Fahamu kuhusiana na kubalehe kwa msichana na mvulana.
Kubalehe ni wakati mwili wa mtoto unapoanza kubadilika na kuwa wa mtu mzima (balehe) hivi karibuni. Kubalehe ambao huanza kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na kabla ya umri wa miaka 9 kwa wavulana.
Dalili za kubalehe.
Dalili na ishara za kubalehe hujumuisha maendeleo ya yafuatayo kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na kabla ya umri wa miaka 9 kwa wavulana.
Dalili na ishara kwa wasichana ni pamoja na:
1. Ukuaji wa matiti
2. Kuona hedhi kwa Mara ya kwanza.
3.sauti kuwa nyororo.
4.kuongezeka hips (mapaja)
Dalili na ishara kwa wavulana ni pamoja na:
1. Uume kuongezeka
2. Nywele za uso (ndevu)
3.Kuwa nzito sauti
4.kifua kutanuka.
Ishara na dalili zinazoweza kutokea kwa wavulana au wasichana ni pamoja na:
1. Nywele za sehemu za siri au kwapa
2. Ukuaji wa haraka
3. Chunusi
4. Harufu ya mwili wa watu wazima
SABABU
Ili kuelewa ni nini husababisha Kubalehe katika baadhi ya watoto, ni vyema kujua ni nini husababisha kubalehe kuanza. Utaratibu huu unajumuisha hatua zifuatazo:
1. Ubongo huanza mchakato. Sehemu ya ubongo hutengeneza homoni inayoitwa gonadotropin-releasing hormone .ambayo hupelekea mabadiliko makubwa Kama kuanza kuwa na kiburi,Mabishano na wakubwa.
2. Homoni za jinsia hutolewa. Homoni hizi husababisha ovari kutoa homoni zinazohusika na ukuaji wa sifa za kijinsia za mwanamke (estrogen) na korodani kutoa homoni zinazohusika na ukuaji na ukuzaji wa tabia za kijinsia za kiume (testosterone).
3. Mabadiliko ya kimwili hutokea. Uzalishaji wa homoni ambazo hujulikana Kama estrojeni na testosterone husababisha mabadiliko ya kimwili ya kubalehe.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 web hosting 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 ai web app 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
CHANGAMOTO ZA UJAUZITO, NA DALILI ZAKE NA NAMNA YA KUKABILIANA NAZO
Utawezaje kukabiliana na changamoto za ujauzito, je ni zipi changamoto hizo. Hapa nitakujuza.
Soma Zaidi...Je siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari?
Swali langu ni hili doktaJe siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari?
Soma Zaidi...DARASA LLA AFYA na afya ya uzazi na malezi bora kwa jamii
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Kwa nini hujapata siku zako za hedhi.
Unaweza kupitiliza siku zako za hedhi kwa sababu nyingi. Post hii itakueleza ni kwa nini umechelewa kupata siku zako.
Soma Zaidi...Sababu za za ugumba kwa Mwanaume
Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba.
Soma Zaidi...