18.
18.Shilingi
Juma alikuwa na glasi mbili za maji. Sikumoja akaweka maji kwenye glass hizo kisha akachimua sarafu mbili za shilingi miamoja. Akaingiza moja kwenye glass ikazama chini. Kisha akaingiza nyingine kwenye glass ya pili lakini haikuzama.
Juma alishangaa sana, lakini baada ya muda akaikuta imezama. Unadhani nini kimetokea kwenye glasi hii ya pili?
Jibu
Ni kwa sababu maji katika glasi ya pili yalikuwa yameganda.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Chemshabongo Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1042
Sponsored links
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉3
Kitau cha Fiqh
👉4
kitabu cha Simulizi
👉5
Simulizi za Hadithi Audio
👉6
Madrasa kiganjani
Chemsha bongo namba 11
10. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 09
16. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 13
23. Soma Zaidi...
CHEMSHABONGO NA BONGOCLASS
Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 17
5. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 05
Ashumu upo kwenye chumba kimoja kikubwa sana, hakina milango wala madirisha. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 18
21. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 16
9. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 12
8. Soma Zaidi...
SIRI
Kutoka kwenye usingizi mzito unaamka, Haujui nini kimetokea (uenda ukawa umepoteza kumbukumba). Soma Zaidi...