambao hawajatahiriwa(unsircumside) kwasababu Ile ngozi ya juu husababishwa k
Soma Zaidi...KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito.
Soma Zaidi...Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo ambayo mama mjamzito anatakiwa kuzingatia katika kipindi Cha ujauzito au mimba
Soma Zaidi...Posti inahusu zaidi njia maalum za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha,Ni njia za uzazi ambazo wanaonyesha wanatumia kwa sababu kuna njia nyingine zikitumiwa na wanaonyonyesha zinaweza kuleta matatizo kwa watoto au kusababisha maziwa kutokuwa na vitamini v
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kuangalia madhara ya tumbaku na sigara anayoweza kuyapata mvutaji
Soma Zaidi...Matatizo yahusianayo na nguvu za kume na kukosa hamu ya tendo la ndoa kwahuweza kuchangiwa sana na mpangilio mbovu wa vyakula pamoja na saikolojia ya mtu.
Soma Zaidi...Kuna watoto wengine huanza kucheza mapema kuliko watoto wengine. Tunapozungumzia kucheza kwa mtoto aliye tumboni yaani mimba hapa inatubidi tuangalie kwa undani zaidi, je ni muda gani mtoto ataanza kucheza?
Soma Zaidi...