image

Mambo ya kuzingatia kabla ya upasuaji,

Upasuaji ni kundi la ki medical linalohusu kutoa kiungo kisichohitajika kwenye mwili.

Mambo ya kuzingatia kabla ya upasuaji

-kuongea na mgonjwa kuhusu yafuatayo

1.Kama mgonjwa abatumia mlo kamili na Hana viashilia vyovyote viavyoonekana wazi

2.kuangalia kama mgonjwa ana damu ya kutosha maana wakati wa upasuaji damu nyingi utumika

3.kuangalia umri wa mgonjwa, kama umri wa mgonjwa ni mkubwa au ni mdogo sana

4.kuangalia maambukizi kama mgonjwa ana virusi vya Ukimwi au ugonjwa mwingineunaoambukiza

5.kuangalia kama mama ana mimba, mama katika upasuaji mama mwenye mimba uangaliwa zaidi

6.kama mgonjwa abatumia pombe na vile vikali ambavyo husababishwa dawa ya usingizi kutokolea vizuri

Namna ya kumtunza mgonjwa aliyetoka kupasuliwa

1.mlaze mgonjwa kiupanda

2.mgonwa asipewa chakula chochote

3.mgonjwa asipewe maji ya kunywa mpaka atakapiruhusiwa na daktari

Kwa ujumla upasuaji sio kitu Cha kawaida tunapaswa kuwaandaa wagonjwa wetu kabla hawajaenda kwenye chumba Cha upasuaji na tuwatunze vizuri wakitoka huko.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1218


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Viungo vinavyoathiriwa na malaria
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya viungo vinavyoathiriwa na ugonjwa wa malaria Soma Zaidi...

Dalilili za kidole tumbo (appendicitis)
Posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa wa Kidole ambao kitaalamu hujulikana Kama Appendicitis. Kidole tumbo husababisha maumivu kwenye tumbo la chini la kulia. Hata hivyo, kwa watu wengi, maumivu huanza karibu na kitovu na kisha kusonga. Kadiri uvi Soma Zaidi...

Ugonjwa wa kuharisha na sababu zake.
Kuharisha ni Hali ya kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisicho na damu Soma Zaidi...

Matibabu ya maumivu chini ya kitovu
Post hii inahusu zaidi matibabu ya kutibu ugonjwa wa maumivu chini ya kitovu. Soma Zaidi...

Dalili za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo
Post hii inahusu zaidi dalili za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ingawa sio watu wote wenye dalili kama hizi Wana uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo Ila zikitokea mtu anapaswa Soma Zaidi...

Tiba ya vidonda vya tumbo na dawa zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Tina ya vidonda vya tumbo na dawa zake Soma Zaidi...

Chanzo cha kiungulia
Post hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa kiungulia, kiungulia ni kitendo cha kupanda kwa gesi kutoka kwenye tumbo mpaka kwenye mdomo,hali uwasumbua wengi na kusababisha hali isiyo rafiki. Soma Zaidi...

Dalili za maumivu ya jino
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za maumivu ya jino Soma Zaidi...

Njia za kufanya ukiwa na tatizo la uti wa mgongo.
Posti hii inahusu zaidi Njia za kufanya Ili kupunguza maumivu ya tatizo la uti wa mgongo, ni njia unazopaswa kufanya pale unapokuwa na tatizo la uti wa Mgongo. Soma Zaidi...

Makundi yaliyo katika hatari ya kupata Ugonjwa wa ngiri.
Posti hii inahusu zaidi makundi ambayo yapo katika hatari ya kupata ugonjwa wa ngiri, ni hatari kwa sababu tunajua kuwa ngiri utokea kwa sababu ya kuta au tishu zinazoshikilia viungo fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwepo kwa uwazi na kufanya viun Soma Zaidi...

Athari za kutokutibu minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya athari zinazoweza kutokea endapo minyoo haitotibiwa Soma Zaidi...

Je daktari hizo dalili zamwanzo za HIV hazioneshi kama mwili kupungua
Dalili za HIV zina utofauti na dalili za UKIMWI. Kwani HIV huwezakuonyesha dalili wiki ya pili hadi ya sita baada ya kuathirika kisha zinapotea, lakini dalili za UKIMWI huwezakutokea baada ya miaka 5 hadi 10. Soma Zaidi...