Mambo ya kuzingatia kabla ya upasuaji,

Upasuaji ni kundi la ki medical linalohusu kutoa kiungo kisichohitajika kwenye mwili.

Mambo ya kuzingatia kabla ya upasuaji

-kuongea na mgonjwa kuhusu yafuatayo

1.Kama mgonjwa abatumia mlo kamili na Hana viashilia vyovyote viavyoonekana wazi

2.kuangalia kama mgonjwa ana damu ya kutosha maana wakati wa upasuaji damu nyingi utumika

3.kuangalia umri wa mgonjwa, kama umri wa mgonjwa ni mkubwa au ni mdogo sana

4.kuangalia maambukizi kama mgonjwa ana virusi vya Ukimwi au ugonjwa mwingineunaoambukiza

5.kuangalia kama mama ana mimba, mama katika upasuaji mama mwenye mimba uangaliwa zaidi

6.kama mgonjwa abatumia pombe na vile vikali ambavyo husababishwa dawa ya usingizi kutokolea vizuri

Namna ya kumtunza mgonjwa aliyetoka kupasuliwa

1.mlaze mgonjwa kiupanda

2.mgonwa asipewa chakula chochote

3.mgonjwa asipewe maji ya kunywa mpaka atakapiruhusiwa na daktari

Kwa ujumla upasuaji sio kitu Cha kawaida tunapaswa kuwaandaa wagonjwa wetu kabla hawajaenda kwenye chumba Cha upasuaji na tuwatunze vizuri wakitoka huko.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1734

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Fahamu aina mbalimbali za Magonjwa nyemelezi ya moyo

Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za Magonjwa ya moyo,kwa kawaida tunajua wazi kuwa kuna moyo mmoja lakini moyo huo unaweza kushambuliwa na magonjwa kwa kila aina kwa mfano kuna Maambukizi kwenye mishipa ya moyo,au kubadilika kwa mapigo ya moyo na m

Soma Zaidi...
Sababu za ugonjwa wa pumu, dalili zake na jinsi ya kujilinda na pumu.

Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa hewa ambapo mgonjwa hushindwa kupumua vizuri na hupelekea matatizo ya kudumu kama haujatibiwa mapema.

Soma Zaidi...
Dalili na sababu za mawe kwenye in yaani liver stone au intrahepatic stones

Katika post hii utakwend akujifunza kuhusu tatizo la kuwa na vijiwe kwenye ini vijiwe hivi hufahamika kama intrahepatic stones.

Soma Zaidi...
MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO

MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO Matibabu ya vidonda vya tumbo inategemea sababu.

Soma Zaidi...
Je unaijuwa ugonjwa wa bawasiri

Katika post hii nitakwenda kukujuza kuhusu ugonjwa wa bawasiri

Soma Zaidi...
Namna ya kugundua mtu mwenye kaswende.

Post hii inahusu zaidi njia za kumgundua mgonjwa wa kaswende, njia hizi utumika baada ya kuongea na mgonjwa kuhusu maisha yake hasa kujamiiana na watu mbalimbali.

Soma Zaidi...
Matatizo yanayoweza kusababisha Saratani.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na matatizo yanayoweza kusababisha Ugonjwa wa Saratani.

Soma Zaidi...
Ujuwe ugonjwa wa ebola, dalili zake na jinsi unavyoweza kusambazwa.

Posti hii inahusu sana kuhusu ugonjwa wa ebora. Ugonjwa huu usababishwa na virusi.Virusi hivyo husababisha kutokwa na damu nyingi mwilini kutokana na kupasuka kwa mishipa ya damu

Soma Zaidi...
Kivimba kwa utando wa pua

post hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa utando wa pua unaoonyeshwa na mchanganyiko wa dalili zifuatazo: Kupiga chafya Msongamano wa pua Muwasho wa kiwambo cha sikio Kuwasha kwa pua na koromeo Uvimbe huu hutokea ikiwa mashambulizi ya kupiga chafya,

Soma Zaidi...
Je inakuaje kama umempiga denda mtu mweny ukimwi ambaye anatumia daw za ARVs na una michubuko midogo mdomon ya kuungua na chai

Bila shaka umeshawahi kujiuliza kuwa je mate yanaambukiza HIV ama laa. Na kama hayaambukizi ni kwa sababu gani. Sio mate tu pia kuhusu jasho kama pia linaweza kuambukiza ukimwi ama HIV. Wapo pia wanajiuliza kuhusu mkojo kama unaweza kuambukizwa HIV. Kar

Soma Zaidi...