Watoto wachanga ni watoto wenye umri chini ya miaka mitano, watoto hawa hushambulia na maginjwa mara kwa mara na kusababisha ukuaji wao kuwa dunk,
Yafuatayo ni magonjwa yanayowapata watoto
1. Malaria
2 .kuharisha
3. Upungufu wa damu
4. Degedege
5.utapia mlo
6. Pumu
Dalili za magonjwa haya
Kwa ujumla dalili za magonjwa haya hufanana kwa namna moja au nyingine, zifuatazo ni dalili za magonjwa nyemelezi kwa watoto
1. Homa za mara kwa mara
2. Kukosa hamu ya kula
3. Kuishiwa nguvu
4. Mtoto kukosa raha
5. Kudumaa ukiwa magonjwa hayajatibiwa mapema.
Mbinu za kufanya Ili kuzuia kuwepo kwa magonjwa haya.
1. Kuhudhulia kliniki mara kwa mara
2. Kuonana na daktari au muuguzi pale ambapo Hali ya mtoto ikibadilika.
3. Kutumia dawa kwa uaminifu
4. Kuepuka Mila na desturi potovu kuhusiana na magonjwa mbalimbali
5. Kutumia dawa na kupata chanjo zinazohitajika kwa watoto.
Madhara yanayoyokea tusipo watibu watoto mapema.
1. Ulemavu usiotarajiwa
2. Kupoteza maisha kwa watoto
3. Kudumaa kwa watoto
4. Magonjwa kuwa sugu na kutoa kitu kingine
Kwa hiyo tunaona watoto wadogo wanavyoshambuliwa sana na maginjwa mbalimbali kwa hiyo tunapaswa kuwalinda na kuwaweka katika mazingira mazuri Ili wasipatwe na magonjwa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Kuziba kwa utumbo ni kuziba kwa chakula au kimiminika kisipite kwenye utumbo mwembamba au utumbo mpana (colon). Kuziba kwa matumbo kunaweza kusababishwa na mikanda ya nyuzi kwenye fumbatio ambayo huunda baada ya upasuaji, mifuko iliyovimba au iliyoambuk
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi ajalia ambazo utokea kwenye kifua Kwa kitaalamu huitwa chest injury,Kwa kawaida kwenye kifua kua sehemu mbalimbali kama vile mapafu,moyo,koo na sehemu mbalimbali, sehemu hizi uweza kupata ajali na kusababisha madhara makubwa,Kwa hiy
Soma Zaidi...NJIA ZA KUKABILIANA NA MINYOO Kwa kuwa tumekwisha kuona namna ambavyo minyoo huenezwa, hivyo basi ni rahisi sasa kutaja namna ya kubambana na minyoo.
Soma Zaidi...Kuona damu kwenye mkojo kunaweza kusababisha wasiwasi. Ingawa katika hali nyingi kuna sababu zisizofaa, Damu kwenye mkojo (hematuria) pia inaweza kuonyesha ugonjwa mbaya.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha mambo mbalimbali yanayoweza kusababisha Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano.
Soma Zaidi...HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO Unaweza kupunguza hatari yako ya vidonda vya tumbo ikiwa unafuata mikakati sawa inayopendekezwa kama tiba ya nyumbani kutibu vidonda.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi maelekezo muhimu ya ki afya, ni maelekezo ambayo utolewa ili kuweza kuzifanya afya zetu ziwe bora zaidi na kuepuka madhara yoyote ya ki afya
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za presha ya kushuka
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kuangalia mlo sahihi wa mwenye vidonda vya tumbo. Hata utajifunza ni vyakula vipi hapaswi kula na vipi ana paswa kula.
Soma Zaidi...Swali langu: Ukiwa na areji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?
Soma Zaidi...