image

Chemsha bongo namba 23

18.

Chemsha bongo namba 23

Chemsha bongo 23

imageimage
18.Shilingi
Juma alikuwa na glasi mbili za maji. Sikumoja akaweka maji kwenye glass hizo kisha akachimua sarafu mbili za shilingi miamoja. Akaingiza moja kwenye glass ikazama chini. Kisha akaingiza nyingine kwenye glass ya pili lakini haikuzama.

Juma alishangaa sana, lakini baada ya muda akaikuta imezama. Unadhani nini kimetokea kwenye glasi hii ya pili?

Jibu
Ni kwa sababu maji katika glasi ya pili yalikuwa yameganda.


                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 560


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Chemsha bongo namba 24
13. Soma Zaidi...

SIRI
Kutoka kwenye usingizi mzito unaamka, Haujui nini kimetokea (uenda ukawa umepoteza kumbukumba). Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 11
10. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 08
20. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 21
15. Soma Zaidi...

Toroka gerezani
utaokoka vipi gerezani? Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 25
26. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 23
18. Soma Zaidi...

SIRI
Baada ya kutulia vizuri unaanza kukumbuka umefikaje hapa kwenye misitu. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 07
22. Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 04
14. Soma Zaidi...

Chemsha bongo
learn English Vocabulary Soma Zaidi...