Kubalehe ni wakati mwili wa mtoto unapoanza kubadilika na kuwa wa mtu mzima (balehe) hivi karibuni. Kubalehe ambao huanza kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na kabla ya umri wa miaka 9 kwa wavulana.
Dalili za kubalehe.
Dalili na ishara za kubalehe hujumuisha maendeleo ya yafuatayo kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na kabla ya umri wa miaka 9 kwa wavulana.
1. Ukuaji wa matiti
2. Kuona hedhi kwa Mara ya kwanza.
3.sauti kuwa nyororo.
4.kuongezeka hips (mapaja)
1. Uume kuongezeka
2. Nywele za uso (ndevu)
3.Kuwa nzito sauti
4.kifua kutanuka.
1. Nywele za sehemu za siri au kwapa
2. Ukuaji wa haraka
3. Chunusi
4. Harufu ya mwili wa watu wazima
SABABU
Ili kuelewa ni nini husababisha Kubalehe katika baadhi ya watoto, ni vyema kujua ni nini husababisha kubalehe kuanza. Utaratibu huu unajumuisha hatua zifuatazo:
1. Ubongo huanza mchakato. Sehemu ya ubongo hutengeneza homoni inayoitwa gonadotropin-releasing hormone .ambayo hupelekea mabadiliko makubwa Kama kuanza kuwa na kiburi,Mabishano na wakubwa.
2. Homoni za jinsia hutolewa. Homoni hizi husababisha ovari kutoa homoni zinazohusika na ukuaji wa sifa za kijinsia za mwanamke (estrogen) na korodani kutoa homoni zinazohusika na ukuaji na ukuzaji wa tabia za kijinsia za kiume (testosterone).
3. Mabadiliko ya kimwili hutokea. Uzalishaji wa homoni ambazo hujulikana Kama estrojeni na testosterone husababisha mabadiliko ya kimwili ya kubalehe.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Mdomo kuwa mchungu ni halia mabayo haiashirii ishara mbaya za kiafya. Mdomo unaweza kuwa mchungu kutokana na vyakula. Pia hutokea ikawa ni ishara ya baadhi ya maradhi, ama ni matokeo ya baadhi ya shda za kiafya. Je vipi kuhusu maumivu ya matiti na tumb?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea hatua za ukuaji mimba na dalili zake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu changamoto za ujauzito na dalili zake endelevu
Soma Zaidi...Utajifunza dalili za minyoo, sababu za minyoo na namna ya kujiepusha na minyoo. Dalili kuu 5 za minyoo mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kupasuka kwa mfuko wa uzazi hasa mama anapokalibia kujifungua.
Soma Zaidi...Posti hii hasa inahusu kasoro ,utatuzi,na jinsi ya kutunga mimba kwa upande wa mwanamke na mwanaume .itatupelekea jinsi ya kuangalia kasoro na jinsi ya kutatua hizo kasoro katika jamii zetu.
Soma Zaidi...Je umeshawahi kujiukiza kuwa, dawa ya P2 ni kweli inaweza kuzuia mimba, ukifanya mapenzi siku hatari?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano ili kuweza kuweka afya yake kwenye njia safi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zilijitokeza zinaweza kusababisha ugumba hasa kwa wanawake, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini kwa Dalili hizi hasa kwa wadada, kama kuna uwezekano wa matibabu tibu mapema ili kuepuka tatizo la kuwa mgumba.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu,ni madhara ambayo utokea kwa mtu anayetumia madawa ya kupunguza maumivu.
Soma Zaidi...