picha

Dalili za kisukari na njia za kuzuia kisukari

Posti hii inaelezea ugonjwa wa kisakari, dalili zake,na namna ya kujikinga usipate kisukari au Kama tayari unakisukari ukijikinga madhara yanapungua au kupona kabisa.Kisukari au bolisukari (jina la kitaalamu: diabetes mellitus) ni ugonjwa unaoonyesha viwa

Kisukari au bolisukari (jina la kitaalamu: diabetes mellitus) ni ugonjwa unaoonyesha viwango vikubwa vya glukosi katika damu. Sababu yake ni uhaba wa homoni ya insulini mwilini au upungufu wa uwezo wa mwili wa kukubali insulini.

 

Kisukari au bolisukari (jina la kitaalamu: diabetes mellitus) ni ugonjwa unaoonyesha viwango vikubwa vya glukosi katika damu. Sababu yake ni uhaba wa homoni ya insulini mwilini au upungufu wa uwezo wa mwili wa kukubali insulini.

 

Dalili za kawaida ni pamoja na:

 

Watu walio katika hatari zaidi ya aina ya 2 ni zaidi ya umri wa miaka 40 (au 25 kwa watu wa kusini mwa Asia); wenye mzazi au ndugu mwenye kisukari; wenye uzito mkubwa; na wana asili ya Asia Kusini, Wachina, Caribbean au Wenye asili ya Afrika.

 

Namna ya kujizuia na kisukari.

Ugonjwa wa kisukari hutegemea maumbile na mazingira lakini unaweza kusaidia kuweka viwango vya sukari kwenye damu yako kwa lishe bora na mtindo wa mzuri wa maisha

 

 

1.Lishe nzuri yenye afya ni pamoja na mboga mboga, matunda, maharage na nafaka nzima. Pia inajumuisha mafuta yenye afya, karanga na samaki . Ni muhimu kula mara kwa mara na kuacha kula wakati umeshiba.

 

2.Mazoezi ya mwili pia yanaweza kusaidia kupunguza viwango vyako vya sukari kwenye damu. Ni muhimu kufanya mazoezi angalau kwa masaa 2 na nusu kila wiki

 

3.Uzito wenye afya utarahisisha mwili wako kupunguza kiwango cha sukari kwenye damu. 

4.Ni muhimu pia kutovuta sigara

 

Mwisho; kisukari Ni ugonjwa ambao isipopata tiba au kuzingatia vitu vya kufanya mtu anaweza kufa basi Ni vizuri Kama mtu akiona dalili za hivyi awahi kwenye kituo Cha afya apate matibabu.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2349

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Dalili za Maambukizi kwenye mifupa

Posti hii inahusu zaidi dalili za Maambukizi kwenye mifupa, ni dalili ambazo ukionyesha kwa mtu mwenye Maambukizi kwenye mifupa.

Soma Zaidi...
Aina za kisukari

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za kisukari

Soma Zaidi...
Sababu na Chanzo cha vidonda vya tumbo

Zijuwe sababu za kutokea kwa vidonda vya tumbo. Sababu kuu za vidonda vya tumbo hizi hapa

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kisukari ambao husababisha kupoteza fahamu ( coma ya kisukari)..

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kisukari unaopelekea kukosa fahamu ni tatizo linalohatarisha maisha kisukari ambalo husababisha kupoteza fahamu. Ikiwa una kisukari, sukari ya juu ya damu (hyperglycemia) au sukari iliyopungua sana (hypoglyc

Soma Zaidi...
Ujuwe ugonjwa wa ebola, dalili zake na jinsi unavyoweza kusambazwa.

Posti hii inahusu sana kuhusu ugonjwa wa ebora. Ugonjwa huu usababishwa na virusi.Virusi hivyo husababisha kutokwa na damu nyingi mwilini kutokana na kupasuka kwa mishipa ya damu

Soma Zaidi...
Mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu

Posti hii inahusu zaidi mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu, ni wagonjwa ambao figo zao zimeharibika na zimeshindwa kufanya kazi au pengine kuna uchafu mwingi mwilini ambao uchujwa kwa hiyo kuna vyakula muhimu ambavyo wagonjwa wa figo wanapaswa kutu

Soma Zaidi...