Chemsha bongo namba 23

Chemsha bongo namba 23

18.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Chemsha bongo namba 23

Chemsha bongo 23

imageimage
18.Shilingi
Juma alikuwa na glasi mbili za maji. Sikumoja akaweka maji kwenye glass hizo kisha akachimua sarafu mbili za shilingi miamoja. Akaingiza moja kwenye glass ikazama chini. Kisha akaingiza nyingine kwenye glass ya pili lakini haikuzama.

Juma alishangaa sana, lakini baada ya muda akaikuta imezama. Unadhani nini kimetokea kwenye glasi hii ya pili?

Jibu
Ni kwa sababu maji katika glasi ya pili yalikuwa yameganda.


                   

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Chemshabongo Main: Burudani File: Download PDF Views 1452

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana: