Mambo ya kuzingatia kabla ya upasuaji,
Upasuaji ni kundi la ki medical linalohusu kutoa kiungo kisichohitajika kwenye mwili.
Mambo ya kuzingatia kabla ya upasuaji
-kuongea na mgonjwa kuhusu yafuatayo
1.Kama mgonjwa abatumia mlo kamili na Hana viashilia vyovyote viavyoonekana wazi
2.kuangalia kama mgonjwa ana damu ya kutosha maana wakati wa upasuaji damu nyingi utumika
3.kuangalia umri wa mgonjwa, kama umri wa mgonjwa ni mkubwa au ni mdogo sana
4.kuangalia maambukizi kama mgonjwa ana virusi vya Ukimwi au ugonjwa mwingineunaoambukiza
5.kuangalia kama mama ana mimba, mama katika upasuaji mama mwenye mimba uangaliwa zaidi
6.kama mgonjwa abatumia pombe na vile vikali ambavyo husababishwa dawa ya usingizi kutokolea vizuri
Namna ya kumtunza mgonjwa aliyetoka kupasuliwa
1.mlaze mgonjwa kiupanda
2.mgonwa asipewa chakula chochote
3.mgonjwa asipewe maji ya kunywa mpaka atakapiruhusiwa na daktari
Kwa ujumla upasuaji sio kitu Cha kawaida tunapaswa kuwaandaa wagonjwa wetu kabla hawajaenda kwenye chumba Cha upasuaji na tuwatunze vizuri wakitoka huko.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 ai web app 👉4 web hosting 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Jinsi ya kujikinga na mafua (common cold)
Posti hii inazungumzia dalili na namna ya kujikinga tusipate mafua .mafua kwa jina lingine hujulikana Kama baridi ya kawaida (common cold).baridi ya kawaida husababishwa na virusi kwenye pua na hutoa makamasi.
Soma Zaidi...Dalili za Ukimwi
Makala hii itaeleza dalili za ukimwi, dalili za VVU, magonjwa nyemelezi na matumizi ya ARV
Soma Zaidi...Kivimba kwa mishipa ya Damu
Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kuvimba kwa mishipa yako ya damu. Inasababisha mabadiliko katika kuta za mishipa ya damu, ikiwa ni pamoja na kuimarisha, kudhoofisha, kupungua na kupungua. Mabadiliko haya huzuia mtiririko wa damu, na kusababi
Soma Zaidi...Dalili za gonorrhea - gonoria
Jifunze dalili za gonorrhea na namna inavyoambukiza, zipi athari za gonori kwa wanawae na wanaume
Soma Zaidi...Dalili za jeraha kali kwenye ubongo
Posti hii inahusu zaidi dalili za jeraha kali kwenye ubongo, ni majeraha ambayo utokea kwenye ubongo pale ambapo mtu anapata ajali au amepigwa na kitu chochote kigumu kichwni, zifuatazo ni dalili za jeraha kali kwenye ubongo
Soma Zaidi...