Magonjwa yanayowashambulia watoto wachanga
Watoto wachanga ni watoto wenye umri chini ya miaka mitano, watoto hawa hushambulia na maginjwa mara kwa mara na kusababisha ukuaji wao kuwa dunk,
Yafuatayo ni magonjwa yanayowapata watoto
1. Malaria
2 .kuharisha
3. Upungufu wa damu
4. Degedege
5.utapia mlo
6. Pumu
Dalili za magonjwa haya
Kwa ujumla dalili za magonjwa haya hufanana kwa namna moja au nyingine, zifuatazo ni dalili za magonjwa nyemelezi kwa watoto
1. Homa za mara kwa mara
2. Kukosa hamu ya kula
3. Kuishiwa nguvu
4. Mtoto kukosa raha
5. Kudumaa ukiwa magonjwa hayajatibiwa mapema.
Mbinu za kufanya Ili kuzuia kuwepo kwa magonjwa haya.
1. Kuhudhulia kliniki mara kwa mara
2. Kuonana na daktari au muuguzi pale ambapo Hali ya mtoto ikibadilika.
3. Kutumia dawa kwa uaminifu
4. Kuepuka Mila na desturi potovu kuhusiana na magonjwa mbalimbali
5. Kutumia dawa na kupata chanjo zinazohitajika kwa watoto.
Madhara yanayoyokea tusipo watibu watoto mapema.
1. Ulemavu usiotarajiwa
2. Kupoteza maisha kwa watoto
3. Kudumaa kwa watoto
4. Magonjwa kuwa sugu na kutoa kitu kingine
Kwa hiyo tunaona watoto wadogo wanavyoshambuliwa sana na maginjwa mbalimbali kwa hiyo tunapaswa kuwalinda na kuwaweka katika mazingira mazuri Ili wasipatwe na magonjwa.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Madrasa kiganjani π2 ai web app π3 Bongolite - Game zone - Play free game π4 Kitabu cha Afya π5 Dua za Mitume na Manabii π6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Ndugu mke Wang viungo vina mlegea miguu inamuaka moto nn tatozo
Je unasumbuliwa na tatizo la kukosa nguvu, kuchoka ama kuhisi viungi vinelegea. Endelea na post hii.
Soma Zaidi...SABABU ZINAZOPELEKEA KUJAA KWA MATE MDOMONI NA MATIBABU YAKE
Kutokwa na mate mengi mdomoni si ugojwa ni hali inayoweza kutokea kwa mtu yeyote. Mara nyingi hali hii haihitaji matibabu wa dawa, na huondoka yenyewe. Lakini hutokea baadhi ya nyakati ikawa mate yanatoka zaidi mdomoni. Je na wewe ni miongoni mwao? Makala
Soma Zaidi...Dalili za ukimwi, unavyoenezwa na njia za kujikinga
Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.unasababishwa na virusi ambavyo hutokea kwa mtu mwingine kwa njia mbalimbali
Soma Zaidi...Dalili za mimba wakati wa ovulation
βKipindi cha baada ya yai kuachiliwa (ovulation) hadi kufikia tarehe ya hedhi inayofuata hujulikana kama Luteal Phase. Hapa ndipo wanawake wengi wanaotafuta ujauzito huanza kuchunguza mabadiliko ya miili yao. Makala haya yanajadili dalili za mapema za mimba zinazoweza kujitokeza siku chache baada ya ufertilishaji, jinsi ya kutofautisha dalili hizi na zile za hedhi ya kawaida (PMS), na ukweli wa kitaalamu kuhusu lini unapaswa kupima mimba.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa Dondakoo na namna unavyoweza kuenea
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa Dondakoo na namna unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwingine.
Soma Zaidi...