Posti hii inaelezea ugonjwa wa kisakari, dalili zake,na namna ya kujikinga usipate kisukari au Kama tayari unakisukari ukijikinga madhara yanapungua au kupona kabisa.Kisukari au bolisukari (jina la kitaalamu: diabetes mellitus) ni ugonjwa unaoonyesha viwa
Kisukari au bolisukari (jina la kitaalamu: diabetes mellitus) ni ugonjwa unaoonyesha viwango vikubwa vya glukosi katika damu. Sababu yake ni uhaba wa homoni ya insulini mwilini au upungufu wa uwezo wa mwili wa kukubali insulini.
Kisukari au bolisukari (jina la kitaalamu: diabetes mellitus) ni ugonjwa unaoonyesha viwango vikubwa vya glukosi katika damu. Sababu yake ni uhaba wa homoni ya insulini mwilini au upungufu wa uwezo wa mwili wa kukubali insulini.
Dalili za kawaida ni pamoja na:
Watu walio katika hatari zaidi ya aina ya 2 ni zaidi ya umri wa miaka 40 (au 25 kwa watu wa kusini mwa Asia); wenye mzazi au ndugu mwenye kisukari; wenye uzito mkubwa; na wana asili ya Asia Kusini, Wachina, Caribbean au Wenye asili ya Afrika.
Ugonjwa wa kisukari hutegemea maumbile na mazingira lakini unaweza kusaidia kuweka viwango vya sukari kwenye damu yako kwa lishe bora na mtindo wa mzuri wa maisha
1.Lishe nzuri yenye afya ni pamoja na mboga mboga, matunda, maharage na nafaka nzima. Pia inajumuisha mafuta yenye afya, karanga na samaki . Ni muhimu kula mara kwa mara na kuacha kula wakati umeshiba.
2.Mazoezi ya mwili pia yanaweza kusaidia kupunguza viwango vyako vya sukari kwenye damu. Ni muhimu kufanya mazoezi angalau kwa masaa 2 na nusu kila wiki
3.Uzito wenye afya utarahisisha mwili wako kupunguza kiwango cha sukari kwenye damu.
4.Ni muhimu pia kutovuta sigara
Mwisho; kisukari Ni ugonjwa ambao isipopata tiba au kuzingatia vitu vya kufanya mtu anaweza kufa basi Ni vizuri Kama mtu akiona dalili za hivyi awahi kwenye kituo Cha afya apate matibabu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1614
Sponsored links
👉1
kitabu cha Simulizi
👉2
Kitabu cha Afya
👉3
Kitau cha Fiqh
👉4
Madrasa kiganjani
👉5
Simulizi za Hadithi Audio
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
MJUE MBU, NA YAJUWE MARADHI MAKUU MATANO (5) HATARI YANAYOAMBUKIZWA NA MBU, malaria kukamata namba moja kwenye maradhi hayo)
Mbu ni katika wadudu ambao husababisja vifo vya maelfu kila mwaka, na mamilioni ya watu wanaathirika na maradhi yaletwayo na mbu. Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa upele
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa upele, ni dalili au mwonekano wa mgonjwa wa upele. Soma Zaidi...
Dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa
Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa, ni dalili ambazo ujitokeza tu mtoto anapozaliwa kwa hiyo dalili hizi zinapaswa kuzuiwa ili zisilete madhara makubwa. Soma Zaidi...
Maumivu ya magoti.
Maumivu ya magoti ni malalamiko ya kawaida ambayo huathiri watu wa umri wote. Maumivu ya goti yanaweza kuwa matokeo ya jeraha, kama vile ligament iliyopasuka au cartilage iliyochanika. Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa Saratani ya seli nyeupe.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Saratani ambayo hutokea katika aina ya seli nyeupe ya damu inayoitwa seli ya plasma. Seli za plasma hukusaidia kupambana na maambukizo kwa kutengeneza kingamwili zinazotambua na kushambulia vijidudu. Pia husababish Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo
hapa utajifunza maradhi mbalimbali yanatopelekea kuwepo kwa maumivu ya tumbo Soma Zaidi...
Dalilili za saratani ya utumbo
Saratani ya Utumbo ni Saratani ya utumbo mpana (koloni), sehemu ya chini ya mfumo wako wa usagaji chakula. Kwa pamoja, mara nyingi hujulikana kama Saratani ya utumbo mpana.
Visa vingi vya Saratani ya utumbo mpana huanza Soma Zaidi...
Kichaa cha mbwa.
Post hii inahusu zaidi kichaa cha mbwa,au kwa kitaalamu huitwa rabies, utokea pale mtu anapongatwa na mnyama ambaye ni jamii ya mtu au mbwa mwenyewe Soma Zaidi...
KISUKARI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...
Matatizo yanayosababisha saratani ya mapafu
Posti hii inaonyesha matatizo yanayosababisha saratani ya mapafu . Soma Zaidi...