picha

Magonjwa yanayowashambulia watoto wachanga

Watoto wachanga ni watoto wenye umri chini ya miaka mitano, watoto hawa hushambulia na maginjwa mara kwa mara na kusababisha ukuaji wao kuwa dunk,

Yafuatayo ni magonjwa yanayowapata  watoto

1. Malaria

2 .kuharisha

3. Upungufu wa damu

4. Degedege

5.utapia mlo

6. Pumu

 

Dalili za magonjwa haya

 Kwa ujumla dalili za magonjwa haya hufanana kwa namna moja au nyingine, zifuatazo ni dalili za magonjwa nyemelezi kwa watoto

1. Homa za mara kwa mara

2. Kukosa hamu ya kula

3. Kuishiwa nguvu

4. Mtoto kukosa raha

5. Kudumaa ukiwa magonjwa hayajatibiwa mapema.

 

Mbinu za kufanya Ili kuzuia kuwepo kwa magonjwa haya.

1. Kuhudhulia kliniki mara kwa mara

2. Kuonana na daktari au muuguzi pale ambapo Hali ya mtoto ikibadilika.

3. Kutumia dawa kwa uaminifu

4. Kuepuka Mila na desturi potovu kuhusiana na magonjwa mbalimbali

5. Kutumia dawa na kupata chanjo zinazohitajika kwa watoto.

 

Madhara yanayoyokea tusipo watibu watoto mapema.

1. Ulemavu usiotarajiwa

2. Kupoteza maisha kwa watoto

3. Kudumaa kwa watoto

4. Magonjwa kuwa sugu na kutoa kitu kingine

 

Kwa hiyo tunaona watoto wadogo wanavyoshambuliwa sana na maginjwa mbalimbali kwa hiyo tunapaswa kuwalinda na kuwaweka katika mazingira mazuri Ili wasipatwe na magonjwa.

 

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2773

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Ijuwe saratani ya kibofu cha nyongo

Makala hii inakwenda kukufahamishavkuhusu saratani yavkibifu cha mkojo.

Soma Zaidi...
Dalili za maambukizi ya sikio kwa watu wazima

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi ya sikio mara nyingi ni maambukizi ya bakteria au virusi ambayo huathiri sikio la kati, nafasi iliyojaa hewa nyuma ya ngoma ya sikio ambayo ina mifupa midogo ya sikio inayotetemeka. Maambukizi ya si

Soma Zaidi...
Dalili za Ugonjwa wa mapafu.

posti hii inahusu dalili za ugonjwa wa mapafu.ambapo kitaalamu hujulikana Kama Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu yako. Majimaji mengi kw

Soma Zaidi...
Vidonda vya tumbo husababishwa na nini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu visababishi vya vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Sababu za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.

Post hii inahusu zaidi Sababu za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, hali hii uwatokea sana wanawake zaidi ya wanaume, kwa kitaalamu hali hii ya kuwa na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo huitwa cystitis.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu magonjwa yasiyoambukizwa

Post hii inahusu magonjwa yasiyo ya kuambukizwa,haya ni magonjwa ambayo hayawezi kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda mwingine

Soma Zaidi...