Chemsha bongo namba 13

23.

Chemsha bongo namba 13

Chemsha bongo 13

imageimage
23.Manywele
Kijana mmoja alikuwa na nyele ndefu pamoja na ndevu za wastani zilizo nyeusi sana. Kijana huyu alikuwa shevu kwa siku mara 10 mpaka 15. lakini bado alibakiwa kuwa na nyele ndefu na ndevu ndefu. Unadhani ni mtindo gani huwa anatumia?

Jibu
Ni kwa sababu huyu kijana ni kinyozi. Hushevu watu wengine.


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Chemshabongo Main: Burudani File: Download PDF Views 1535

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Chemsha bongo namba 05

Ashumu upo kwenye chumba kimoja kikubwa sana, hakina milango wala madirisha.

Soma Zaidi...
Chemsha bongo

learn English Vocabulary

Soma Zaidi...
SIRI

Baada ya kutulia vizuri unaanza kukumbuka umefikaje hapa kwenye misitu.

Soma Zaidi...
SIRI

Kutoka kwenye usingizi mzito unaamka, Haujui nini kimetokea (uenda ukawa umepoteza kumbukumba).

Soma Zaidi...