24.
24.Mirathi
Kulikuwa na mzee mmoja na watoto wake watatu. Mzee huyu alikuwa na mali nyingi sana. Akatamani amrithishe mali zile mtoto wake ambaye atakuwa na busara zaidi. Basi akawaita wanawe na kuwapa chemshabongo, na kuwa atakayeshinda ndiye ambaye atarithishwa.
Aliwapa sarafu 2 za shilingi mia mbili na kuwataka wanunue kitu cha kujaza chumba kizima kwa pesa zile. Basi mtoto wa kwanza akaleta mikate ambayo haikujaa hata kwenye bakuli. Wa pili akaleta makaratasi ambayo hayakujaa chumbani. Mtoto wa tatu akaleta kitu . na mzee akamchaga huy wa tatu. Unadhani ni kitu gani mtoto huyu alileta?
Jibu
Alileta kibiriti, ulipofika usiku aliwasha njiti ya kibiriti na chummba kizima kikajaa mwanga.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Chemshabongo Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1261
Sponsored links
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉3
Kitabu cha Afya
👉4
Kitau cha Fiqh
👉5
Madrasa kiganjani
👉6
kitabu cha Simulizi
Chemsha bongo namba 11
10. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 08
20. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 25
26. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 24
13. Soma Zaidi...
CHEMSHABONGO NA BONGOCLASS
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...
CHEMSHABONGO NA BONGOCLASS
Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 07
22. Soma Zaidi...
SIRI
Hapana mpaka sasa hautambui chochote kuhusu kilichotokea. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 14
12. Soma Zaidi...
KUMTOROSHA MFUNGWA GEREZANI
Chemshabongo, Je? ungelikuwa ni w ewe ungetorokaje gerezani? Soma Zaidi...