Menu



Magonjwa yanayowashambulia watoto wachanga

Watoto wachanga ni watoto wenye umri chini ya miaka mitano, watoto hawa hushambulia na maginjwa mara kwa mara na kusababisha ukuaji wao kuwa dunk,

Yafuatayo ni magonjwa yanayowapata  watoto

1. Malaria

2 .kuharisha

3. Upungufu wa damu

4. Degedege

5.utapia mlo

6. Pumu

 

Dalili za magonjwa haya

 Kwa ujumla dalili za magonjwa haya hufanana kwa namna moja au nyingine, zifuatazo ni dalili za magonjwa nyemelezi kwa watoto

1. Homa za mara kwa mara

2. Kukosa hamu ya kula

3. Kuishiwa nguvu

4. Mtoto kukosa raha

5. Kudumaa ukiwa magonjwa hayajatibiwa mapema.

 

Mbinu za kufanya Ili kuzuia kuwepo kwa magonjwa haya.

1. Kuhudhulia kliniki mara kwa mara

2. Kuonana na daktari au muuguzi pale ambapo Hali ya mtoto ikibadilika.

3. Kutumia dawa kwa uaminifu

4. Kuepuka Mila na desturi potovu kuhusiana na magonjwa mbalimbali

5. Kutumia dawa na kupata chanjo zinazohitajika kwa watoto.

 

Madhara yanayoyokea tusipo watibu watoto mapema.

1. Ulemavu usiotarajiwa

2. Kupoteza maisha kwa watoto

3. Kudumaa kwa watoto

4. Magonjwa kuwa sugu na kutoa kitu kingine

 

Kwa hiyo tunaona watoto wadogo wanavyoshambuliwa sana na maginjwa mbalimbali kwa hiyo tunapaswa kuwalinda na kuwaweka katika mazingira mazuri Ili wasipatwe na magonjwa.

 

 

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1473

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

Kuharisha choo cha marenda renda ni dalili gani?

Hivi huwa unachunguza choo chako? ivi huwa kinazama kwenye maji ama kinaelea? Kila damu ama malendalenda, je ni cheusi sana na kina harufu kali sana.

Soma Zaidi...
Maambukizi kwenye mrija wa mkojo(urethritis )

Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye mrija wa mkojo, maambukizi haya usababishwa na virusi na bakteria.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa Brucellosis

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Brucellosis ni maambukizi ya bakteria ambayo huenea kutoka kwa wanyama hadi kwa watu mara nyingi kupitia maziwa ambayo hayajasafishwa au kuchemshwa vizuri na bidhaa zingine za maziwa. Mara chache zaidi, ba

Soma Zaidi...
Sababu za Kuvimba kwa kope.

Post hii inazungumzia kuhusiana na Sababu zinazopelekea kuvimba kwa kope, kawaida huhusisha sehemu ya kope ambapo kope hukua na kuathiri kope zote mbili. Pia hutokea wakati tezi ndogo za mafuta ziko karibu na msingi wa kope huziba. Hii inasababisha kuw

Soma Zaidi...
Yajuwe maradhi ya PID yaani uvimbe kwenye fupanyonga

Posti inazungumzia Ugonjwa kwenye fupa nyonga ambapo kitaalamu hujulikana Kama {Pelvic inflammatory (PID) ni maambukizi ya viungo vya uzazi vya mwanamke.

Soma Zaidi...
Dalili za kisukari aina ya type 2

Kisukari cha Aina ya 2, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari cha watu wazima au kisichotegemea insulini, ni ugonjwa sugu unaoathiri jinsi mwili wako unavyobadilisha sukari (glucose), chanzo muhimu cha nishati ya mwili wako.

Soma Zaidi...
Sababu zinazoweza kumfanya figo kuharibika.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kufanya figo kuharibika.hili ni janga ambalo linawakumba Watu wengi siku hizi na kusababisha kupoteza maisha kwa wagonjwa wa figo hasa hasa kwa wale ambao hawana uwezo wa kulipia hela ya kusafishia figo.

Soma Zaidi...
Dalili za VVU/UKIMWI Ni zipi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za VVU/ UKIMWI

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Bawasili

Posti hii inahusu zaidi juu ya ugonjwa wa Bawasili, ni ugonjwa unaotokea kwenye njia ya haja kubwa hali ambayo upelekea kuwepo kwa uvimbe au nyama ambazo uonekana hadi nje, kwa lugha ya kitaalamu ujulikana kama haemorrhoid au pokea.

Soma Zaidi...