Kubalehe ni wakati mwili wa mtoto unapoanza kubadilika na kuwa wa mtu mzima (balehe) hivi karibuni. Kubalehe ambao huanza kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na kabla ya umri wa miaka 9 kwa wavulana.
Dalili za kubalehe.
Dalili na ishara za kubalehe hujumuisha maendeleo ya yafuatayo kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na kabla ya umri wa miaka 9 kwa wavulana.
1. Ukuaji wa matiti
2. Kuona hedhi kwa Mara ya kwanza.
3.sauti kuwa nyororo.
4.kuongezeka hips (mapaja)
1. Uume kuongezeka
2. Nywele za uso (ndevu)
3.Kuwa nzito sauti
4.kifua kutanuka.
1. Nywele za sehemu za siri au kwapa
2. Ukuaji wa haraka
3. Chunusi
4. Harufu ya mwili wa watu wazima
SABABU
Ili kuelewa ni nini husababisha Kubalehe katika baadhi ya watoto, ni vyema kujua ni nini husababisha kubalehe kuanza. Utaratibu huu unajumuisha hatua zifuatazo:
1. Ubongo huanza mchakato. Sehemu ya ubongo hutengeneza homoni inayoitwa gonadotropin-releasing hormone .ambayo hupelekea mabadiliko makubwa Kama kuanza kuwa na kiburi,Mabishano na wakubwa.
2. Homoni za jinsia hutolewa. Homoni hizi husababisha ovari kutoa homoni zinazohusika na ukuaji wa sifa za kijinsia za mwanamke (estrogen) na korodani kutoa homoni zinazohusika na ukuaji na ukuzaji wa tabia za kijinsia za kiume (testosterone).
3. Mabadiliko ya kimwili hutokea. Uzalishaji wa homoni ambazo hujulikana Kama estrojeni na testosterone husababisha mabadiliko ya kimwili ya kubalehe.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowPosti hii inahusu zaidi sababu za kukosa hedhi wakati mda wa kuona hedhi umefika ni tatizo linalowasumbua baadhi ya wasichana wachache katika jamii na hii ni kwa sababu zifuatazo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea kwa sababu ya kuziba kwa mishipa ya uzazi, ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa tatizo la kuziba kwa mishipa ya uzazi.
Soma Zaidi...Zijuwe dalili 17 za mimba na mimba changa, kuanzia siku ya kwanza mpaka mwezi mmoja
Soma Zaidi...Hii ni hali inayompata mtu kukosa hamu kabisa ya kushiriki kitendo chochote kinachohusiana na kufanya tendo landoa au bunyeto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili za Mama mwenye kifafa cha mimba, ili kifafa cha mimba kiweze kutokea lazima kuna dalili ambazo uweza kutokea kwa Mama kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti inahusu nzaidi kufunga kwa mishipa ya machozi ya mtoto kwa kawaida mishipa ya mtoto inapaswa kufunguka baada ya mwaka mmoja lakini kwa wengine ubaki imefungwa hata baada ya mwaka mmoja na kusababisha madhara mbalimbali kwa mtoto.
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukupa dalili ambazo zinaonyesha kuwa mimba ni ya mapacha. Dalili hizi zitahitajika kuthibitishwa na kipimo cha daktari ili kujuwa kuwa ni kweli.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa uzazi wa mpango kwa watoto, sio akina Mama peke yao wanaofaidika na uzazi wa mpango vile vile na watoto wanafaidika na uzazi wa mpango kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukutania madhara ya kuoiga punyeto kwa afya yako.
Soma Zaidi...Kamaumeshawahi kujiuliza kuhusu kutokwaba damu tofautivna siku za hedhi, base mwaka hii ni kwaajiki yako.
Soma Zaidi...